Wewe man u mtabe wako mmeshakutana naye?
Usiongee kishabik, man u ukitoa msimu uliopita, nyuma nilimpiga 3-0 ,wewe sikumbuk ulimfunga lini
Unamuongelea salah huyu aliyeflop?
Salah mwaka jana ilikuwa suprise package,
Huyu wasasa ndio salah mwenyewe, yule wa roma tunayemjua ,
Wewe unadhan ligi ni maandaz, hujiuliz uliniacha point 6, sasa hiv zimebaki mbili,
Na gar lishakata breki,
Hii arsenal ya Unai sio ya wenger
Nakumbuka Unai kila game anabadilika na anajua kuwasoma wapinzani,
Kumbuka klopp alichofanywa na UNAI fainal ya Ueropa , Alivyobadilikiwa