Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

anfield__hq-20181204-0001.jpg
inasemekana hiki kinaweza kuwa kikosi cha kesho Vs Burnley
 
Origi has to start in a place of Firmino....not Sturridge.

Mkuu umeanza kumjudge mchezaji kuwa awe ahead of mwengine coz juzi alifunga goli?

Na Mwanzo wa Msimu Sturridge alifunga vijigoli baadhi ya washabiki wakataka awe regular starter ... Nikawaambia Sturridge ni 4 games player wakaleta mijadala.

Kwahiyo na Origi naye Ni same kama Sturridge, 4 games player.
 
Majeruh wa mguu tokana na mech ya juz everton, pia Robertson gomez nao majeruh wanaweza wasicheze kesho

Mkuu Gomez Ni mzima No injury

Mane na Robbo wana Minor injury sio kubwa kihivyo

Leo watapaswa kupumzishwa ili wawe Fit kwani mwezi huu tuna games nyingi sana (10)

Xhaqiri na Moreno wataplay nafasi za Mane na Moreno respectively
 
Mkuu Gomez Ni mzima No injury

Mane na Robbo wana Minor injury sio kubwa kihivyo

Leo watapaswa kupumzishwa ili wawe Fit kwani mwezi huu tuna games nyingi sana (10)

Xhaqiri na Moreno wataplay nafasi za Mane na Moreno respectively
I would try origi hata Kwa 20 minutes because he's fired up
 
Mkuu Gomez Ni mzima No injury

Mane na Robbo wana Minor injury sio kubwa kihivyo

Leo watapaswa kupumzishwa ili wawe Fit kwani mwezi huu tuna games nyingi sana (10)

Xhaqiri na Moreno wataplay nafasi za Mane na Moreno respectively

Ok kumbe ni minor tu, hapo sawa
 
FA wolves hawawez kuwaacha salama

Hivo kwa sasa tunaweza kuhitimisha liva kamaliza msimu bila kitu

TEAM UKAMENI
 
Ta
FA wolves hawawez kuwaacha salama

Hivo kwa sasa tunaweza kuhitimisha liva kamaliza msimu bila kitu

TEAM UKAMENI

Mwaka huu maji mtaita mma sabab hakuna wa kumzuia liver kwenye league yoyote.
 
Ta


Mwaka huu maji mtaita mma sabab hakuna wa kumzuia liver kwenye league yoyote.
Toka mwaka 90 mnasema hivo hivo, nikiwa na umri wa miaka 11 mwaka 2002

Liver alikuwa Anaongoza lig zikiwa zimebak mech 12 ligi iishe, cha ajabu alimaliza nafas ya 4 , na arsenal aliyekuwa wa 4 akatwaa ubingwa

Ndio ubingwa ambao sitausahau,

Hivo liver Hapo juu , soon mtaporomoka, EPL sio saiz yenu,
 
Mkuu unapaswa kujua Whom you are arguing with.. Unaweza kuta unabishana na Dogo Wa Secondary School!
respect yourself bro...........jaribu kudecrease kiwango cha shobo zako na ujuaji mimi ni sawa na baba yako mzazi so kunifananisha na mtoto wa secondari ni dharau kubwa......kwa taarifa yako tu humu JF watu wanatumia ID's mficho so kuwa makini unaweza kuta unabattle na baba yako mzazi
 
Toka mwaka 90 mnasema hivo hivo, nikiwa na umri wa miaka 11 mwaka 2002

Liver alikuwa Anaongoza lig zikiwa zimebak mech 12 ligi iishe, cha ajabu alimaliza nafas ya 4 , na arsenal aliyekuwa wa 4 akatwaa ubingwa

Ndio ubingwa ambao sitausahau,

Hivo liver Hapo juu , soon mtaporomoka, EPL sio saiz yenu,
hivi viajuza ni vibishi sana inabidi utumie bakora kuwaelimisha hili kuwa timu ya ni ya hovyo
 
Toka mwaka 90 mnasema hivo hivo, nikiwa na umri wa miaka 11 mwaka 2002

Liver alikuwa Anaongoza lig zikiwa zimebak mech 12 ligi iishe, cha ajabu alimaliza nafas ya 4 , na arsenal aliyekuwa wa 4 akatwaa ubingwa

Ndio ubingwa ambao sitausahau,

Hivo liver Hapo juu , soon mtaporomoka, EPL sio saiz yenu,

Sijui hata kama shule umeenda! Unafanya comparison ya variables za miaka 20 iliyopita?

Liverpool kwa sasa ni team bora England na Ulaya, Enzi za Arsenal Man U hizo zilishapitwa na wakati.

New Kings kwa sasa ni Liverpool Mancity.

So far hata kihistoria, Liverpool imetwaa ubingwa mara 18 ikiwa ya pili baada ya Man U.

2018, The King is Back, vibaraka mtaendelea kujitafuta huko chini mkipigania kuwa top4 na europa zenu, huku Wataalam wa hizi kazi tukipigania kutwa UEFA na EPL.
 
Screenshot_20181205-070801.png
Burnley leo anatakiwa apigwe cha mbwa koko ili tuweze fidia hilo gap na Mancity la points 5
 
naona our legend SG anakula sahani moja (toe to toe) na bosi wake wa zamani.
huyu lazima aje kumpokea mikoba Klopp atakapoondoka.

20181205_150900.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom