Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Siyo mbaya
Team imeonyesha inazidi kukomaa
Sasa tunaenda International break na kurudi kucheza natrashes
Hudd
Fulham
Cardif
Hizi points 9 za wazi na akina Salah wataanza kufunga
Jamani tumecheza mechi 6 ngumu back to back
PSG,SPURS,CHELSEA,CHELSEA,NAPOLI,MAN CITY
Hawa vijana wanastahili pongezi kwa kweli
Sana chief, hata kwa hizi draw si mbaya tukaenda mapumziko kwa hali tuliyonayo..!!!
 
Nnamashaka na Kloop hajiamini ki mbinu sijui alikusudia nini kuongeza wachezaji hafu anaendelea kutumia walewale bila kujali nguvu walizo tumia msimu ulio pita

Kwakweli nakubaliana na wewe mkuu, tumesajili halafu hatuwatumii ipasavyo matokeo yake wanapoteza confidence kabisa. Mtu kama Keita alianza vizuri sana, sasa hii tabia ya kumuweka bench imeanza kumuathiri kisaikolojia. Fabinho ni holding mzuri sana naye bench, basi angalau achezeshwe kulia ili TAA apumzike.
Shaqiri ana nguvu with long shots and faul taker as well but hachezi pamoja na kuwa Salah ili out of form.
 
Football ni very interesting sport, and unakuwa mchezo mrahisi sana kama ukiwa unaufatilia kwa ukaribu..

Form ya fab 3 last season, iliwafanya watu wasione umuhimu wa kuwa na number 10..ndiyo maana tulivyomiss-out kwa Fekir, watu wakachukulia kawaida sana..

We lack creativity big time, na kibaya zaidi hatuna option yeyote from the bench zaidi ya shaqiri na keita ambao nao siyo direct experts kwenye hiyo role..

You can argue kuwa kuondoka kwa Buvac kumeleta changamoto kwenye our attacking patterns, but its so evident kuwa we needed a focal number 10 last summer..

And again, last season tulitegemea zaidi creativity ya our fab 3, lakini kwa bahati mbaya msimu wote wapo off form, but in detail ni kwamba kuna factors zinazoplekea hicho kitu pia, ukiangalia game ya Napoli, our midfield-3 (Hendo/Milner/Gini), walipiga foward passes 24 kwa dk zote 90.. sasa hakuna attack itakayofanya kazi kama midfield yake inapiga passes 24 tu kwenda mbele kwa muda wa dk 90 thats we dont have a solid combination play mpaka sasa..

We still have time ya kushape our team, but personally i dont have any hopes kwa msimu huu tena and i’m not over-reacting or anything.

I mean you need to be worried when your Manager change the most balanced Centre-back pairing in the league kisa tu Lovren is fit and dropping a 20 year old on the bench because of some few bad games and at the same time unakosa balls za kumdrop henderson ambaye hana a single good game tangu huu msimu uanze..

I dont have any hopes kwa msimu huu to be honest.
 
Kiujumla Liverpool strength yao ipo kwenye maana halisi ya timu, team work. Wachezaji wake wote ni average players lakini kupitia team work wana-deliver.
 
Hata Hivyo Tumepitia Kipindi Kigumu Sana From Spurs, PSG, Chelsea, Chelsea, Napoli mpaka Man City sio Kazi Ndogo.

Sisi Tunapambana Na Miamba Hiyo Huku Wenzetu Walikuwa Wakijipigia Vibonde.

Sasa na sisi Zamu yetu umefika kukipiga na Vibonde.
kama unalijua hilo sasa inakuwaje unaanza kulaumulaumu
 
Pengo la Coutinho ni gumu kuzibika. Kwa huu upangangaji wa kikosi wa huyu kocha wetu tusahau UCL na EPL, sijui kama tutalipiza kisasi kwa Man Utd na mechi yetu versus Arsenal itakuwa mechi ngumu ya msimu huu
 
Klopp Ni Kocha Wetu lakini Ni Wazi Kuwa Anaanza Kuchanganyikiwa..
Sijui Ni Kwa Uzee au Karogwa!!!

Yani ametoa Zaidi ya £100m+ kwa Keita+Fabinho kwa ajili ya Kuwaweka Benchi...
Hapo unadhani FSG watakubali tena kurisk hela zao kwa upumbavu kama huu?
Naona imani na klopp inaanza kupungua. Liverpool hii iliyokamilika kila idara.
 
Spurs vs Liva - Win
Chelsea vs Liva - Draw
Liva vs Man City - Draw


Ni Improvement Kubwa Sana Hapo Tuliyoifanya.

Subiri Wewe Ucheze Games 3 ngumu kama Hizo Halafu Tuje tuangalie Matokeo Yako.

General results ni improvement, lakini ukienda into details tumeflop, we no longer create chances, no shots on goals, no dangerous attacks. Kiasi kwamba makipa wa timu pinzani wana relax.

Hivi Salah siku hizi haoni goli liliko? Na akipiga golini anawapa pasi makipa.

Sadio Mane anaforce Penetrations kila mara anapoteza lakini atarudia tena na tena. Firmino anazunguka tu.

Jamaa wananinyima raha kweli sasa hivi
 
kama unalijua hilo sasa inakuwaje unaanza kulaumulaumu

Sio Ninalaumu tu! Bali Kinachonipa Mashaka Ni Kuwa Klopp Hata Akiona Game Plan haifanyi Kazi Hawezi Kubadili Plan B.

Leo Ni Obviously Salah Kafeli Kwa Asilimia 100% kwanini Asichange Plan?
Hatimae Kenda Kubadili Beki ambayo ipo Stable Combi ya VVD na Gomez.
 
a very dull game... LFC vs M.City. so dreadful.

kinachotubeba tangu msimu huu uanze ni ile focus yetu tunapokuwa hatuna mpira pamoja na solidity kwenye defence.

naona front 3 yetu kweli bado haijakaa vizuri. ..poor first touch and, worse, poor final ball. but am sure soon watarejea kwenye kiwango cha msimu uliopita. hapo ndipo timu itakuwa ipo nearly 100% na sidhani kama kutakuwa na wa kutuzuia all the way.

sasa hivi performance ipo around 70% only lakini we dominated Chelsea at their own backyard (S/bridge) and we bullied a star-studded PSG...sasa imagine tukiwa 100% nani wa kutusimamisha?
Unajua maana ya kudominate wewe au unaongea kufurahisha jukwaa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom