Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

A
Kwamba arsenal watafungwa?

Ulikuja emirates kwa kutamba,

Kilichotokea uliomba mpira uishe

Endelea kukariri, soon unatoka hapo juu, unarud nafas zako

Na napoli anakuja kukupeleka futuhi

FA huendi popote,

Mnamaliza TEOPHILESS mnakufaaaa

Arsena ni team dhaifu sana EPL.
 
Hii ime leak(imevuja) ila kwa jinsi inavyokwenda ndo inavyokua
IMG_20181203_234515.jpeg
 
Kwamba arsenal watafungwa?

Ulikuja emirates kwa kutamba,

Kilichotokea uliomba mpira uishe

Endelea kukariri, soon unatoka hapo juu, unarud nafas zako

Na napoli anakuja kukupeleka futuhi

FA huendi popote,

Mnamaliza TEOPHILESS mnakufaaaa
Endelea kupiga ramli tu! Wale jamaa mmezoea kuwauzia wanawaita OT hapo J5, baada ya hapo nafikiri utakua kwenye nafasi yenu sahihi
 
Luka Modric has won the 2018 Ballon d'Or ahead of Cristiano Ronaldo and Antoine Griezman, with Lionel Messi coming fifth.
 
Apumzike kidgo angalau mechi mbili hivi. huyupo kwenye form sasaivi lbda huenda ni uchovu

Kumpunzika huku ndio chanzo cha kudrop points.

Kesho Mane hachez, basi Salah na firmino waanze ili angalau wakishapiga magoli na uhakika wa 3 points ndo sub ifanyike
 
Kumpunzika huku ndio chanzo cha kudrop points.

Kesho Mane hachez, basi Salah na firmino waanze ili angalau wakishapiga magoli na uhakika wa 3 points ndo sub ifanyike
Kwanini Mane hachezi kesho? Kuna shida gani?
 
Nimeona bold, it

Nimeona bold, italic, underline, blue, red, capital, etc.

That speaks volumes
Mental.health issues are a serious matter in our country

I hope the good Lord brings some sense and wisdom in you

We don't want to have parents like you in the future

I pity you and feel ashamed that we have such sick people like you

Get well soon
NI VEMA UNGELIKWENDA KUMWAMBIA BABA YAKO HAYA MANENO NAHISI YANGELIMSAIDIA SANA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom