Unaleta khabari za giggs wakati tunamuongelea salah na hazard.Giggs miaka 44 Makombe 35
Chelsea miaka 112 Makombe 26
maned up, he scoredwe will open up cardiff this half..
just need Mane to get himself involved a bit more
Yep. he woke up lolmaned up, he scored
Wewe timu imeshajifiaga Siku nyingiSiku utakayofahamu kuwa Kujibizana na Rant Boys Wa Chelsea Ni Kupoteza Muda basi utajifunza kitu kikubwa sana.
Haileti Mantiki Mshabiki Wa Timu iliyianzishwa 1892 kujibizana na Mshabiki Wa Timu iliyoanzishwa 2004.
Mimi nmetolewa raund ya 16 lakini kiwango cha pesa nilichoingiza so haba £57m ..smbapo ningefika hata semi final ningekupita tayari.Robo ipi hio unayoongelea wewe! Wewe umetolewa na barca hatua ya mtoano kama manu! Barca katolewa robo na roma!
Wanashangilia ushindi wa magoli usiyo na faida yeyote..Humu ndani vikombe vyao wameviona kupitia youtube,anayemkaribia hazard kwa kubeba medal trophies ni kijana wetu sturredge tu, team nzima wachezaji hawajui vikombe ni nini ,kushiriki wanaweza kushinda sio lengo lao
Mimi nmetolewa raund ya 16 lakini kiwango cha pesa nilichoingiza so haba £57m ..smbapo ningefika hata semi final ningekupita tayari.
Come on CardiffWatoto wametuharibia clean sheet... mamamamae...
Acha uchawi we jamaaCome on Cardiff
Hizi goal mbna zinarudi mzee..
Sikufika kwa sababu nilitolewa.Kwanini haukufika semi final..!?
NINGE ni kauli za wakosaji na wazembeMimi nmetolewa raund ya 16 lakini kiwango cha pesa nilichoingiza so haba £57m ..smbapo ningefika hata semi final ningekupita tayari.
Rudi mchezoni basi.. 3 hizo.. vipi madogo zako watachomoa?Sikufika kwa sababu nilitolewa.
Wewe uliyefika ulichukua nini?
Mshindi wa pili???! Haha...
4 for 1Come on Cardiff
Hizi goal mbna zinarudi mzee..
Maneeee!Wakuu naombeni matokeo ya Liver
Liverpool sio timu ya ushindani.Acha uchawi we jamaa
4-1Liverpool sio timu ya ushindani.
Hii game inaisha draw.