Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Tunaangalia mpira kiutofauti sana...Kweli kabisa unaweza kusema leo liver imecheza ovyo?
Kwamba Fabinho amecheza vibaya?
Yaani mtu huoni kabisa midfield ilivyokuwa inafanya jukumu lake ukilinganisha na akiwepo Hendo?
Huyu Fabihno kuwekwa nje na Henderson ni ukiukwaji mkubwa wa sheria za kuthamini vipaji....
Unajua kinachofanya Fabinho watu wasimuelewe Ni ule upole wake kuwa Mshkaji hana papara na hana Pacy, na Vile hafokei Marefa kunazidi kumfanya watu wasimuelewe..
Lakini kwasisi tunaojua Majukumu Yake basi tumeelewa alichokifanya leo.