Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

UTAWADANGANYA WASIOFUATILIA MPIRA.

1. Uliposema tu, "...he was running a lot and hook aimeless long balls to Salah" nilijua ni chuki binafsi. Mechi hii ya juzi tukubali tu kuwa Salah alishindwa ku-control passes alizopewa na sio tu na Henderson. Hata shabiki mwenzako King Ngwaba alikiri hilo.

2.Hiyo sentensi ya VVD kuhusu Henderson umeichukua out of context halafu unatuaminisha kuwa alikuwa akiongelea mpira. UONGO.

Kwa kukusaidia, VVD alikuwa akiongelea Hendo kutaka kushiriki kwenye michezo ya basketball wawapo Melwood. Alipoulizwa kuhusu uwezo wa wenzake ndipo akajibu kuwa, "...likes to join in but he’s not that good..." Alisema maneno hayo hayo juu ya Lovren ingawa alimsifu Lovren kuwa pamoja na kutokujua, ni mpambanaji.


Haters of LFC like you will never be sincere for LFC

Mashabiki wa mpira na watu wa mpira kiujumla huwa hawamuongelei Hendo the way unavoongea, that's simply because you are Chelsea fan
 
Haters of LFC like you will never be sincere for LFC

Mashabiki wa mpira na watu wa mpira kiujumla huwa hawamuongelei Hendo the way unavoongea, that's simply because you are Chelsea fan

Duh...kweli unaweza kunisema hivyo?

Nikiwa naongea suala kiushabiki ninasema ila kwa hili nimesikitika.

Haya mkuu..endeleeni ku-discuss timu yenu.
 
UTAWADANGANYA WASIOFUATILIA MPIRA.

1. Uliposema tu, "...he was running a lot and hook aimeless long balls to Salah" nilijua ni chuki binafsi. Mechi hii ya juzi tukubali tu kuwa Salah alishindwa ku-control passes alizopewa na sio tu na Henderson. Hata shabiki mwenzako King Ngwaba alikiri hilo.

2.Hiyo sentensi ya VVD kuhusu Henderson umeichukua out of context halafu unatuaminisha kuwa alikuwa akiongelea mpira. UONGO.

Kwa kukusaidia, VVD alikuwa akiongelea Hendo kutaka kushiriki kwenye michezo ya basketball wawapo Melwood. Alipoulizwa kuhusu uwezo wa wenzake ndipo akajibu kuwa, "...likes to join in but he’s not that good..." Alisema maneno hayo hayo juu ya Lovren ingawa alimsifu Lovren kuwa pamoja na kutokujua, ni mpambanaji.

The problem is, i watch football kwa falsafa ya kusee out the game not just to enjoy it..

I’ve witnessed midfielders kama sousness/Hamman/Alonso/Mascherano/Meireles/SG play for this club..

And i have read your verdict about Henderson, na nikagundua kuwa perception yako ya kimpira ni ndogo sana, hasa uliposema kuwa hendo kupiga sideways passes ni kawaida kwasababu tu ni namba 6, so its very clear to me kuwa hujua roles za modern number 6, and its so sad because kwenye team yako una modern number 6 anakufanya ucheze mpira wa kueleweka mpaka sasa, sad really.

How can you watch ferna (33 year old) perfomance against us and come up with conclusion kuwa Hendo was good? Kwa upande upi Hendo alikuwa good? Did he dominate spaces? Did he close down City’s penetration angles? Did he provide the necessary drive kwa Gini and Milner/keita? Did he attempt any pass between the lines to open up citys defense and unlock Robbo? And how was robbo siku ile? When a full back cant attempt a single overlap nani anatakiwa kuwa blamed? A number 6 should make sideways and back passes because ni number 6? Upo age gani ya mpira?

In modern day footie, number 6 ni base ya team, number six ndiye anayetengeneza structural play ya team from the mid, making sideways passes kwa ajili ya kuhold possession kunasaidia nini kama hakuleti madhara kwa lango la adui? possession play imeisaidia nini LFC Kwenye last four games? unaelewa kuwa creativity inaanzia kwenye base ya midfield? Kama your number 6 hana creativity how can you be able to open the lines? unajua ni namna gani Sarri ananufaika na line-breaking passes za Jorginho? Where was henderson when he came up against Jorginho?

Una-measure vipi ubora wa hendo against City? Kwa sideways passes? LFC inahitaji creativity now, una-offer vipi creativity from the mid kwa sideways passes? Mipira mingapi imemfikia robbo jana ambaye ni main creator kwa upande wa kushoto? Did we have any open play chances?

Watch football with your eyes open, and i’m sure you dont even understand how creativity from the mid works, LFC dont have a number 10 now, so tunadepend zaidi na creativity ya kwenye kiungo, sasa kama the entire midfield haina creativity front-3 itawork vipi?

Last season, we had coutinho mpaka january, alivyoondoka, Ox came into the picture, Klopp changed the formation, from 4-4-2 kwenda 4-2-3-1/4-3-3 ili ku-allow agility na quick transitions from the midfield kwa kutumia short passes na pace ya Ox, hence tuliendelea kuwa na creativity nzuri sana, after Ox got injured, we started to struggle a bit, but it was ok kwasababu the entire front-3 especially Salah alikuwa kwenye form of his life, we started this season na Keita as our creator from the middle, he created loads if chances against West ham, and helped us a lot against Crystal palace, he struggled a bit, but again Klopp thought it was the best kucheza na mid-3 iliyozoeana against PSG/Napol/Chelsea/Man city, since then we have won 1 game against PSG, lost against Napol and drew with Chelsea and City, games zote hizi creativity ilikuwa ni suspect.

After that game against City, i watched Sousness in live TV saying kuwa we dont have creativity kwenye team, but Craig Bellamy went further na kusema kuwa base yetu ya midfield ni tatizo kwasababu haina creativity, because modern game inahitaji creators from the middle, thats Pep deploys two number 10s kwenye his mid-trio..

You watch Arsenal now and see how Torreira plays, thats a modern number 6, creating and pressing from the middle, and huwezi kukuta an intellegent number 6 anapiga aimeless sideways passes unless akiwa under pressure or in tight spaces.

Running a lot and covering ground distance kwenye pitch without open up opponent midfield and creating spaces from your team mates ni upuuzi, hendo cant receive a ball between the lines, cant receive the ball in tight spaces, cant turn under pressure, cant hold the ball hata kwa dakika moja, cant hide the ball, cant shied the D line, cant postion himself.

And its funny, because you acting like you know Hendo more than me, i have watched him since 2011, and i can tell you today, Henderson main attribute as a player ni kucover ground distance by pressing from the back to the midfield na kupiga triangle passes, and tangu apate back-heel injury attribute yake ya kwanza imepotea kabisa, and now anacover distance from the mid tu na hana uwezo wa kupress anymore, amebaki na attribute ya triangle passes tu ambayo haisaidii team? I dont like Henderson hata kidogo but leo hii ukiniambia kuwa nikutajie wachezaji watano tu walioplay part kubwa ya msimu wetu wa 2013/14, Henderson nitamuweka kwenye list because he was the focal point of our pressing play and he was good at it.

And unasema nina chuki binafsi na Hendo, the fact is i’ve never hated Henderson at all, i’ve been saying on here kuwa he’s a good person but not a good footballer but kama his poor footballing ability inacost team lazima niseme, matter of fact hata my favorite LFC player kwasasa akiwa anazingua lazima nitaongea, kwangu mimi my Club comes first, i support LFC not players or the manager, and kama ungeniambia nina chuki binafsi na Mignolet or Archterbeg ningeweza kukuelewa kidogo, but not Hendo, he’s just not a LFC Standard player, yes kwenye team yetu kuna a lot of players ambao siyo standard ya LFC, but the fact kuwa Hendo anapata ukosoaji mkubwa na sticks ni kwasababu ni CAPTAIN, and as a CAPTAIN you have to show the fans that you can lead the team no matter what, Siwezi nikavumilia kuona Captain wangu anadrop 4/10 perfomances every week na ukichukulia yuko kwenye role ambayo ndiyo focal point ya team.

man, you have watched Salah play against City, and you came up with the conclusion that he was shit kwasababu haku-score, this is why niliona verdict yako kwa Hendo kuwa ni mbaya kimpira, Salah was our main creator against City, he was involved na kila chances ambazo tulijaribu kutengeneza, and his positional play was on point, Mane and Bobby were poor but not Salah, see the game Aisee dont just watch it.

LFC main problem now, ni creativity, ndiyo maana legends kama Sousness wanamshauri Klopp ajaribu kuditch formation ya 4-3-3 kwasababu mid yetu haina urgency yeyote and our agility play bado ni ndogo because we have no pace and ball driver in the middle.

Understand the game.
 
my point exactly!

you're right about creativity when you bring about those names you just have - Messi / Cou.

but Fekir?? hell big NO!!

Man, Fekir is a Top talent, kama nilivyosema mwanzo kuwa his main setback ni his Knee injury.

But, he’s special and fits perfectly kwenye system ya Klopp, can press, create, dribble, shoot, pace, hold the ball, good at free kicks, can play as a false 9 as well

He’s not Lallana 2.0, he’s Firmino with more creativity power.
 
Duh...kweli unaweza kunisema hivyo?

Nikiwa naongea suala kiushabiki ninasema ila kwa hili nimesikitika.

Haya mkuu..endeleeni ku-discuss timu yenu.


Fanya kucheki mechi nyingi huyu Henderson akiwepo uone kweli anastahili kuchezea Liverpool? Katika miaka ya 1980's Liverpool ilikuwa simba Ulaya haya hivi sasa kuna kama Club tatu tu ambazo zinatamba Ulaya ( Real, Barca na Bayern) ambako huko kuna World Class Midfielders kama Sergio Busquets ingawa yupo ukingoni mwa maisha yake ya soka. Jordan Henderson mbele ya Sergio Busquets kweli?
 
Man, Fekir is a Top talent, kama nilivyosema mwanzo kuwa his main setback ni his Knee injury.

But, he’s special and fits perfectly kwenye system ya Klopp, can press, create, dribble, shoot, pace, hold the ball, good at free kicks, can play as a false 9 as well

He’s not Lallana 2.0, he’s Firmino with more creativity power.
man, re Fekir it's always going to be yours against mine... i see that lad as a potential glassbaby.
with all those attributes you have listed in his favour, he surely should have been benching someone @ the French national side. but he isn't, see what i mean?
let him come to LFC but surely i wont be over the moon. strengthening our squad depth befits the move, nothing more.
 
The problem is, i watch football kwa falsafa ya kusee out the game not just to enjoy it..

I’ve witnessed midfielders kama sousness/Hamman/Alonso/Mascherano/Meireles/SG play for this club..

And i have read your verdict about Henderson, na nikagundua kuwa perception yako ya kimpira ni ndogo sana, hasa uliposema kuwa hendo kupiga sideways passes ni kawaida kwasababu tu ni namba 6, so its very clear to me kuwa hujua roles za modern number 6, and its so sad because kwenye team yako una modern number 6 anakufanya ucheze mpira wa kueleweka mpaka sasa, sad really.

How can you watch ferna (33 year old) perfomance against us and come up with conclusion kuwa Hendo was good? Kwa upande upi Hendo alikuwa good? Did he dominate spaces? Did he close down City’s penetration angles? Did he provide the necessary drive kwa Gini and Milner/keita? Did he attempt any pass between the lines to open up citys defense and unlock Robbo? And how was robbo siku ile? When a full back cant attempt a single overlap nani anatakiwa kuwa blamed? A number 6 should make sideways and back passes because ni number 6? Upo age gani ya mpira?

In modern day footie, number 6 ni base ya team, number six ndiye anayetengeneza structural play ya team from the mid, making sideways passes kwa ajili ya kuhold possession kunasaidia nini kama hakuleti madhara kwa lango la adui? possession play imeisaidia nini LFC Kwenye last four games? unaelewa kuwa creativity inaanzia kwenye base ya midfield? Kama your number 6 hana creativity how can you be able to open the lines? unajua ni namna gani Sarri ananufaika na line-breaking passes za Jorginho? Where was henderson when he came up against Jorginho?

Una-measure vipi ubora wa hendo against City? Kwa sideways passes? LFC inahitaji creativity now, una-offer vipi creativity from the mid kwa sideways passes? Mipira mingapi imemfikia robbo jana ambaye ni main creator kwa upande wa kushoto? Did we have any open play chances?

Watch football with your eyes open, and i’m sure you dont even understand how creativity from the mid works, LFC dont have a number 10 now, so tunadepend zaidi na creativity ya kwenye kiungo, sasa kama the entire midfield haina creativity front-3 itawork vipi?

Last season, we had coutinho mpaka january, alivyoondoka, Ox came into the picture, Klopp changed the formation, from 4-4-2 kwenda 4-2-3-1/4-3-3 ili ku-allow agility na quick transitions from the midfield kwa kutumia short passes na pace ya Ox, hence tuliendelea kuwa na creativity nzuri sana, after Ox got injured, we started to struggle a bit, but it was ok kwasababu the entire front-3 especially Salah alikuwa kwenye form of his life, we started this season na Keita as our creator from the middle, he created loads if chances against West ham, and helped us a lot against Crystal palace, he struggled a bit, but again Klopp thought it was the best kucheza na mid-3 iliyozoeana against PSG/Napol/Chelsea/Man city, since then we have won 1 game against PSG, lost against Napol and drew with Chelsea and City, games zote hizi creativity ilikuwa ni suspect.

After that game against City, i watched Sousness in live TV saying kuwa we dont have creativity kwenye team, but Craig Bellamy went further na kusema kuwa base yetu ya midfield ni tatizo kwasababu haina creativity, because modern game inahitaji creators from the middle, thats Pep deploys two number 10s kwenye his mid-trio..

You watch Arsenal now and see how Torreira plays, thats a modern number 6, creating and pressing from the middle, and huwezi kukuta an intellegent number 6 anapiga aimeless sideways passes unless akiwa under pressure or in tight spaces.

Running a lot and covering ground distance kwenye pitch without open up opponent midfield and creating spaces from your team mates ni upuuzi, hendo cant receive a ball between the lines, cant receive the ball in tight spaces, cant turn under pressure, cant hold the ball hata kwa dakika moja, cant hide the ball, cant shied the D line, cant postion himself.

And its funny, because you acting like you know Hendo more than me, i have watched him since 2011, and i can tell you today, Henderson main attribute as a player ni kucover ground distance by pressing from the back to the midfield na kupiga triangle passes, and tangu apate back-heel injury attribute yake ya kwanza imepotea kabisa, and now anacover distance from the mid tu na hana uwezo wa kupress anymore, amebaki na attribute ya triangle passes tu ambayo haisaidii team? I dont like Henderson hata kidogo but leo hii ukiniambia kuwa nikutajie wachezaji watano tu walioplay part kubwa ya msimu wetu wa 2013/14, Henderson nitamuweka kwenye list because he was the focal point of our pressing play and he was good at it.

And unasema nina chuki binafsi na Hendo, the fact is i’ve never hated Henderson at all, i’ve been saying on here kuwa he’s a good person but not a good footballer but kama his poor footballing ability inacost team lazima niseme, matter of fact hata my favorite LFC player kwasasa akiwa anazingua lazima nitaongea, kwangu mimi my Club comes first, i support LFC not players or the manager, and kama ungeniambia nina chuki binafsi na Mignolet or Archterbeg ningeweza kukuelewa kidogo, but not Hendo, he’s just not a LFC Standard player, yes kwenye team yetu kuna a lot of players ambao siyo standard ya LFC, but the fact kuwa Hendo anapata ukosoaji mkubwa na sticks ni kwasababu ni CAPTAIN, and as a CAPTAIN you have to show the fans that you can lead the team no matter what, Siwezi nikavumilia kuona Captain wangu anadrop 4/10 perfomances every week na ukichukulia yuko kwenye role ambayo ndiyo focal point ya team.

man, you have watched Salah play against City, and you came up with the conclusion that he was shit kwasababu haku-score, this is why niliona verdict yako kwa Hendo kuwa ni mbaya kimpira, Salah was our main creator against City, he was involved na kila chances ambazo tulijaribu kutengeneza, and his positional play was on point, Mane and Bobby were poor but not Salah, see the game Aisee dont just watch it.

LFC main problem now, ni creativity, ndiyo maana legends kama Sousness wanamshauri Klopp ajaribu kuditch formation ya 4-3-3 kwasababu mid yetu haina urgency yeyote and our agility play bado ni ndogo because we have no pace and ball driver in the middle.

Understand the game.


Twende taratibu...

1. Naomba uombe msamaha wadau hapa jukwaani kuwa umetudanganya kuwa maneno aliyoyasema VVD kwa Henderson hayakuwa yakilenga mchezo wake uwanjani.
 
Fanya kucheki mechi nyingi huyu Henderson akiwepo uone kweli anastahili kuchezea Liverpool? Katika miaka ya 1980's Liverpool ilikuwa simba Ulaya haya hivi sasa kuna kama Club tatu tu ambazo zinatamba Ulaya ( Real, Barca na Bayern) ambako huko kuna World Class Midfielders kama Sergio Busquets ingawa yupo ukingoni mwa maisha yake ya soka. Jordan Henderson mbele ya Sergio Busquets kweli?

Turudi kwa Henderson.

Comment yangu (na discussion yangu na King Ngwaba) ilikuwa kwa mechi hii ya Man city tu. Na baada ya mazungumzo yangu naye tulikubaliana niendelee kumuangalia kwenye mech zijazo (yeyey mwenyewe Ngwaba alikiri kuwa kwa mechi hiyo, Henderson played well). My verdict was strictly..based on Sunday's game.

Sasa turudi kwenye analysis yako:

- Jorginho amefanya side and back passes ngapi ukilinganisha na through passes

- Chelsea ina Kante. Unadhani Henderson ana uwezo wa kucheza na udambwidambwi huku akijua hakuna wa kumsaidia?

- Modern football ni ya timu nzima. huyo namba 6 hawezi kubadilika peke yake kama wengine hawabadiliki. Kwa mtazamo wangu kwa squad aliyopangwa nayo, Henderson played the best he could. Ni kweli mnaweza kupata a better CM/DM kuliko Henderson lakini it doesn't mean he is the worst player in the squad.
 
Twende taratibu...

1. Naomba uombe msamaha wadau hapa jukwaani kuwa umetudanganya kuwa maneno aliyoyasema VVD kwa Henderson hayakuwa yakilenga mchezo wake uwanjani.

I apologies

I have explained kuwa Why hendo is not good kwenye bulid-up, and when i saw that VVD i linked it directly na the way VVD anavyom-treat Hendo kwenye pitch now kuhusiana na passes..

Again now, nimekuuliza Henderson alikuwa mzuri kivipi? Tactically?

How do you measure his qualities against City?
 
Turudi kwa Henderson.

Comment yangu (na discussion yangu na King Ngwaba) ilikuwa kwa mechi hii ya Man city tu. Na baada ya mazungumzo yangu naye tulikubaliana niendelee kumuangalia kwenye mech zijazo (yeyey mwenyewe Ngwaba alikiri kuwa kwa mechi hiyo, Henderson played well). My verdict was strictly..based on Sunday's game.

Sasa turudi kwenye analysis yako:

- Jorginho amefanya side and back passes ngapi ukilinganisha na through passes

- Chelsea ina Kante. Unadhani Henderson ana uwezo wa kucheza na udambwidambwi huku akijua hakuna wa kumsaidia?

- Modern football ni ya timu nzima. huyo namba 6 hawezi kubadilika peke yake kama wengine hawabadiliki. Kwa mtazamo wangu kwa squad aliyopangwa nayo, Henderson played the best he could. Ni kweli mnaweza kupata a better CM/DM kuliko Henderson lakini it doesn't mean he is the worst player in the squad.


LFC ni timu kubwa duniani na kama Henderson anajitahidi sawa ila hana hadhi ya kuchezea LFC. LFC ina hadhi kubwa kuliko PSG, ila PSG ndio wawe wana viungo ambao ni bora duniani kama Marco Veratti ambao ndio caliber inayostahili kucheza Anfield halafu tuwe na kiungo kama Henderson cha ajabu kuna kocha mpuuzi wa kiingereza alipata kupewa ukocha LFC akampa hadi kitambaa cha unahodha wa timu
 
Mkuu MosDef , nilianza hivi...


Mimi macho yangu yote kwa Henderson nione ni kwa nini mashabiki wanamchukia.

Mpaka sasa sijaona kosa alilofanya...Half time.

Game inaenda according to plan. Nitafurahi iishe hivihivi 0 - 0 ila Man city wakishinda itapendeza pia.

Mkuu King Ngwaba akanijibu hivi...


Hebu Jaribu Kunote Vitu Viwili Tu Kutoka Kweke Huyo Henderson:

1) Kitu cha Kwanza: Mtazame Akiwa na Mpira Pasi Zake anampa Nani Zaidi ya Kuzirudisha Nyuma Kwa Mabeki Wa Kati au Pembeni Kwa Full backs.

2) Kitu Cha Pili: Mtazame Akiwa Hana Mpira wakati Mpira anao His Teammate anafanyaje Zaidi ya Kunyoosha Kidole Nyuma Kuonesha His Teammate aurudishe Mpira Kwa Mabeki.

Jamaa hajui Kabisa Kupeleka Pasi mbele.

Hivyo Vitu Viwili Mchunguze Kwa Makini.


Baada ya mechi, King Ngwaba akaandika haya... (Note maneno yake juu ya Salah)

To be Honest: Sijawahi Kumpongeza Henderson lakini Leo Kwa Mara Ya Kwanza Ninampongeza Kawa Outstanding.

But: Sijawahi Kutamka hili lakini Leo Ninatamka Rasmi Kuwa Sina imani na hii Timu Kuwa inawezashinda Chochote Kupitia Watu Hawa Mane-Salah-Firmino ambao hawawezi Kuscore Hata Kwa Wake Zao achiliambali Uwanjani.


Ninashangazwa na wewe unayesema kwa mechi ya juzi HENDERSON alicheza VIBAYA ila SALAH alicheza VIZURI.
 
LFC ni timu kubwa duniani na kama Henderson anajitahidi sawa ila hana hadhi ya kuchezea LFC. LFC ina hadhi kubwa kuliko PSG, ila PSG ndio wawe wana viungo ambao ni bora duniani kama Marco Veratti ambao ndio caliber inayostahili kucheza Anfield halafu tuwe na kiungo kama Henderson cha ajabu kuna kocha mpuuzi wa kiingereza alipata kupewa ukocha LFC akampa hadi kitambaa cha unahodha wa timu


1. Huyo kocha alimuona na akampa unahodha


2. Sir Alex Ferguson alimuona, na alikuwa karibu kumnunua ila alihofia kupata majeruhi (NOTE: not his game).

3. Henderson is 28, si wachezaji wote wanaobaki vizuri as they age.

4. You have Fabinho, ila personally, kwa SASA...kwa SASA...nitampanga Henderson mbele ya Fabinho, he is too erratic.
 
1. Huyo kocha alimuona na akampa unahodha


2. Sir Alex Ferguson alimuona, na alikuwa karibu kumnunua ila alihofia kupata majeruhi (NOTE: not his game).

3. Henderson is 28, si wachezaji wote wanaobaki vizuri as they age.

4. You have Fabinho, ila personally, kwa SASA...kwa SASA...nitampanga Henderson mbele ya Fabinho, he is too erratic.


Hendo anaweza kumzidi nini Fabinho? Labda uzito wa mwili
 
Turudi kwa Henderson.

Comment yangu (na discussion yangu na King Ngwaba) ilikuwa kwa mechi hii ya Man city tu. Na baada ya mazungumzo yangu naye tulikubaliana niendelee kumuangalia kwenye mech zijazo (yeyey mwenyewe Ngwaba alikiri kuwa kwa mechi hiyo, Henderson played well). My verdict was strictly..based on Sunday's game.

Sasa turudi kwenye analysis yako:

- Jorginho amefanya side and back passes ngapi ukilinganisha na through passes

- Chelsea ina Kante. Unadhani Henderson ana uwezo wa kucheza na udambwidambwi huku akijua hakuna wa kumsaidia?

- Modern football ni ya timu nzima. huyo namba 6 hawezi kubadilika peke yake kama wengine hawabadiliki. Kwa mtazamo wangu kwa squad aliyopangwa nayo, Henderson played the best he could. Ni kweli mnaweza kupata a better CM/DM kuliko Henderson lakini it doesn't mean he is the worst player in the squad.

Man, i’m starting to question your footie iq..

So because of Kante ndiyo maana Jorginho anaudambwidambwi? I mean do you expect a dimensional CM like Henderson kuwa na flairs?

How can you compare a Regista style of play na dimensional player kama Hendo? Ni sawa na kufananisha style of play ya Pirlo/Modric etc na ile ya Mascherano/Casemiro/Matic/Soriano/Gabi etc..you can put Henderson in the same team na workhorses kama Vidal/Wanyama/Hojberg/Mota/Masch/Bentacur etc na atacheza the same style of play, because Hendo direct play doesnt require flairs..

Man, these dudes thinks kila DM ana style of play moja..

Game ime-evolve now, most managers wamekove kutoka kwenye old-game setup ya 4-2-3-1 or 4-4-2, clubs nyingi zinatumia mfumo wa 4-3-3 na mara nyingi zinaswitch kwenda 4-2-2-2, sasa unaposema kuwa team nzima inatakiwa ibadilike ili mchezaji abadilike, nakushangaa, under Klopp kwasasa we start our build from the back, the focal point of our build up play ni Allison na VVD, na pia tunatumia long penetration passes za Gomez kutengeneza spaces, tunatumia our full backs kutengeneza chances, under Klopp our DMs hawapati tabu ya kufrop deep kuchukua mipira kwa sababu ya uwepo wa good passers at the back..

Hendo started his career as a b2b midfielder (number 8), he played under Daglish na BR kama B2B, after his back heel injury, klopp decided it would the best kama akicheza namba 6, hence akamuweka number 6, but its been 3 years now na Hendo ameshindwa kumaster hiyo role with perfection..

Na kama experiment ya Klopp kumbadilisha Hendo kutoka kwenye B2B kwenda kwenye 6 role ingefanikiwa vizuri asingetupa 48m kwa actual CDM ambaye anamtunza kama mboni ya jicho ili asi-flop na kufail kama Hendo..

Learn the game.

Hiyo point yako ya Kante imenichekesha sana, i bet umeanza kumuangalia Jorginho baada ya kuja hapo Chelsea na kupitia clips zake youtube na ninaweza kukuuliza 3 main attributes za Jorginho na ukashindwa kunjjibu and i wont even be suprised kama hutakuwa hujui roles za Kante under Sarri..
 
Tembelea link hiyo kumpigia kura Mo Salah katika tuzo ya Ballon d'Or.. Mpaka sasa anaongoza katika public vote. Kura yako ni muhimu


You'll Never Walk Alone




Consultation : Votez pour celui qui, selon vous, mérite de remporter le Ballon d'Or France Football 2018
IMG_20181009_140413_780.jpg
 
Mkuu MosDef , nilianza hivi...




Mkuu King Ngwaba akanijibu hivi...





Baada ya mechi, King Ngwaba akaandika haya... (Note maneno yake juu ya Salah)




Ninashangazwa na wewe unayesema kwa mechi ya juzi HENDERSON alicheza VIBAYA ila SALAH alicheza VIZURI.


Kila mtu anaweza ku-comment au kutoa maoni yake kulingana na kile alichokiona uwanjani.
 
Man, i’m starting to question your footie iq..

So because of Kante ndiyo maana Jorginho anaudambwidambwi? I mean do you expect a dimensional CM like Henderson kuwa na flairs?

How can you compare a Regista style of play na dimensional player kama Hendo? Ni sawa na kufananisha style of play ya Pirlo/Modric etc na ile ya Mascherano/Casemiro/Matic/Soriano/Gabi etc..you can put Henderson in the same team na workhorses kama Vidal/Wanyama/Hojberg/Mota/Masch/Bentacur etc na atacheza the same style of play, because Hendo direct play doesnt require flairs..

Man, these dudes thinks kila DM ana style of play moja..

Game ime-evolve now, most managers wamekove kutoka kwenye old-game setup ya 4-2-3-1 or 4-4-2, clubs nyingi zinatumia mfumo wa 4-3-3 na mara nyingi zinaswitch kwenda 4-2-2-2, sasa unaposema kuwa team nzima inatakiwa ibadilike ili mchezaji abadilike, nakushangaa, under Klopp kwasasa we start our build from the back, the focal point of our build up play ni Allison na VVD, na pia tunatumia long penetration passes za Gomez kutengeneza spaces, tunatumia our full backs kutengeneza chances, under Klopp our DMs hawapati tabu ya kufrop deep kuchukua mipira kwa sababu ya uwepo wa good passers at the back..

Hendo started his career as a b2b midfielder (number 8), he played under Daglish na BR kama B2B, after his back heel injury, klopp decided it would the best kama akicheza namba 6, hence akamuweka number 6, but its been 3 years now na Hendo ameshindwa kumaster hiyo role with perfection..

Na kama experiment ya Klopp kumbadilisha Hendo kutoka kwenye B2B kwenda kwenye 6 role ingefanikiwa vizuri asingetupa 48m kwa actual CDM ambaye anamtunza kama mboni ya jicho ili asi-flop na kufail kama Hendo..

Learn the game.

Hiyo point yako ya Kante imenichekesha sana, i bet umeanza kumuangalia Jorginho baada ya kuja hapo Chelsea na kupitia clips zake youtube na ninaweza kukuuliza 3 main attributes za Jorginho na ukashindwa kunjjibu and i wont even be suprised kama hutakuwa hujui roles za Kante under Sarri..


You attack me in an effort to make a point..that's not necessary. NOT COOL

I will say it for a fact..JORGINHO plays better because of KANTE's presence, as he did with ALLAN's presence at Napoli. Now we can argue (and you can go on attacking me).

Back to Henderson:

I am not so sure you do understand where I started with this. However, to avoid being called names, I choose to rest the case sir. You win.

I will say this though, for his - Henderson - style of play, he is okay. For example, did you know that with 83% pass accuracy in the previous season, 80% of his passes were forward passes?

Klopp needed an upgrade, someone who offers what you have termed modern football. He rightly bought Fabinho who needs time to ease in to the team. Sarri brough Jorginho because he needed to change the style of play at Chelsea, not because Kante, for example was poor. I choose to believe that Klopp brough Jorginho to Liverpool because of the style of play he wants and not necessarily Henderson's performance being poor. It might affect his position when the style ticks, but until then he is there to stay. Besides, his - Henderson's - style, is traditional, and any team can fall back to that if things go wry.

PIECE OF ADVICE: Let us argue without attacking one another. It is true, there is much I do not know about soccer and soccer management, as you are. Let's learn to disagree without attacks.


Baada ya kusema hayo..nasubiria sana King Ngwaba aje aelezee hii discussion yangu na Henderson ilianzia wapi. Hongereni kwa Fabinho. He is a great asset towards modern midfielders and modern football.

Alamsik.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom