Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,533
- 32,757
hiyo ndio faida ya kubadilisha lisha kikosi,mchezaji anacheza kwa wiki mara 1 unasema anachoka?
Tulia dawa iingie mkuuMi nakwambia huyu klopp anachokitafuta atakipata.
Nyie ni sawa na kichwa cha mwendawazimuHakuna cha ugumu. Kikosi chetu cha kipuuz namna hii kitashindia wapi? Tabia ya klopp kudharau mechi muhimu bado hajakoma.
Yani leo tukishindwa kupata 3 points, Man city ndo bye bye hivyo. Inauma sana kwa use.n.ge unaondelea. Wana haki wanaotuita zero tropies
Kikosi cha kipuuzi!?Hakuna cha ugumu. Kikosi chetu cha kipuuz namna hii kitashindia wapi? Tabia ya klopp kudharau mechi muhimu bado hajakoma.
Yani leo tukishindwa kupata 3 points, Man city ndo bye bye hivyo. Inauma sana kwa use.n.ge unaondelea. Wana haki wanaotuita zero tropies
Tulieni mzamishiwe kitu heavy
Afanye maajabu muondoke na points tatu muhimu,watoto wadogo wasiwatie aibu.BOBBYYYYYYYYYYYYY
Afanye maajabu muondoke na points tatu muhimu,watoto wadogo wasiwatie aibu.
Basi vyema,ni aibu kupoteza mechi kwa watoto wadogo kama Burnley.Ashafanya tayari...
Basi vyema,ni aibu kupoteza mechi kwa watoto wadogo kama Burnley.
Ni vyema kuweza kutofautisha mkubwa na mdogo kwa njia ya matokeo.
Ahahaaah.Chelsea anaelekea kuuawa na Wolves.
Kwaiyo?Nikiangalia avatar yako najikuta nafananisha na unachoandika humu.
Hizi games za katikati ya wiki zinakuaga ngumu sana mzee.Si mchezo, sikutegemea tungepata 3 goals in last 30 minutes.
Great job lads.
Weeee sema kweli!!!Ahahaaah.
Hao Wolves kuwafunga inabidi usimamie ukucha,huwa wanazikamia sana timu kubwa.
Ila Hazard anaweza kubadili matokeo muda wowote.
Oooh!Niseme Ukweli Furaha Yangu Ya Kushinda Huu Mchezo naona imezidiwa na Furaha Yangu Ya Kufungwa Chelsea 😀😀