Nadhani ungeniuliza kwanza umri wangu ingependeza zaidmkuu MUNGU anakuona kabisaaaaaaaa hebu jibu swali hili ili twende sawa....
Je, toka uzaliwe ulishawahi kushuhudia liverpool ikibeba EPL?
kiukweli na kimantiki hilo unalolizungumza wewe lilikuwa sahihi zaidi ya miongo miwili nyuma lakini sio kwasasa mkuu,kiukweli ukitaka kujitofautisha na hao kina spurs yakupasa ubebe EPL msimu huu (na mwenyewe unajua fika kuwa huwezi) kinyume na hapo wewe hata leicester city na blackburn rovers huwapati kwa sasa maana hao wana EPL moja moja wewe huna please usilete mambo yako ya cut off tunazungumzia EPL na sio kitu kingineSina ninachokifurahia, ndo maana toka kipindi hicho makocha wanakuja na kuondoka, akichemka anapisha wengine.
Hata huyu aliyepo kazi yake ni kuleta makombe, na ana msimu huu na ujao kudeliver.
Wewe ukinilinganisha na Tottenham it's okay kama unapata faraja, lakini kimoyo moyo level zangu unazijua, ni Man Utd pekee anayeweza kusimama locally akasema yeye ni top kwangu, hao wengine ni level zenu, ila mkiona kwamba kutulinganisha nao inakupeni faraja sawa.
usikimbie swali na haina haja ya kujiongezea maswali..............ingekuwa mtihani ulishafeli maana unaulizwa vita ya majimaji unaomba uulizwe habari za berlin comference,halafu nyinyi ndio wepesi wa kuwatoa akili wenzenu dahNadhani ungeniuliza kwanza umri wangu ingependeza zaid
hakuna aliyeongelea juu ya ushindi dhidi ya spurs mkuu hayo unayaleta weweYaan spurs kufungwa na Arsenal tabu imeamia kwenye jukwaa letu huku
Sasa sijui angempiga manchester city na liverpool cjui ingekuaje humu
29december nawahakikishia kiama
Mtatuachia jukwaa tu
The king mo salahBBB African football of the year.
Mo Salah retain his prize won last year.View attachment 968326
CongratulationsBBB African football of the year.
Mo Salah retain his prize won last year.View attachment 968326
Amebaka mada huyohakuna aliyeongelea juu ya ushindi dhidi ya spurs mkuu hayo unayaleta wewe
Bas wewe ni fungu la kukosa , toka 2011 kufukuza hao makocha unaambulia SUFURISina ninachokifurahia, ndo maana toka kipindi hicho makocha wanakuja na kuondoka, akichemka anapisha wengine.
Hata huyu aliyepo kazi yake ni kuleta makombe, na ana msimu huu na ujao kudeliver.
Wewe ukinilinganisha na Tottenham it's okay kama unapata faraja, lakini kimoyo moyo level zangu unazijua, ni Man Utd pekee anayeweza kusimama locally akasema yeye ni top kwangu, hao wengine ni level zenu, ila mkiona kwamba kutulinganisha nao inakupeni faraja sawa.
Liver hao mashabik ni wa wapi labda, liver hii si ilipoteza kabisa mashabik na kuwa timu ndogo ,Tanzania Chelsea hana washabiki wengi kuipita Liverpool, fanya tu mfano humu JF, hesabu mashabiki waliokoment kuanzia ligi inaanza mpaka mwezi mmoja baadae bila kuwarudia. Utaona namba halisi.
Then angalia kwenye WhatsApp groups kama za ofisini, au angalia maofisini utaona Chelsea ni wa kutafuta.
Man Utd na Arsenal ni sahihi.
Akikujibu ni tagmkuu MUNGU anakuona kabisaaaaaaaa hebu jibu swali hili ili twende sawa....
Je, toka uzaliwe ulishawahi kushuhudia liverpool ikibeba EPL?
Huna timu ya kuifunga arsenalYaan spurs kufungwa na Arsenal tabu imeamia kwenye jukwaa letu huku
Sasa sijui angempiga manchester city na liverpool cjui ingekuaje humu
29december nawahakikishia kiama
Mtatuachia jukwaa tu
amesema swali gumu ni bora nimuulize lingine mkuuAkikujibu ni tag
Liver hao mashabik ni wa wapi labda, liver hii si ilipoteza kabisa mashabik na kuwa timu ndogo ,
Takwimu zikizopo Chelsea ana mashabik wengi kuliko liver
Ukweli mchungu ndio huo ,
Hata mabanda umiza kama kuna mechi ya chelsea na ya liver ,ya liver itapigwa kapuni
Takwimu za ujumla chelsea alishaipiku liver kwa mashabiki .
hoja dhaifu sana hii ila mimi nitaijibu kama ifuatavyo"tupo hapa katika huu uzi wa loserfool kwasababu sisi kama GUNNERS fans page yetu mpaka sasa ndio page inayoongoza kuwa na kurasa nyingi kuliko nyuzi za timu zote hapa JF ina page zaidi ya 5500s(hii inamaana kwamba uzi wetu unatembelewa sana kuliko nyuzi nyingine) wakati loserfool nyinyi ndio kwanza muna page 2500s(ikiwa na maana kwamba uzi wenu umedoda sasa tunawasaidia kuuchangamsha msiwe wakiwa kama mpo jangwani)Liverpool unadai unailinganisha na timu hizo unazozitaja wewe, it's well and good, sisi haitushushi.
Jaribu kujiuliza, nani anashinda kwa jirani, kwake hakuvutii, kama Liverpool usingekuwa na concern nayo nina uhakika msingeshinda hapa, mngekuwa kwenye Uzi wenu, lakini mko daily hapa kwa sababu mnatambua umuhimu wa Liverpool.
Labda nikuulize swali, leo umepost comments ngapi kwenye uzi wenu vs hapa kwenye uzi wa Liverpool?
samahani sana mkuu kama nitakuwa nimekukosea......kwakusema haki hii ndio sababu kubwa iliyonifanya mimi niwe mshabiki nguli lia lia wa ARSENAL ila hii hoja kwa upande wangu sawa maana nimeishuhudia ARSENAL ikiwa katika mafanikio kwa muda mrefu + sex football ikicheza kandanda safi la kuvutia na rekodi tamutamu ya UNBEATEN SEASON...................ikichukua EPL takribani mara 3 na nikiweka rekodi katika FA CUPs pia na ikiwa katika nafasi za juu(big4) kwa muda mrefu sana.Idadi ya washabiki wa Chelsea inaweza kuwa kubwa (labda), hiyo siyo determinant kwangu kwamba Chelsea ni kubwa kuliko Liverpool, vigezo vya kwa nini niliamua kuishabikia Liverpool ni zaidi ya ubora wa msimu mmoja, ni zaidi ya mpira (ni utamaduni).