Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
kabisa kikosi cha leo murwa kabisa...hope Norbert ataedelea kuingia JF na kusikiliza kilio chetu hehe...3 points muhimu sana leo kuzipataIkiwa tutacheza Formation ya 4-2-3-1 basi sitokuwa na Chakumlaumu Klopp katika Kikosi Cha leo Hata tukifungwa as long as Hatachelewesha Kufanya sababu sahihi iwapo Mambo yatakwenda Kombo.
Nimependa Kikosi Cha leo! Sina Cha Kulaumu.
√ 3 Points Ni Muhimu Kwa Leo
√ Clean Sheet Ni Muhimu Kwa Leo
#YNWA