Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Origi
1543786701034.gif
1543786742756.gif
 
Dah yani leo nimejikuta napiga kelele bila kuamini kilichotokea..

This Boy Origi, He should stay in Reds, Tena huyu aanze kupata chance daily sabab ushujaa aliounesha leo si wa kawaida, Naweza sema tangu ligi imeanza mwaka huu hakuna Ushindi mtamu sana kwa wana Anfield wote kama wa leo.

Pia kikosi cha leo hasa pale mid kinatakiwa kiwe endelevu, Tumecheza vizur sana leo sema tatizo ni ile foward zetu hasa Mane kupoteza nafasi nyingi, Possibly tungeweza kuwapiga hata 3 kama nafas zingetumiwa vizuri.

Sub ya kumtoa salah ilikuwa mistake sabab hakukuwa na sabab za yeye kutolewa, more than 4 chances alitengeneza pia uwepo wake pale mbele hupelekei beki za team pinzan kumtolea macho yeye na kupelekea kutuachia magap kwingine tupite. Hivyo kumtoa Salah ilifanya everton walerax na kudominate mpira.

Fabhino shaq keita wamepiga mpira mzur sana, lait kama tungewekewa Hendo, Milner pale kati lazima tungeuliwa.

Mwisho firmino leo kazingua but so mbaya next time atarud kwenye form.
 
klopp,mzee wa kuanza vizuuuri na kuzingua mwishoni,ana alergy na silverware huyu!
 
what a tough derby!!
Mpaka boss Klopp kachanganyikiwa!!
I just wish arudishe heavy metal football kuliko style hii anayo apply ya kupata matokeo
heavy metal football wachezaji wanachoka, wanakosa muendelezo.Kumbuka last season, tukicheza mechi mbili ndani ya siku 5 ,lazima tupoteze mechi ya tatu. Na tukasema "Liverpool has no winning game consistency"
At least sasa tunashinda kila game japo zingine zinakuwa ngumu.
 
heavy metal football wachezaji wanachoka, wanakosa muendelezo.Kumbuka last season, tukicheza mechi mbili ndani ya siku 5 ,lazima tupoteze mechi ya tatu. Na tukasema "Liverpool has no winning game consistency"
At least sasa tunashinda kila game japo zingine zinakuwa ngumu.
Umeongea vizuri sana. Pia inasababisha majeruhi. Ila nina uhakika baada ya January tutacheza heavy metal football. Sasa hivi ni kulinda tusifungwe na kucontrol game. Everton wapo vizuri sana, msimu huu watasumbua sana.
 
heavy metal football wachezaji wanachoka, wanakosa muendelezo.Kumbuka last season, tukicheza mechi mbili ndani ya siku 5 ,lazima tupoteze mechi ya tatu. Na tukasema "Liverpool has no winning game consistency"
At least sasa tunashinda kila game japo zingine zinakuwa ngumu.

Mkuu "Heavy Meta Football a.k.a Gengenpressing" haikuwa ndiyo sababu halisi ya Kupoteza games!

Athari ya Gengenpressing Ni moja tu yakuwa kila Wiki lazima itupe injury.

Sababu halisi iliyokuwa ikitufanya tupoteze games ilikuwa Ni Defence na Goalkeeper.

• Last season takriban Michezo 10 ya EPL tulikuwa tupo katika nafasi ya Kushinda lakini tulifungwa au tulidraw kwasababu ya Defence na Kipa.
Kati ya Hizo maarufu zaidi Ni Watford 3 - 3 Liverpool, Liverpool 2 - 2 Everton, Arsenal 3 - 3 Liverpool, Liverpool 1 - 1 Chelsea ... Na kuna Michezo mengine mengi tu tuliyonyimwa ushindi na Kipa au Mabeki.

• Sasa Kwa Msimu Huu kuna Mechi Nyingi ambazo tumekuwa Katika Hatari ya Kupoteza lakini tumeokolewa na Kipa au Mabeki.

Na zilizowazi zaidi Ni Liverpool 1 - 0 Everton, Chelsea 1 - 1 Liverpool, Arsenal 1 - 1 Liverpool, Liver vs BH Albion Mkuu hizi game Ni Umahiri Wa Kipa tu na Mabeki lakini ilikuwa tayari tulale...

√ Wewe unadhani Kwa Game ya Jana angelikuwepo Karius golini ingekuaje?

Mkuu Heavy Metal Football haikuwa sababu ya sisi kufungwa! Ni Karius, Mignolet na Lovren ndiyo Waliokuwa Wakitufungisha.

Now we have Gomez and Alisson
 
Umeongea kama mganga wa kienyeji aisee halafu acha chuki za namna hii utajiongezea shida juu ya shida zako za kila siku
VISHABIKI VYA LOSELFOOLISH HAVIPENDAGI KUAMBIWA UKWELI LAKINI SISHANGAI NDIO SHIDA YA VIAJUZA VYENYEWE VINAKUWA MUCHKNOW SANA KWA VISINGIZIO VYA KUISHI MUDA MREFU DUNIANI MAANA VISHABIKI VYA HAKA KATIMU VYOTE VIMEZALIWA MIAKA YA 60 KUSHUKA CHINI
 
tatizo la shabiki maandazi wa loserfoolish ni muchknow sana ila msimu ukiisha mnakaa kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mkiwa trophyless
unless umehamia mancty ndugu sikuoni kwenye harakati za kubeba ubingwa msimu huu hivyo ongea mengine na sio la ubingwa....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom