Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu unakwenda nje ya mada all and all tumeshida lakini watu wanapokosoa upangaji wa kikosi wa klop au sub zake ni muhimu kuzingalia nafkiri kama liver echos wameanza kumkubali faby hii yote ni nguvu ya mashabiki duniani

Bro, huyo jamaa mbona tulishampuuza!

Kila gemu ikiisha anakuja na kashfa, kama una muda endelea naye, lakini jaribu kuangalia kama kuna anayehangaika naye.
 
Ninalo neno la kusema kwa nyinyi vijana wa Klopp.

MSIPOCHUKUA EPL MSIMU HUU HAMTACHUKUA TENA. ×3

Kila la kheri kwenu.

Race bado iko, ninaamini Man City will comeback very strong kwenye second round.

Lakini si baba, EPL mwaka huu ni run ya atleast 3 teams.

Hakuna aliyetarajia matokeo kama haya kwa Man City, hasa ukiangalia ubora wa kikosi na benchi kwa ujumla.
 
IMG_4809.JPG
 
It was a great win, sijafanikiwa kuona 1st half ila second half nimeiona yote Henderson played really well. Hiyo position ndo nilimuwa naililia acheze siyo kuchezeshwa kama defensive midfielder .

Allison is more than just a goalie, he defended like a center back then he save it like a goalie kupata clean sheet

Fabinho in the midfield is like a jukebox

Klopp kafanya substitution za maana, sikutegemea kama kwenye hii mechi klopp angeanza na fab3 kwa line up it claerly indicate he is really up to something

Andy Robertson, he's unsung hero. He's only at LFC with good performance week in and week out. Kuna ile mechi Gomez ali-clear mpira kwenye line siku hiyo Van Djik was not good.

Van Djik ni Terry,Rio na Vidic kwa pamoja kwa maneno ya Jamie Redknapp ila naongeza na Lucio kwa jinsi anavyopanda na mpira mbele


I can smell IT, not far away
 
Mwanzoni tulikuwa tunashinda kwa mazabemazabe huku tunacheza vibaya ila sasa hivi tunakupigia na tunacheza vizuri tunakuwa kwenye form nzuri zaidi na zaidi kwenye wakati kama huu

we are really lucky this time around, during this festive season huwa tuna injuries za kutosha ila msimu huu tupo vizuri saana no major injury hadi Lallana mzima wakati huu

Squad management has been great from Klopp tofauti misimu iliyopita ambapo muda kama huu utakuta tuna majeruhi wa kutosha tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom