Wacha uongo wewe hata mpira huujui labda umeanza kufuatilia jana
- Man City wanatumia 4-3-3 PEP
- Chelsea wanatumia 4-3-3 Sarri
- Real madrid wanatumia 4-3-3 Solari
- Juventus wanatumia 4-3-3 Aleggri
List inaendelea na wewe unatudanganya mchana kweupe kuwa 4-3-3 imepitwa na wakati???????
Formation haiamui sana namna gani timu itacheza, hiyo ni mpangilio tu ya wachezaji wakaaje uwanjani na hizi formation huwa zinabadilika aidha kwa kuswitch wachezaji au kusub. Hizo timu zote nilizozitaja zinacheza vizuri na kuposess mpira
The way you came at me, i genuinely thought kutakuwa na heavy debate, only to get told kuwa "Formations haiamui team itacheza vipi kwa maana ni 'mpangilio' tu.
Dude, Formations ndiyo zinafanya hii sport iitwe football/soccer, Formations ndiyo basis ya huu mchezo.
Bila formations hakuna shapes/postions/tactical switches etc
Bila Formations, Stadiums zisingekuwa na michoro ya white chalks..
Bila Formations, kusingekuwa na kitu kinaitwa 'footie proffesionalism"
Bila formation, huu mchezo ungekuwa ni wa watu 22 wanao-hangaika kufukuzia mpira mmoja uwanjani.
And, since when switching players or making subs ndiyo kubadilisa formation? unajua kuwa you can change shape ya team uwanjani bila ku-affect formations? au unajua kuwa shape ndiyo formation?
Unai Emery, deployed this "Onion ring build-up shape" against us ile juzi, lengo likiwa ni kui-overload our right side, did this shape disrupt his 4-2-3-1 formation?
Countless times, i've explained kuwa, in order to master a modern 4-3-3, you dont need passers now-days, you need transitional merchants, Sarri can play this formations because ana Kante na Barkely kwenye his team, and thats why he does not need to opt kwenye formation ya aina yeyote.
Well, Pep Guardiola, bado mpaka sasa ndiye kocha aliyefanikiwa mpaka sasa kwenye mfumo wa 4-3-3, he's called the "433 mastermind" for that reason, but last time he played a full flowing 433 ni wakati yupo Bayern, Guardiola at City anacheza na 4 creative midfielders behind 1 attacker now. i mean last season he used his old fashioned 433 style against Klopp and got schooled thrice, this season alikuja na formation ya 4-1-4-1, and he got a draw.
This narration, that Pep uses 433 kwasasa ni laughable, Pep started his coaching career at England by playing 3-man defender at the back, and this was Pep's official formation for the majorty of last season and the season before, kwenye hii diagram unaona 433 formation hapa?
you have got 2 number 10s and 2 wide wingers, with ferna as a lone sitter, what makes you think that is a 433 formation? besides which footie school teaches that you can deploy a 433 formation with 2 number 10s in half spaces of the pitch?
Allegri with 433? this one is much laughable, i mean ningekuelewa kwa Pep but Allegri? i can count games ambazo Allegri katumia 433 in his career, unaongelea muumini wa complicated formations, Allegri id well known for his 3 formation, i mean 4-4-1-1/4-4-2-1 and 4-2-3-1, and its a shame because umemtaja Allegri huku ukijua kuwa now anacheza na 2 inside forwards (Cr7 and Dybala), how can you make 433 a success with 2 inside forwards? au "google" imekwambia kuwa hiyo inawezekana?
Solari gani? Santiago? even a random Kid mitaa ya madrid atakwambia Solari ni enthusiast wa 4-2-3-1, Solari na 433?, man was watching Solari first game with my buddies just weeks ago, na tulifanya a quick check na kugundua he deployed a 4-2-2-2 formation, and we laughed so hard about that, leo nakuja kuambiwa kuwa Solari prefers 433, a man who spent his managerial career coaching the madrid youngsters in a 4-2-3-1 formation, leo naambiwa anacheza 433, Solari yupi? naomba proof.
People are confusing formations and shapes, and lucky enough you cant emphasis on shapes bila kutambua basis ya formation husika, mfano formation ya 433, shape yake huwa ni 1-3, 4-2-3-1 defending shape yake huwa ni 1-2, ndiyo maana kama huna capable DM, ni ngumu sana kucheza against pressing teams because ni easy kuwa overrun kwenye MF. i mean dude you cant deploy a 4-4-2 na ukaset shape ya 4-5-1 or 1-2.
Problem, with this modern fans, wanadhani football ni just ku-kick the ball na kupiga chenga, hawaelewi ni kwanini managers wanalipwa hela nyingi ili kufundisha mpira. Again formation inaweza kuwa out-dated but ikaendelea kutumiwa kwa ukubwa tu, kwa mfano, Jardim bado ni muumini mkubwa sana wa 4-4-2, BR nearly won us the league na 4-4-2, even Klopp played with 4-4-2 kwenye baadhi ya games msimu wa 16/17, na pia 4-4-2 is the most preferred and basic formation kwa clubs ndogo across the world.
But world class managers tend to switch formations kulingana na mahitaji ya soccer la kisasa, tunaita formation out-dated kutokana na uchache wa matumizi, back in 2000's karibia kila Club duniani ilikuwa inatumia same formations za 4-4-2/4-5-1, then kwasasa the most used formations ni 4-2-3-1/4-1-4-1/4-4-2-1/4-4-1-1, 4-3-3 is slowly dying kama 4-4-2/4-5-1, though bado kuwa watu wanaipendelea.
And, do your research before quoting my posts, and usitangulize jazba and hate, learn the game and understand the basics. football is a simple and very interesting sport, i post my views for the club i support and my fellow supporters, so kama unaona kuna post hujakubaliana nayo, dip and fanya research then comment on it, otherwise dont bother to quote my posts, its embarrassing.