Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Izo za marudiano unaweza shinda moja tu.

#Alhamisi_inakuhusu.
We unaota ndoto za mchana rafiki yangu na labda hujui mpira ila wewe ni mshangiliaji wa mpira tu.sasa kwa kundi lipi hilo Liverpool ashindwe kufuzu au kufungwa na Napoli away ndo tatizo
 
Mzee baba una ichukuliaje arsenal!? hzi sio zama za wenger mzee, we kaa na kalamu na daftar karibu u note mambo ya lacazete mkamuambukize firmino afanye na yy, ule ugumu wa torreiara utapata kwa Nani pale liver msituchukulie poa timu kama PSG tangu lini ikatusumbua,. We ngoja November tukutane ndo mtatusoma kwa kichina

Arsenal nao wameshaanza kuongea?
Kweli maisha yanakwenda kasi.
 
Salah ni kama msimu uliopita alikuwa anabahatisha tu kufunga,coz msimu huu hakuna anachokifanya,anapoteza mipira hovyo hana confidence, yan kiujumla ile front three inabidi salah akae benchi shaqir apewe nafasi
 
Liverpool imekosa kiungo mwenye ubunifu
Keita, farbihno, Chamberlain Henderson wote wanafanana kiuchezaji
 
Ratiba yetu ya October na September:

October
√ 20 – Huddersfield Town (A)
√ 27 – Cardiff City (H)

November
√ 3 – Arsenal (A)
√ 11 – Fulham (H)
√ 24 – Watford (A)

Ni Michezo 5 tunayohitaji Minimum iwe Ni Points 13
 
Mzee baba una ichukuliaje arsenal!? hzi sio zama za wenger mzee, we kaa na kalamu na daftar karibu u note mambo ya lacazete mkamuambukize firmino afanye na yy, ule ugumu wa torreiara utapata kwa Nani pale liver msituchukulie poa timu kama PSG tangu lini ikatusumbua,. We ngoja November tukutane ndo mtatusoma kwa kichina
Utawafunga hao hao.
 
Watu Wengi Jana Hawakufurahishwa Na Kitendo Cha Klopp Kuipangua Defence ya Combi ya VVD&Gomez lakini Mimi naweza kukikubali Au Nisikikubali alichofanya Klopp.

Naweza Kukubali Kuwa Klopp Alikuwa Sawa Kuipangua Defence:

• Iwapo Klopp katika game plan Yake alikusudia Kuzuia thread zozote zitokanazo na Sterling au Sane Kwa Kweka Mtu ambaye Ni Mzuri zaidi Kwa Man Marking basi ninakubaliana na Klopp Kwani Gomez Kwa Kumkaba Mtu basi Kazi anaiweza kuliko TAA na Ndiyomana Jana Sterling akiishia Kuwa Mzururaji Kwenye Winger ya Kushoto.

Sikubalianai Na Klopp:

• Iwapo aliipangua Defence Kisa tu TAA amecheza Vibaya Katika Michezo Miwili iliyopita {vs Chelsea (EPL) na Napoli (CL)} Kwani TAA ametuexpose sana Kwa Kukosa umakini.
Kwahiyo Kama Amemueka Bench Kiss alicheza vibaya basi siwezi kukubaliana nae Kuwa Katumia Ukocha Bali nitasema Katumia Hasira ambazo hakupaswa Kuwa Nazo Kwani TAA anafundishika na so Pron error.

• Iwapo Aliipangua Defence kisa tu Mr. Pron error Lovren ameshapona kwahiyo Alitaka tu Klopp Kumuona Lovren nayeye anacheza! Basi hapo sitokubaliana na Klopp Kwani Kwani Mchezaji anacheza Kulingana na AnachoOffer uwanjani na Si Kwasababu tu Ni Mzima.

Kwahiyo Klopp Kwa Upande Wangu alikuwa Sahihi au Hakuwa Sahihi.

Finally: Klopp alifanikiwa Kwenye Defence Kwa Mechi ya Jana.
 
Nikivuta Kumbukumbu Zangu Basi Jana niligundua Kuwa Katika Kipindi Cha Misimu 3 iliyopita basi Jana Ndiyo Siku tuliyocheza na Man City Nyepesi Zaidi kufungika.
Lakini Hatukuwa na Wafungaji.
 
Ata nyie na haohao
Kwahyo ndugu kuona umemfunga Fulham 5 basi ukadhan maisha ni mteremko tu, sio? Wew mwenyew unakumbuka ulivyoanza na zile timu kubwa nn uliambulia, hata draw ulikosa. Mpaka sasa Liver haijapoteza mechi yoyote kwenye league, uje utufunge ww Arsenal.
 
Mzee baba una ichukuliaje arsenal!? hzi sio zama za wenger mzee, we kaa na kalamu na daftar karibu u note mambo ya lacazete mkamuambukize firmino afanye na yy, ule ugumu wa torreiara utapata kwa Nani pale liver msituchukulie poa timu kama PSG tangu lini ikatusumbua,. We ngoja November tukutane ndo mtatusoma kwa kichina
They didnt play with NOBODY
Hizo mechi walizo shinda wamemfunga nani?
Arsenal BADO haipo level moja na Liverpool
Tuwe wakweli jamani
 
Kwahyo ndugu kuona umemfunga Fulham 5 basi ukadhan maisha ni mteremko tu, sio? Wew mwenyew unakumbuka ulivyoanza na zile timu kubwa nn uliambulia, hata draw ulikosa. Mpaka sasa Liver haijapoteza mechi yoyote kwenye league, uje utufunge ww Arsenal.
Mechi za mwanzo tulikua atuja settle sahv tuko vzuri we subr mwez wa 11 sio mbali mtauona moto
 
Today (8th October) is a exactly 3 years Jurgen Klopp was appointed Liverpool manager.


3 years
0
 
Liverpool have not conceded a Premier League goal at Anfield for eight months.
 
Nikivuta Kumbukumbu Zangu Basi Jana niligundua Kuwa Katika Kipindi Cha Misimu 3 iliyopita basi Jana Ndiyo Siku tuliyocheza na Man City Nyepesi Zaidi kufungika.
Lakini Hatukuwa na Wafungaji.
Sijui kama watu wengi wameligundua hilo
Kiukweli Klop apajenge pale kati pasukume mbele sio mbele pasaidie katikati.

Wangekamilika wangetuabisha na uzuli gudiola hajiamini kwa Liver
 
Sijui kama watu wengi wameligundua hilo
Kiukweli Klop apajenge pale kati pasukume mbele sio mbele pasaidie katikati.

Wangekamilika wangetuabisha na uzuli gudiola hajiamini kwa Liver
Jana Sikuona tofauti ya Uchezaji wa Keita na Lallana, Nadhani kama Keita akipewa nafasi atakuwa ni Key player kwenye style ya Klop..

Henderson ni mzuri kupiga pasi ndefu ila nimwepesi kumpita yaani hawezi kukaba kabisa...
Gini ndio Zidane wetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom