25 mins no even single attempt, no shot
Wale Wapenzi Wa Origi nadhani Wanaona Kinachoendelea.
Hawa Burnley tukkutana nao lazima wawe wagumu
Kuna jamaa alimng'ang'ania kinoma. Sijui yuko api saii
Hakuna cha ugumu. Kikosi chetu cha kipuuz namna hii kitashindia wapi? Tabia ya klopp kudharau mechi muhimu bado hajakoma.
Yani leo tukishindwa kupata 3 points, Man city ndo bye bye hivyo. Inauma sana kwa use.n.ge unaondelea. Wana haki wanaotuita zero tropies
Mimi apa huyu ni mchezaji wa kusaidia na si wa kikosi cha kwanza.Kuna jamaa alimng'ang'ania kinoma. Sijui yuko api saii
Kwa hiyo jafai hata benchi?Nilikuwa ninawaambia sana Origi Ni Wakuoneshwa Milango ya kitokea January kwani hatufai kwa sasa! Hawakuniamini.
Mimi apa huyu ni mchezaji wa kusaidia na si wa kikosi cha kwanza.
Hafu mumuangalie na sturrege pia au yeye kafanya vizuri
Kombe la kupigania ndio hili unakuja na rotation za ajabu ajabuJuzi tumepigana sana na everton na lengo.lilikuwa tupate 3 points ili man city wasitupige gap. Maana gap zaid ya hapa tulipo itakuwa ndiyo bye bye.
Watu wanasema ooh cjui wachezaj wanapumzika, huo ni ujinga na upuuzi, unapumzika kwa kombe gan uliobeba? Guys we need to bring back our lost glory na sio kuzembea mechi muhimu.
Kwa hiyo jafai hata benchi?