Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Hakuna wakukimbia huu uzi,
Liver hakuna anayempa wasi wasi, tunajua hamuwezi kubeba taji lolote msimu huu,
Hao wanaokimbia ni chelsea ,
Mimi ingewezekana niko tayari aa kuhonga marefa ili muwe juu ya Chelsea coz ni ujinga Rant boys Wa Chelshit wakiingia Top Four.
Lakini na nyinyi munazingua munalingana points kwa Mara ya pili baadae munarudi nyuma
Mpelekeni Chelsea Futuhi msimu ujao


