DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
porto wale mabingwa wa zamani nao wana uchu nalo hilo kombe so ukikutana nao jipange kisaikolojiakwa hyo ata porto atatufunga?
porto wale mabingwa wa zamani nao wana uchu nalo hilo kombe so ukikutana nao jipange kisaikolojiakwa hyo ata porto atatufunga?
Haha mkuuJamani tuachane na migogoro ,namuona rashiford kwa mbali anakuja kuharibu ka record ka kukwepa kufungwa.
Mkuu nadhani hujaielewa comment vzr isome vzr cjakuinclude ka mafan wa chelseamimi sio chelsea mkuu........mimi nipo humu sana tu..........
Mkuu hapo king ngwamba alijaribu kahamisha comment ya mtu maana baada ya kupishana baadh ya sehemumkuu bardizbah huu ndio uchambuzi unaodai kuwa unanifanya niwe hapa?
Fc portokwahapo BVB ndio level yako hao wengine hapana watakuua mapemaaaaaaaaaaaaaa
Mkuu yaishe...kwani wewe una daraja gani ya 'utukufu' mpaka mtu ajipendekeze ili wewe 'umjue' !?
Bas karibu mkeenimekuelewa vema ndio maana na mimi nikakwambia kuwa mimi sio shabiki wa chelsea kama ulivyolenga kuwa chelsea wamejificha baada ya mambo kuwa sivyo mimi hata timu ikishuka daraja bado utaniona humu kwani najiamini na naamini pia chama langu
sawa nimekuelewa na kuhusu kuchangamka kwa jukwaa hilo silipingi kwasababu mimi sehemu ambayo ipo active hunikosi......na la kuzingatia suala la jukwaa kuchangamka ni kama mbio za vijiti kuna muda inakuwa hapa,muda mwingine chelsea,man utd ,ARSENAL FC na kwingineko ila sisi tuna consistancy hilo linafahamikaMkuu hapo king ngwamba alijaribu kahamisha comment ya mtu maana baada ya kupishana baadh ya sehemu
Ila all in all jukwaa letu limechangamka sanaa kuliko mengine nadhan unalifahamu hilo mkuu
na ndipo utakapoamuamua kujipa ban mwenyewe maana kipigo nitakachokupa naamini mutakimbia jukwaa lenuBas karibu mkee
29december unakuja Anfield
Habar ikufikie mkuu hapo ulipo
Sawa tunza maneno mkuu wakati upo kasi sana na utafika cha muhimu tuombeane uzimana ndipo utakapoamuamua kujipa ban mwenyewe maana kipigo nitakachokupa naamini mutakimbia jukwaa lenu
Natamani bahati ituangukie na Real Madrid, tunawafunga Home and Away
They huangaliagi mpiraAisee sijawahi ona Messi abaki na kipa halafu asifunge mara nyingi Messi amekosaga kama kipa kafanikiwa kutoa chop
Sasa Mane anabaki na kipa halafu anapiga juu au Wide halafu ni nafasi nyingi namuona
Ile Fainali mpaka leo nikiikumbuka naumia sana, tukutane nao tena tuwaonyeshe cha mtema kuni 😎Same here mkuu...!
Wana liverpool halisi tena? Ina maana kuna wana liverpool ukawa? Tusifike uko asee!Wito wangu ni ule ule kwa mashabiki halisi wa Liverpool!
Tuzidi support team hata kama imepoteza mchezo,tuwa support wachezaji wetu bila kuwatusi,tuache wapinzani wetu wawakebehi wachezaji wetu sio sisi wenyewe kudharau our own players!
Jamani wana Liverpool halisi tupo pazuri na mwanga unaonekana!
liverpool halisi vs liverpool chipolopoloWana liverpool halisi tena? Ina maana kuna wana liverpool ukawa? Tusifike uko asee!
unamaanisha au unaongea viceversa mkuu?Ile Fainali mpaka leo nikiikumbuka naumia sana, tukutane nao tena tuwaonyeshe cha mtema kuni 😎
Chukua upande unaokufaa mkuuunamaanisha au unaongea viceversa mkuu?
Liverpool ni moja tu, ipo mitaa ya melwood england! Sote tunaingalia kwenye TV labda wachache waliowahi kufika pale anfield. Hamna haja ya kubaguana.liverpool halisi vs liverpool chipolopolo
They huangaliagi mpira
That shit happen to anyone