AmarokB
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 893
- 753
"Kama inauma chomoa"nikipata chance ya kukutana na hivi vihande katika nyakati hizi nitajipigia sana
"Kama inauma chomoa"nikipata chance ya kukutana na hivi vihande katika nyakati hizi nitajipigia sana
Ha ha haaa tumemtaja leo kumbe ni siku yake.Origiiiiiiii blazinggggggg
Uliridhishwa uchawi au ulienda kuutafuta mwenyewe????Una timu ya kawaida tu,
Hauna gegen pressing, unacheza ili mradi tu,
Shukuru unapata matokeo, ila sooon tutaongea mengine, kwanza unaanza na kwenda europa , then unaporomoshwa hapo juu, na ligi inakuwa imeisha kwako kufikia february
Una timu ya kawaida tu,
Hauna gegen pressing, unacheza ili mradi tu,
Shukuru unapata matokeo, ila sooon tutaongea mengine, kwanza unaanza na kwenda europa , then unaporomoshwa hapo juu, na ligi inakuwa imeisha kwako kufikia february
"Kama inauma chomoa"Una timu ya kawaida tu,
Hauna gegen pressing, unacheza ili mradi tu,
Shukuru unapata matokeo, ila sooon tutaongea mengine, kwanza unaanza na kwenda europa , then unaporomoshwa hapo juu, na ligi inakuwa imeisha kwako kufikia february
Klopp beaten once draw once so leo ameshinda kwa mara ya kwanza vs Silva....Huyu Silva anaonesha wazi kuwa Atamsumbua sana Klopp kwenye EPL coz sijui anatujuilia sehemu gani!!!
Wewe unaona Evaton ya kibwege? Walijipanga kutofungwa na kungepangwa hao vipenzi tungepigwaHONGERENI KWA USHINDI LAKINI ACHENI KUJIOVERRATE TIMU YENU YA KAWAIDA SANA MAANA LEO KLOPP KAWAVUA NGUO,MAANA HAO WACHEZAJI MUNAOWALILIA KILA SIKU WACHEZESHWE LEO WAMEPANGWA NA HAKUNA JIPYA TIMU BADO HAIPO KAMA MATARAJIO YENU YALIVYO........KIPIGO CHENU CHAJA SOON
Aliyemuangalia Fabinho, unaweza kumlinganisha na Hebderson.!?
edelea kulewa na talaka zakoLiverpool' ni kama mwanamke anaedai taraka soon tu ataachika
hahaha kabisa yaani kumtaja tu huyoo katuamsha amsha kinoma noma....Ha ha haaa tumemtaja leo kumbe ni siku yake.
Hivi ndo inavyo takiwa kuna siku mchezaji mpira unamkataa ndo maana ya backup.
Hata hivyo nilivyo ona hatukucheza vibaya Evatoni ya sasa ipo vizuri sana na walijipanga wasifungwe kwakweliMkuu usishangae sana kumbuka hii Ni Derby!
Last season tulitoa sare game zote mbili Home and Away.
Kwahiyi kushinda hivi si mbaya
HENDO ni bora mara kumi aseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeehAliyemuangalia Fabinho, unaweza kumlinganisha na Henderson.!?
Honestly mimi nimemwona wa kawaida. Labda sijui kutofautisha jinsi mnavyoona ninyi na mimi.Ya'll have seen that Fabinho professional display?
Top Top Top Top footballer
Trust him, and he will always give you those kinda perfomances
Second MOTM to Allison
Wewe unaona Evaton ya kibwege? Walijipanga kutofungwa na kungepangwa hao vipenzi tungepigwa
Mafano alioitoa Gomenz angekua Lovlen angeishuhudia kwa macho tu.
hawa hawana tofauti ni ndala ushindi wao ni wa bahatibahati tuUna timu ya kawaida tu,
Hauna gegen pressing, unacheza ili mradi tu,
Shukuru unapata matokeo, ila sooon tutaongea mengine, kwanza unaanza na kwenda europa , then unaporomoshwa hapo juu, na ligi inakuwa imeisha kwako kufikia february
upo sahihi kabisa mkuu yaani swadaktaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaHonestly mimi nimemwona wa kawaida. Labda sijui kutofautisha jinsi mnavyoona ninyi na mimi.
Wote hawa leo wamecheza kawaida sana.
1. Firminho
2. Shakir
3. Fabinho
Waliocheza vizuri.
1. Backline yooote haswa Gomez. Ameondora hatari 1 kwenye mstari kabisa. What r cĺearence!
2. Mane. Waliobaki walijaribu.