Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa Mara ya kwanza nakili na nimeona champions characteristics kwenu ,just see salah anapiga kwa majaribio linakuwa goli, team pinzani inawalaza mabeki chini piga ni kupige hakuna goli linapatikana,hongereni composure ,stability ,unshakable mnadeserve
 
Kwa Mara ya kwanza nakili na nimeona champions characteristics kwenu ,just see salah anapiga kwa majaribio linakuwa goli, team pinzani inawalaza mabeki chini piga ni kupige hakuna goli linapatikana,hongereni composure ,stability ,unshakable mnadeserve

Mkuu afadhali umesema ukweli...karibu.
 
Yes, sikatai kwamba hasaidii, anasaidia kwa kiasi chake.

He is supposed to be a role player not a regular, and that armband should find another arm.
kuhusu armband, nadhani Klopp anai manage hii situation wisely ili ku consolidate harmony iliyopo sasa dressing room.

juzi hapa amewa sound out VVD na Alisson kama captain material, lakini amesisitiza leadership qualities za Hendo & Millie kama ndiyo msingi wa existing squad harmony.
 
Yaani sipati picha siku hiyo itakuwaje mkuu...

Hii commentary yake kwenye world cup ya South Africa, kuhusiana na goal la Tshabalala. sitokuja kuisahau kabisa hii commentary from Peter Drury (he loves Africa)

"TSHABALALAAAAAAA, GOAL FOR SOUTH AFRICA, GOAL FOR AFRICAAAA, BAFANA BAFANA HAVE PUT THE FIRST COUP ON THEIR DAZED DAYS"
 
Tatizo ni captain kwahiyo manager analazimika kumpanga mara kwa mara...
... kama kweli angekuwa hamuhitaji kuwa captain au kwenye squad altogether, hii ilikuwa the best opportunity kwa Klopp kummwaga kijumla - i.e kutompanga ili awe frustrated na achape lapa mwenyewe!

logically speaking that's.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom