Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
Keita na Hendo wanacheza same position kwani?Labda upo sawa.
Kwa wewe Keita na Hendo wewe unampanga nani?
Kwa mtazamo wangu, wakicheza hao wawili, Hendo anakuwa defensive mid.
Hendo akicheza na Milner basi anacheza mbele ya Milner.
Kwa liverpool ya sasa, labda kumpanga Fabinho mbele ya Henderson ingawa ile game aliyocheza alisababisha fouls nyingi. #sijui
Sergio Agüero
Alisson Becker
Gareth Bale
Karim Benzema
Edinson Cavani