SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,449
Mzee baba league nimenyanyua mara kibao tu. Huko kwenye UEFA ambako ww umewekwa maranking ya juu una makombe mangap? Mara ya mwisho kuchukua ulikuwa una miaka mingap [emoji23] [emoji23]Na EPL je mnaweza kulipata?
Na toka 2011 mpaka leo umeshuhudia nini
Mbona nyie hamna hiyo historia? Na tangu mmeanza kushinda mmeshampita Liver makombe mangapi? Community shields? AmaNimechukulia huo mwaka maana toka hapo sijasikia mmebeba chochote, mmebaki na historia ,nenden makumbusho bas
Epl umenyakua wapi? Labda uliibe nioneshe picha mkiwa na EPLMzee baba league nimenyanyua mara kibao tu. Huko kwenye UEFA ambako ww umewekwa maranking ya juu una makombe mangap? Mara ya mwisho kuchukua ulikuwa una miaka mingap [emoji23] [emoji23]
Toka 2011 unatofaut gan na spurs wa 2008?Mbona nyie hamna hiyo historia? Na tangu mmeanza kushinda mmeshampita Liver makombe mangapi? Community shields? Ama
Klopp (3 years)
0 Premier League
0 Champion's League
0 Europa League
0 FA Cup
0 League Cup
What fun started?
Kumbuka kuwa Liverpool mnafungwaga na vijitimu vidogo na nafikiri kwa sababu mnavizarau! Tudubiri tuoneLiverpool imeweza vuka salama ratiba ngumu kweli kweli!
Tunaenda International break na kurudi kucheza na HUDD,Fulham,Cardiff,Watford na Arsenal
Mechi hizi 5 akina Salah watafunga sana
Msimu uliopita na huu kwa idadi ya mechi Mo Salah ana tofauti ya goli moja tu, m3 nafikiri mechi bado ni nyingi"Mo Salah alichofanikiwa kuja nacho msimu huu kutoka msimu ulopita ni nywele tu na ndevu zake.." Mawingu FM
"Kama Salah ni mwanaume kweli, arudie kufanya alichofanya msimu ulopita.." DaudaShaffih
Mpaka sasa jogoo yupo nafasi ya 3. waliopo juu yake hawamuogopi. maana alinitahidi sana kupambana nao ili akae hapo juu akashindwa. wakamporomosha nafasi ya 3. walikuwa wanataka kumchinga awe supu akajitetea eti anamaumivu ya mechi za nyuma. mechi ya chelsea aliponea dakika za mwisho. ya mancity nayo dakika za mwisho. nilisikia wakishangilia dakika 86 nikajua wamepata goli kumbe ni kisu kilikataa kumchinja. wakashangilia.Nani bado hayaogopi majogoo?
a very dull game... LFC vs M.City. so dreadful.
kinachotubeba tangu msimu huu uanze ni ile focus yetu tunapokuwa hatuna mpira pamoja na solidity kwenye defence.
naona front 3 yetu kweli bado haijakaa vizuri. ..poor first touch and, worse, poor final ball. but am sure soon watarejea kwenye kiwango cha msimu uliopita. hapo ndipo timu itakuwa ipo nearly 100% na sidhani kama kutakuwa na wa kutuzuia all the way.
sasa hivi performance ipo around 70% only lakini we dominated Chelsea at their own backyard (S/bridge) and we bullied a star-studded PSG...sasa imagine tukiwa 100% nani wa kutusimamisha?[/QUOTE
Last season unayosema ni ipi uliyokuwa 100% City first leg alikupiga 5 kwa 0. ukaja ukamfunga 4 kwa 3. hapa tunaongelea epl. kama unaongelea uefa. kwa kweli uefa mlikuwa wazuri sana. na salaa alipoumia tu ndo kilikuwa kipogo chenu. epl mliachwa na point nyingi sana.
Duh Isee, watu mnapata taabu na Liverpool!Kwa Liverpool hii mbovu sioni ikichomoka mbele ya man city
Hakuna namna mtaepuka kipigo cha kwanza cha EPL Baada ya kile cha napoli
Kumbuka kuwa Liverpool mnafungwaga na vijitimu vidogo na nafikiri kwa sababu mnavizarau! Tudubiri tuone
kwa miaka ya hapa karibuni ili uchukue ubingwa ni lazima uweze kuzishinda timu kubwa au kutoa sare,tunasema arsenal kuchukua ubingwa ni ndoto sababu huwezi mfunga chelsea,liverpool,man u,man cty labda ambaye una uhakika nae kuwa utamufunga ni tottenum tu.Haya mimi nimefungwa na hao wakubwa, haya nakupumulia point 2 nyuma
Wewe kombe lako kuwafunga wakubwa tu?
Endelea kukariri, utachukua wewekwa miaka ya hapa karibuni ili uchukue ubingwa ni lazima uweze kuzishinda timu kubwa au kutoa sare,tunasema arsenal kuchukua ubingwa ni ndoto sababu huwezi mfunga chelsea,liverpool,man u,man cty labda ambaye una uhakika nae kuwa utamufunga ni tottenum tu.
Liverpool ya mwaka gani hiyo?Kumbuka kuwa Liverpool mnafungwaga na vijitimu vidogo na nafikiri kwa sababu mnavizarau! Tudubiri tuone