Nishamshusha vyeo kocha huwezi kutumia pauni 100+ mil kuweka benchiMwanangu viungo Gini, Milner, Hendo hadhi yao wote kutokea Sub sasa kocha wetu ye lazima Gini awepo, na lazima kati ya Hendo au Milner awepo. Watu kama Lallana, Hendo ni wa kuuzwa. Kocha muoga anawaogopa waingereza
Hapa nimeamini sasa toka msimu uanze sijaona pressing kali
tungeweza kudiscuss kuhusu blunders za Lallana na Gini kwenye magoal ya Red star, but kuna top red atasema ni agenda kwasababu nina "chuki"
some "football experts" on this platform are so laughable.
Hahahaha mbna unalia lia ..klopp wenu alisema ahojiwe baada ya miaka mitatu.dah cjui tutakimbilia wapi huko europa napo ndio balaa kuna chelsea,arsenal na bado man united na atletico wanaweza kutufata
Very disappointed with first half display
Sa nyingine huwa siamini kama kuna kikombe chochote tutakuja kushinda kwa kocha huyu....very poor team selection
kumbe yakinaswa huwa yanalia kwa sauti mwingine anamtaja hadi benitez walahi liverpool bana full comedy





Matip,Lalana waondoke tu watuachie liver yetu
Huwezi acha wafiwa walale wenyewe.Waacheni walale, kesho mtakuja kuwananga
Lakini mkuu liverpool nyie si unbeaten ..mna ukuta mgumu ...kipa bora ..imekuaje leo??hAMNA HAJA YA KUANZA KULUMBANA
Imefungwa Liverpool yote
Haina maana yyt ya kuanza ku single out wachezaji