Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
swaaaaafi sana to see our very own brothers toppin th score sheets...Africa is on top of the PL man
Salah and Auba leading scorers
swaaaaafi sana to see our very own brothers toppin th score sheets...Africa is on top of the PL man
Salah and Auba leading scorers
well said i think Klopp is good at handling this boys one on one...Kwasasa Kocha Ambaye atamvua Armband Henderson Ni yule anaetoka Milembe kama Mourinho au Makocha Wa Tanzania.
Lakini Kocha Aliye na Akili Kama Klopp hawezi kufanya kitendo hicho cha Kiajabu.
Dressing room ndiyo kila kitu hasa katika kipindi hichi tulichopo.
taratibu ndugu VVD ndio Captain mtarajiwa ataipata tu ila sio kwa sasa....Armband iende kwa VVD...
by th way this young lad Coady has matured to th very needs of what needed to perfom at top level...posted this back in 2014
tangu aondoke kwenye academy ya LFC amekuwa na career nzuri kabisa
he was immense yesterday, always knew he was a good defender
i'd take him back at LFC, he's better than Lovren
him or Lloyd Kelly in the summer
Mimi jamaa natamani kuona ameuzwa aisee, yaani nikiona kwenye kikosi yuko amani inakuwa ndogo sana.
Hili goal la townsend unaeza ukanywea kahawa hapa kijiweni usilipe
Ngoja tuone muda badoWatata hawa, wanaweza kutusaidia kitengeneza gape.
Ngoja tuone muda bado
Pep anaweza kuja na Comeback ya ajabu hapo akampiga 4 huyo Palace
Kati yupo stone mbele juzas nazani wanamapungufu piaPep anaweza kuja na Comeback ya ajabu hapo akampiga 4 huyo Palace