Lecheminduroi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 1,183
- 3,593
Hendo leo kapiga kazi
Kweli kabsaa hujaona anavyo jifichaMimi macho yangu yote kwa Henderson nione ni kwa nini mashabiki wanamchukia.
Mpaka sasa sijaona kosa alilofanya...Half time.
Game inaenda according to plan. Nitafurahi iishe hivihivi 0 - 0 ila Man city wakishinda itapendeza pia.
Angalia na mido zako zinazalisha nini?Wale Watatu Wa Mbele Salah-Firmino-Mane wamekuwa Ni Chui asiye na Meno hawana Madhara Yiyote uwanjani Zaidi ya Kukimbiakimbia ovyo tu.
Sasa Klopp aingie Sokoni Kwa ajili ya Striker hakuna jinsi.
Nnamashaka na Kloop hajiamini ki mbinu sijui alikusudia nini kuongeza wachezaji hafu anaendelea kutumia walewale bila kujali nguvu walizo tumia msimu ulio pitaMilner is 33 na ni mmoja kati ya engine ya team, but you cant afford to play him kila match kwa umri wake..
Its not a rocket science.
We have depth kwenye midfied now, use it.
yap mkuu uko sahihi cha msingi tusije kukumbwa na ule mzimu wa miaka ya nyuma wa kutoa droo au kufungwa na timu ndogo ndogoSiyo mbaya
Team imeonyesha inazidi kukomaa
Sasa tunaenda International break na kurudi kucheza natrashes
Hudd
Fulham
Cardif
Hizi points 9 za wazi na akina Salah wataanza kufunga
Jamani tumecheza mechi 6 ngumu back to back
PSG,SPURS,CHELSEA,CHELSEA,NAPOLI,MAN CITY
Hawa vijana wanastahili pongezi kwa kweli
Nakusalimia mzee wa ushindi mbele kwa mbele........!!Hatujaandaa kitambaa cha sare sisi! Ushindi mbele kwa mbele
To be Honest: Sijawahi Kumpongeza Henderson lakini Leo Kwa Mara Ya Kwanza Ninampongeza Kawa Outstanding.
But: Sijawahi Kutamka hili lakini Leo Ninatamka Rasmi Kuwa Sina imani na hii Timu Kuwa inawezashinda Chochote Kupitia Watu Hawa Mane-Salah-Firmino ambao hawawezi Kuscore Hata Kwa Wake Zao achiliambali Uwanjani.
Teams ndogo ndogo sasa ni chakula chetuyap mkuu uko sahihi cha msingi tusije kukumbwa na ule mzimu wa miaka ya nyuma wa kutoa droo au kufungwa na timu ndogo ndogo
Mbona mnakataaga Tamaa mapema ivi. Wazee wa kuchukua UEFA champion leaguewrong choice lovren ndo right back au ana cheza na three defenders at the back? kwa formation hii sidhan hata draw tutapata kitakuwa kipigo kikubwa kama msimu uliyopita.
Lovren kweli akamzuie Sane hapo hapo kuna back and sideways passes za henderson.
Kwa mtazamo wangu hii mechi tumepoteza big time labda niwape benefit of doubt
mkuu umekata tamaa mapema mno mbona hiyo foward kali ya kina aguero hawakufunga?hivi unadhani ilikuwa rahisi kumfunga kocha bora kama pep kwa mara ya 3 mfululizo?kumbuka na guardiola alipanga leo kutuua hapohapo home ground ili audhihirishie ulimwengu kuwa alifungwa na liver just by chanceTo be Honest: Sijawahi Kumpongeza Henderson lakini Leo Kwa Mara Ya Kwanza Ninampongeza Kawa Outstanding.
But: Sijawahi Kutamka hili lakini Leo Ninatamka Rasmi Kuwa Sina imani na hii Timu Kuwa inawezashinda Chochote Kupitia Watu Hawa Mane-Salah-Firmino ambao hawawezi Kuscore Hata Kwa Wake Zao achiliambali Uwanjani.