Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Kesho kama kawaida tunapitia upande wa trent
Kola na auba au kola na iwobi watamgawana trent. Ili mmoja apite na kupiga V PASS kwaajir ya kumaliza shughuli
Mazoez yanayoendelea sasa hiv ni hayo , laca atakuwepo kusumbua bek zenu
Katikat atakuwepo muhun xhaka na toreira
Nadhan kesho tutawapoteza tena kwenye midfield
Njia yenu ya ushind ni moja tu, mpitie no 2 ndio kwenye shida kwa upande wa arsenal ,na huo upande anacheza mane
Iwapo mtashindwa huko
Naahid 3-0 mtapigwa hapo hapo Anfiled
Asanten
Sent using Jamii Forums mobile app
Kola na auba au kola na iwobi watamgawana trent. Ili mmoja apite na kupiga V PASS kwaajir ya kumaliza shughuli
Mazoez yanayoendelea sasa hiv ni hayo , laca atakuwepo kusumbua bek zenu
Katikat atakuwepo muhun xhaka na toreira
Nadhan kesho tutawapoteza tena kwenye midfield
Njia yenu ya ushind ni moja tu, mpitie no 2 ndio kwenye shida kwa upande wa arsenal ,na huo upande anacheza mane
Iwapo mtashindwa huko
Naahid 3-0 mtapigwa hapo hapo Anfiled
Asanten
Sent using Jamii Forums mobile app

