Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Haya Majibu SG sijui anayafikiria muda gani na anakusudia kufanya Nini!! Ha ha ha ha

 
Mkuu hawa mandogo wataodoka tu imagine msimuu huu hakuna hata mmoja nakumbuka hata tukiwa tumeshinda anaepata angalau dakika chache..
kuwapanga mane,sala,bobby almost kila mechi hua sielewi kwamba hao makinda hawaja mconvince klopp they deserv better...Solanke alikimbia Chelsea kwa mambo haya haya sasa sijui anajisikia aje...to bring out the best ya hawa makinda they need a bigger challenge sio under 23 pekee...
ni sheria mpya yaja kuanzia 2021 klabu itaruhuisiwa kutoa wachezaji 6 kwa mkopo basi meaning wengi watauzwa...
hivi Mane akiumia, Sala nae what wil happen..kwa sasa Defence angalau bila useless Lovren or Anyother except VVD uhakika wa kutuliza mashambulizi upo...
Klopp need to give this young Reds some minutes...
Muda wa timu kuwa chuo cha mafunzo umepita.tunataka matokeo ya haraka.chelsea au man city hawawezi kufanya timu zao vyuo.kama kuna kijana afanye jitihada kama TAA.Angalieni mpaka sasa Fabinho hajapata namba sembuse makinda
 
Muda wa timu kuwa chuo cha mafunzo umepita.tunataka matokeo ya haraka.chelsea au man city hawawezi kufanya timu zao vyuo.kama kuna kijana afanye jitihada kama TAA.Angalieni mpaka sasa Fabinho hajapata namba sembuse makinda
mkuu ishu sio kua chuo ishu ni kua na immediate plan B pale soko la kununua linakua hostile kwa target zetu, hawa makinda naamini wakipewa nafasi kama TAA, Gomez watafanya vizuri tu....na bila wasipofanya vzuri ni kuwauza tu hakuna namna...
ni kweli ushindani wa namba upo juu maana hata Matip, Lovren, Daniel n.k hawapati namba kikodi cha kwanza...
hapa namaanisha timu ikiongoza 2-0 wawe wanawekwa sio kusugua benchi la U23....
 
Mkuu
mkuu ishu sio kua chuo ishu ni kua na immediate plan B pale soko la kununua linakua hostile kwa target zetu, hawa makinda naamini wakipewa nafasi kama TAA, Gomez watafanya vizuri tu....na bila wasipofanya vzuri ni kuwauza tu hakuna namna...
ni kweli ushindani wa namba upo juu maana hata Matip, Lovren, Daniel n.k hawapati namba kikodi cha kwanza...
hapa namaanisha timu ikiongoza 2-0 wawe wanawekwa sio kusugua benchi la U23....

Mkuu ngoja kwanza tubebe vikombe hawa madogo watacheza tu
 
Kosi la leo.. Lazima tuue mtu
IMG_20181205_214918_887.jpeg
 
Kwasababu watu tumetofautiana Katika utazamaji Wa Mpira basi sitoweza kuwasemea Wengine! Lakini kwa nilichokiona Mimi uwanjani Fabinho is mile better away than Henderson..
Leo Kapiga DM ya uhakika has a ukiangalia jukumu lake la Kucheza tackles amelifanya vyema.

He is our best DM kwa sasa
Fabinho hana tofauti na himid mao
 
Unajua kinachofanya Fabinho watu wasimuelewe Ni ule upole wake kuwa Mshkaji hana papara na hana Pacy, na Vile hafokei Marefa kunazidi kumfanya watu wasimuelewe..

Lakini kwasisi tunaojua Majukumu Yake basi tumeelewa alichokifanya leo.
Kiungo mbovu hana creativity
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom