Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Labda upo sawa.

Kwa wewe Keita na Hendo wewe unampanga nani?
Keita na Hendo wanacheza same position kwani?

Kwa mtazamo wangu, wakicheza hao wawili, Hendo anakuwa defensive mid.

Hendo akicheza na Milner basi anacheza mbele ya Milner.

Kwa liverpool ya sasa, labda kumpanga Fabinho mbele ya Henderson ingawa ile game aliyocheza alisababisha fouls nyingi. #sijui
 
Keita na Hendo wanacheza same position kwani?

Kwa mtazamo wangu, wakicheza hao wawili, Hendo anakuwa defensive mid.

Hendo akicheza na Milner basi anacheza mbele ya Milner.

Kwa liverpool ya sasa, labda kumpanga Fabinho mbele ya Henderson ingawa ile game aliyocheza alisababisha fouls nyingi. #sijui
Kocha hufanya hivyo kwamaana akimpanga Keita Gini anarudi 6 na ndo kocha huwafinyia sub kama nlivyo kuuliza.

Kwa wewe utampanga nani?
 
Kocha nguli na mwenye mafanikio Zaidi ligi kuu ya Uingereza Sir Alex Ferguson alipata kuandika kwenye kitabu chake kuwa Jordan Henderson sio mchezaji wa mpira


Kitu pekee ambacho Fergusson hakukipenda kwa Henderson ni ukimbiaji wake akisema kuwa, ukimbiaji huo utakuja kumletea majeraha mbeleni.

Mpaka kufikia kumuongelea Henderson, inamaanisha kuna kitu alikiona kwa Henderson. Mpaka akafikia kuongea na kocha wa Sunderland wakati huo kutaka kumsajili.
 
Kocha hufanya hivyo kwamaana akimpanga Keita Gini anarudi 6 na ndo kocha huwafinyia sub kama nlivyo kuuliza.

Kwa wewe utampanga nani?


Kwa sasa Henderson nitamweka defensive kisha Keita na Wijnaldum wacheze mbele.


Baadaye Fabinho akipunguza errors nitamwanzisha...muda huo Hendo pia atakuwa amechoka vya kutosha.
 
Liverpool imeweza vuka salama ratiba ngumu kweli kweli!
Tunaenda International break na kurudi kucheza na HUDD,Fulham,Cardiff,Watford na Arsenal
Mechi hizi 5 akina Salah watafunga sana
 
mkuu umekata tamaa mapema mno mbona hiyo foward kali ya kina aguero hawakufunga?hivi unadhani ilikuwa rahisi kumfunga kocha bora kama pep kwa mara ya 3 mfululizo?kumbuka na guardiola alipanga leo kutuua hapohapo home ground ili audhihirishie ulimwengu kuwa alifungwa na liver just by chance
Unajihangaisha tu kumjibu mkuu!
Kuna watu HAWAJUI soka kaka basi tupo nao hapa
Kwa ratiba ya Liverpool hii na kuvuka salama ni ushahidi kuwa team hii ni nzuri hata kupita maelezo
Ona ratiba hii SPURS,PSG,CHELSEA,CHELSEA,NAPOLI,MAN CITY
Lkn bado tumeweza vuka salama ndani ya mwezi tu,team gani inaweza ikawa na ratiba hii ikawa OK?
Walete hao CARDIF kama hajapigwa 6 Anfield
 
Liverpool imeweza vuka salama ratiba ngumu kweli kweli!
Tunaenda International break na kurudi kucheza na HUDD,Fulham,Cardiff,Watford na Arsenal
Mechi hizi 5 akina Salah watafunga sana
Kwa maana hiyo kina Salah wamebaki kufuzifunga timu ndogo tu.
 
a very dull game... LFC vs M.City. so dreadful.

kinachotubeba tangu msimu huu uanze ni ile focus yetu tunapokuwa hatuna mpira pamoja na solidity kwenye defence.

naona front 3 yetu kweli bado haijakaa vizuri. ..poor first touch and, worse, poor final ball. but am sure soon watarejea kwenye kiwango cha msimu uliopita. hapo ndipo timu itakuwa ipo nearly 100% na sidhani kama kutakuwa na wa kutuzuia all the way.

sasa hivi performance ipo around 70% only lakini we dominated Chelsea at their own backyard (S/bridge) and we bullied a star-studded PSG...sasa imagine tukiwa 100% nani wa kutusimamisha?
Hwa watu wamecheza mechi 6 ngumu ndani ya mwezi tu
Kweli hivi vitimu ambavyo Arsenal anavipiga 5 vitamsumbua Liverpool?
Hizi Cardif na Hudd?
Liverpool ni team nzuri sana na mechi hizi ngumu back to back bado tunapata matokeo
 
Hata Hivyo Tumepitia Kipindi Kigumu Sana From Spurs, PSG, Chelsea, Chelsea, Napoli mpaka Man City sio Kazi Ndogo.

Sisi Tunapambana Na Miamba Hiyo Huku Wenzetu Walikuwa Wakijipigia Vibonde.

Sasa na sisi Zamu yetu umefika kukipiga na Vibonde.
100% mechi hizi na Cardiff tukishindwa wafunga 3-0 kuanzia ndiyo ulaumu mkuu
Liverpool alikuwa na ratiba ngumu mno ktk siku 23 tu
Team hizi alizo cheza nazo Liverpool hawa Arsenal wanaotamba kama hawajapoteza game mechi 8 anamfunga nani?
Arsenal anaweza pata point yyt kwa Man City,Chelsea,PSG,SPURS,Napoli?
Tuwe wakweli jamani,tumevuka salama kipindi kigumu sana
 
Hwa watu wamecheza mechi 6 ngumu ndani ya mwezi tu
Kweli hivi vitimu ambavyo Arsenal anavipiga 5 vitamsumbua Liverpool?
Hizi Cardif na Hudd?
Liverpool ni team nzuri sana na mechi hizi ngumu back to back bado tunapata matokeo
very true.
mimi sina mashaka msimu huu kwa kuwa tunacheza kikubwa zaidi - siyo ule utoto wa hii misimu 2 iliyopita!
 
Some interesting comments from Klopp:

"The reason why we didn't change the formation much so far - it will happen now more often - is because all the teams we played in the last weeks, apart from Southampton, we had to play against the ball”

"You have to be perfectly organised. With new players, it's quite difficult to do the right things constantly. We had the ball, but we had to be really perfect in defending”

We may be eager to see Fabinho, Keita and Shaqiri play more games, the boss man has a bigger plan. He’s thinking long term and splitting up the season in parts.
This is part 1 done.
Let’s see what part 2 brings. It’s clear Klopp isn’t happy with the international games.

He needs to pull a fergie and pull these boys out of meaningless games. Our squad needs all the help it can get
 
These are the first nominees for the 2018 Ballon d'Or France Football!

🇦🇷Sergio Agüero
🇧🇷Alisson Becker
🏴󠁧󠁢󠁷󠁬󠁳󠁿Gareth Bale
🇫🇷Karim Benzema
🇺🇾Edinson Cavani

5/30 #ballondor
 
It’s funny how Guardiola and Klopp have spent years coaching their respective clubs and spending 300m+ only to be level on points with Chelsea. Shows what an elite talent can bring to a club. Eden Hazard levels the playing field.

Hii Ni post ya Kitwitter na si Post ya Kimpira.

Thamani Ya Mchezaji inaangaliwa Kwa Current Market na si Bei ya Miaka 7 iliyopita.

Kwahiyo Ukiangalia Bei ya Hazard na Kante Kwa Soko la sasa Hakuna Mchezaji yoyote Wa Man City au Liverpool anayezifikia.
 
100% mechi hizi na Cardiff tukishindwa wafunga 3-0 kuanzia ndiyo ulaumu mkuu
Liverpool alikuwa na ratiba ngumu mno ktk siku 23 tu
Team hizi alizo cheza nazo Liverpool hawa Arsenal wanaotamba kama hawajapoteza game mechi 8 anamfunga nani?
Arsenal anaweza pata point yyt kwa Man City,Chelsea,PSG,SPURS,Napoli?
Tuwe wakweli jamani,tumevuka salama kipindi kigumu sana
Mzee baba una ichukuliaje arsenal!? hzi sio zama za wenger mzee, we kaa na kalamu na daftar karibu u note mambo ya lacazete mkamuambukize firmino afanye na yy, ule ugumu wa torreiara utapata kwa Nani pale liver msituchukulie poa timu kama PSG tangu lini ikatusumbua,. We ngoja November tukutane ndo mtatusoma kwa kichina
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom