Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Honestly mimi nimemwona wa kawaida. Labda sijui kutofautisha jinsi mnavyoona ninyi na mimi.
Wote hawa leo wamecheza kawaida sana.
1. Firminho
2. Shakir
3. Fabinho
Waliocheza vizuri.
1. Backline yooote haswa Gomez. Ameondora hatari 1 kwenye mstari kabisa. What r cĺearence!
2. Mane. Waliobaki walijaribu.
Gini also played well
