Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Naona unaelekea kuwa sawa na kina Ollachuga Oc , eden kimario na Malafyale...
Jilindie heshima yako katika Forums za Soccer kwa kupost vitu vinavyomake sense.

Khe khe khe kheeeee wakati wa mechi nitaongea point. Sasa hivi ni mwendo wa kuwakera mpaka tutakapohamishia matanga Manchester baadaye usiku.

Halafu angalia hata source niliyoweka. Najua una machungu lakini kunitishia heshima yangu hakutosaidia mimi kukaa kimya.
 
Khe khe khe kheeeee wakati wa mechi nitaongea point. Sasa hivi ni mwendo wa kuwakera mpaka tutakapohamishia matanga Manchester baadaye usiku.

Halafu angalia hata source niliyoweka. Najua una machungu lakini kunitishia heshima yangu hakutosaidia mimi kukaa kimya.
Endelea kuchochea moto
 
Khe khe khe kheeeee wakati wa mechi nitaongea point. Sasa hivi ni mwendo wa kuwakera mpaka tutakapohamishia matanga Manchester baadaye usiku.

Halafu angalia hata source niliyoweka. Najua una machungu lakini kunitishia heshima yangu hakutosaidia mimi kukaa kimya.
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah unajivunjia heshima yako
 
Ishuke zaidi

Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah unajivunjia heshima yako

Mo Salah aka Egyptian Michu https://t.co/gTe1b5G3Gf
IMG_20181107_172729.jpeg
 
Endelea kuchochea moto

Mwisho saa 4 usiku tu haya, kuanzia hapo mutatupokea kijiti coz wote hawa waliojenga kambi hapa watahamishia Maturubali mtaani kwenu.

Mimi sitokuja mtaani kwenu lakini Malafyale ataniwakilisha huko.
 
Yani pale kati bora ukamueke Mkude anaweza akatembeza Japo buti akala umeme.

But siumishi kichwa sana kwenye EPL naamini hata kama tutashindwa lakini Marathon tunaiweza na tutatoa upinzani kwa City na si timu nyengine ambazo zinajiona zinatoa upinzani kumbe zimekuwa blinded na False hope.
Kwenda zako huko Liverpool tunawajua miaka yote mmekuwa joka la kibisa hamnaga sumu ya kuchukua kombe la Epl hadi kuku wanajua hilo.
 
Another Evidence ya Kuprove Kuwa Klopp anawafavor Waingereza.

• Fabinho won 9 tackles at Anfield vs Red Star Belgrade.
Lakini kucheza vibaya kwa mechi moja tu v/s Arsenal Waingereza wakamlalamikia basi Klopp kaamua kumuhukumu na kumueka juu game ya jana.

• Gini Wijnaldum, James Milner and Adam Lallana won a combined Zero tackle in the reverse fixture.
Lakini hapo hutoona Klopp kuwahukumu hao kina Gini, Lallana na Milner kwasababu Waingereza Wenye timu wamepiga kimya.
 
well said...nothing more nothing less...
Klopp Blamed

Graeme Souness has pointed the finger at Jurgen Klopp after Liverpool’s defeat to Red Star last night.

The Reds were downed by two first-half Milan Pavkov strikes and the former Reds boss blamed Klopp’s team selection.

“I think not starting with Firmino or Joe Gomez,” the pundit told Virgin Media One when asked where it went wrong for his former club.

“The fact they were on the bench and came on half time suggests they were fine so it wasn’t them carrying something.

“I think the message it sends to the rest of the players was, ‘You won 4-0 last time we’ll be fine again tonight.’

“I’m of the belief you start with your strongest team, get the game won and then get off the players you want to rest.

“I think that message by not picking your strongest team to start with would have an effect with some of the players who did start.

“They weren’t at it. They didn’t start right and when you don’t start right, it really is an uphill battle to get the momentum back again.

“I felt they handed the momentum to Red Star and they managed to keep it for the rest of the game.

“They’re not at the level they were at last year, Liverpool.”
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom