Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ya Faby haikua back pass na kama upo makini wale jamaa wamenasa pass ngingi tu nazani jambo walio lifanyia kazi kuwaotea pass njiani
Hiyo tunaita"intercept" kuingilia njia na mapito yenu.
Hata Firmino, walichukua pasi zake nyingi tu.
 
kwahiyo ipi ni tofauti ya attacking force yako kwa msimu uliopita na msimu huu?maana naona wachezaji ni walewale sanasana wameongezeka ..........
Kama wameongezeka, basi sio walewale.
Rythim ya Liverpool imechange.
 
20181222_152837.jpg
 
on current form, only Rio would probably edge him a bit, but just!

Damn chief

Rio was one of the most gifted CB i've ever seen in the PL

you could argue kuwa Vidic/Hyppia/Terry walikuwa zaidi leaders, but ability wise i think VVD is on per with Rio as technical gifted CBs (CVs aside)
 
VVD akiendelea hivi hivi halafu tukabeba ndoo, atakuwa beki bora kwenye historia ya ligi ya Uingereza...

he'll be there as one of the best CBs in the history of the PL

but, to be the best in the league history, you need to top the greatest ones, and thats where the issue of CVs inapokuja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom