Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
kweli mziki umevamiwa na Moran...Kwenda zako huko Liverpool tunawajua miaka yote mmekuwa joka la kibisa hamnaga sumu ya kuchukua kombe la Epl hadi kuku wanajua hilo.
kweli mziki umevamiwa na Moran...Kwenda zako huko Liverpool tunawajua miaka yote mmekuwa joka la kibisa hamnaga sumu ya kuchukua kombe la Epl hadi kuku wanajua hilo.
Zuwena zubeda 2 Liverpool 0
Soon ma wewe utaungana na hao.kina samataMnagombania kikombe kimoja na Mbwana Samatta
😀
Soon ma wewe utaungana na hao.kina samataMnagombania kikombe kimoja na Mbwana Samatta
😀
Habari zilizopo tutaondoka midaa ya saa nne usiku uelekeo jijini Manchester.
Watakaosafiri wajiandikishe kwa cute b.
Mnaombwa kuhakikisha hatujaacha kitu huku maana vifaa vyote vitahitajika huko.
Mkuu southern highlands tutaomba uendelee kutuazima maturubai yako.
Mkuu eden kimario yale masufuria tafadhali.
Mkuu titration tutaomba uandike historia/wasifu wa marehemu.
Mkuu Goodluck Mchika utashughulikia ulinzi tuwapo msibani
Wakuu Malafyale, mosdef, AdvocateFi kama mtakuwa na nguvu tutawaomba kwa huduma ya kulia.
Mkuu Jasho La Kuku tutaomba uratibu PA systems.
Msiba wa leo utakuwa mkuu kuliko wa jana, tunaomba tujipange vyema kupepea na kumwagia maji wafiwa.
Mwambie hyo jamaa samata si mtu mbona dharau zimezdSoon ma wewe utaungana na hao.kina samata
Hata kama sio Clyne wakuanza ila huyu dogo kuwa scouser sometimes kunambeba yaani hata hazungumziwi anapofanya makosa!View attachment 924888
hahahahahaha tunakusubiri huko FUTUHI ...........eti hamjazoea kufungwa wakati katika maisha yangu tangu nizaliwe mpaka leo hii nimeoa na nna familia yangu ila sijabahatika kushuhudia hawa LOSERFOOLS wakichukua EPL sasa sijui inakuwaje kama mnafeli kuchukua kombe ila mnakuwa UNBEATEN hahahahahahah hii ni comedy
Assume PSG akuchape alafu udroo na Napoli
Soon ma wewe utaungana na hao.kina samata
Reporter: "Can you put your finger on what went wrong tonight?"
Jurgen Klopp:I only have 10 fingers



na havitoshi
Unalijua EPL weweKwa taarifa yako tu! Liverpool ndiyo Club pekee ya uingereza inayoshika record ya kuongoza kubeba Vikombe vingi vya EPL, ikifuatiwa na Man U, Pia Liverpool ndiyo Club inayoongoza kubeba UEFA kwa club za Uingereza.
Kutokuona Liver ikibeba kombe basi utakuwa ni mtoto wa juzi, Ila kwa taarifa tu hapo 2005 Liver ilibeba UEFA na 2006 ilibeba FA.
Kwahyo pengine umezaliwa kuanzia miaka ya 2010, sad news mwaka huu Liver inaenda kubeba EPL na UEFA.
Hahaa.. Mkuu nimechelewa ila kwa hakika maturubai mmepata. Natuma na vijana wayalete. Hapana shaka tutaomboleza pamoja na wafiwaHabari zilizopo tutaondoka midaa ya saa nne usiku uelekeo jijini Manchester.
Watakaosafiri wajiandikishe kwa cute b.
Mnaombwa kuhakikisha hatujaacha kitu huku maana vifaa vyote vitahitajika huko.
Mkuu southern highlands tutaomba uendelee kutuazima maturubai yako.
Mkuu eden kimario yale masufuria tafadhali.
Mkuu titration tutaomba uandike historia/wasifu wa marehemu.
Mkuu Goodluck Mchika utashughulikia ulinzi tuwapo msibani
Wakuu Malafyale, mosdef, AdvocateFi kama mtakuwa na nguvu tutawaomba kwa huduma ya kulia.
Mkuu Jasho La Kuku tutaomba uratibu PA systems.
Msiba wa leo utakuwa mkuu kuliko wa jana, tunaomba tujipange vyema kupepea na kumwagia maji wafiwa.
Hahaa.. Hii ya msiba kuwa postponed sijawahi isikia. Msiba msiba tuHahahhahahaha daaaaaahhhhhhhhhhhh.
"Unategemea urithi mshua kapata nafuu"
Mkuu watangazie kabisa wale washibe maana kuna uwezekano mkubwa sana mgonjwa akapona, na msiba ikawa postponed.
We are UNITED![]()


Sema futuhi bhanaEuropa League.......... Kuanzia kesho nianze kuitazama sasa niizoee mapema kwa sababu hakuna namna tena