Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Honestly mimi nimemwona wa kawaida. Labda sijui kutofautisha jinsi mnavyoona ninyi na mimi.

Wote hawa leo wamecheza kawaida sana.
1. Firminho
2. Shakir
3. Fabinho

Waliocheza vizuri.
1. Backline yooote haswa Gomez. Ameondora hatari 1 kwenye mstari kabisa. What r cĺearence!
2. Mane. Waliobaki walijaribu.

Gini also played well
 
Una timu ya kawaida tu,

Hauna gegen pressing, unacheza ili mradi tu,

Shukuru unapata matokeo, ila sooon tutaongea mengine, kwanza unaanza na kwenda europa , then unaporomoshwa hapo juu, na ligi inakuwa imeisha kwako kufikia february
Kwani unateseka?
 
[QUOTE="King Ngwaba, post: 29451203, member: 366055"]Kwasababu watu tumetofautiana Katika utazamaji Wa Mpira basi sitoweza kuwasemea Wengine! Lakini kwa nilichokiona Mimi uwanjani Fabinho is mile better away than Henderson..
Leo Kapiga DM ya uhakika has a ukiangalia jukumu lake la Kucheza tackles amelifanya vyema.

He is my best DM kwa sasa[/QUOTE]
kwa hapo hata mimi sikupingi
 
Naona kelele nyingi za hawa Asenane lkn sioni wachojitutumua nachoo. Maybe wanifahamishe ubora wao dhidi ya liver ni upi.....

1. Idadi ya point walizojikusanyia hadi sasa??
2. Idadi ya magoli waliyofunga msimu huu
3. Clean sheets walizopata hadi sasa
4. Uchache wa magoli walio coincide hadi sasa
5......???????
Au sababu zingine
 
Honestly mimi nimemwona wa kawaida. Labda sijui kutofautisha jinsi mnavyoona ninyi na mimi.

Wote hawa leo wamecheza kawaida sana.
1. Firminho
2. Shakir
3. Fabinho

Waliocheza vizuri.
1. Backline yooote haswa Gomez. Ameondora hatari 1 kwenye mstari kabisa. What r cĺearence!
2. Mane. Waliobaki walijaribu.
Kwa zile mido za Evaton ungemuweka Hendo leo tungejuta palefu leo tumecheza vizuri sanaa kulingana na kiwango cha mpinzani bahati mbaya tulipoteza nafasi tu
 
Washabiki Wa Chelshit walikuwa tafrani hapa na Joginho wao sasahivi wameishia Kujipiga Ban wenyewe! Sasa na Hawa Njigiri za Ass-anal Siku zao zinahesabika za kutoweka hapa.
 
Tunaangalia mpira kiutofauti sana...Kweli kabisa unaweza kusema leo liver imecheza ovyo?

Kwamba Fabinho amecheza vibaya?

Yaani mtu huoni kabisa midfield ilivyokuwa inafanya jukumu lake ukilinganisha na akiwepo Hendo?

Huyu Fabihno kuwekwa nje na Henderson ni ukiukwaji mkubwa wa sheria za kuthamini vipaji....
 
Tunaangalia mpira kiutofauti sana...Kweli kabisa unaweza kusema leo liver imecheza ovyo?

Kwamba Fabinho amecheza vibaya?

Yaani mtu huoni kabisa midfield ilivyokuwa inafanya jukumu lake ukilinganisha na akiwepo Hendo?

Huyu Fabihno kuwekwa nje na Henderson ni ukiukwaji mkubwa wa sheria za kuthamini vipaji....
Ha ha ha haaaaa shangaaa wewe
 
Yani ukiwaina Echo wamemrate big mchezaji wasiyemkubali ujue kafanya zaidi ya kinachotegemewa.. Yani wamemrate 8???? 😀😀

Fabinho 8

Very lively in the first quarter and put in some timely challenges as Everton came into the game towards the break. Easily his best game for the club
 
Ilikuwa derby nzuri sana
Tunatengeneza nafasi nyingi LKN tunakosa sana mabao
Thank you Liverpool,than you Klopp
W is W
Nani amenuna?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom