Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
loserfoolish emptyset
Washabiki wengine aisee, unapata faida gani?
Nimekujibu kwa mara ya mwisho.
loserfoolish emptyset
HENDO ni mwamba lazima mkubali huyu fabinho ni mtalii tukwa kiwango cha leo midfield sioni Henderson ikibaki benchi...
this boys should take thier chances wen given..
Evaton played realy well...
japo tumeshinda ila kwa kweli Mane vs Evaton sijui ana gundu gani...
YNWA
kwani nilikujibu wewe mkuu?niliyemjibu amekaa kimya cz anajua alichokiandika naona wewe unajipayukisha bila 7bu mkuki kwa nguruweWashabiki wengine aisee, unapata faida gani?
Nimekujibu kwa mara ya mwisho.
leo hakuna KLOPP out√ 1 goal
√ 3 points
√ Clean Sheet[/B
HAPPY DAY
umesema muda ni jaji...bado sijaamini ndogo hatamudu kukaa Liverpool kwa kuangalia mechi chache alizocheza....HENDO ni mwamba lazima mkubali huyu fabinho ni mtalii tu
loserfoolish emptyset
leo hakuna KLOPP out
MY KENYAN BROTHER WAS BORN FOR THESE OCCASIONS
RESPECT THE NAME DIVOCK ORIGI
LIVERPOOL LEGEND
HAHAHAHAHAHAHA
sawa nipe mudaNakuruhusu Fukua Makaburi na tafuta Wenzio Wakusaidie ili ueke hapa uoneshe watu Kuwa Niliwahi Kusema 'KLOPP OUT"
Mimi huwa ninalalamika tu anapokosea lakini sikuwahi kuwaza Klopp aondoke.
umesema muda ni jaji...bado sijaamini ndogo hatamudu kukaa Liverpool kwa kuangalia mechi chache alizocheza....
nitam jaji msimu ujao kama anafaa kua kikosi cha kwanza au la maana hapati mechi mfululizo ni hia pia huadhiri uchezaji....
anamuda bado wa kuonyesha ubora wake...lakini pia leo Evaton wamecheza vizuri sana..
huyu kocha Silva anamjulia sana Klopp...ila leo Klopp kamzidi kete kiana...
Una timu ya kawaida tu,Nikweli utajipigia lakini umeshindwa Emirates sasa subiri uje Anfield ujipigie
sawa nipe muda