Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nikivuta Kumbukumbu Zangu Basi Jana niligundua Kuwa Katika Kipindi Cha Misimu 3 iliyopita basi Jana Ndiyo Siku tuliyocheza na Man City Nyepesi Zaidi kufungika.
Lakini Hatukuwa na Wafungaji.
City alikuja na tahadhali utafikiri anacheza na fifa pro xi alishindwa kumuanzisha Sane hakutaka kwenda ku attack attack, katusababisha tuone mpira usiovutia Kabisa
 
City alikuja na tahadhali utafikiri anacheza na fifa pro xi alishindwa kumuanzisha Sane hakutaka kwenda ku attack attack, katusababisha tuone mpira usiovutia Kabisa

Katika Ya Sane na Sterling Pep anashindwa Amuanzishe Yupi Kwani Hawa Wote wawili tokea Wajiunge na Man City wana Nuksi ya Kufeli Mechi Zote Wanazocheza dhidi ya Liverpool.

Halafu Pep anapocheza Na Timu yoyote anayofunfisha Klopp tokea Yupo Bayern anakuwa Hajiamini, Na Tik Taka Yake Huwa Kwa Klopp haifanyi Kazi, That is why Jana Kaja na New Style ya Kucheza na Klopp ambayo Ni Tahadhari Zaidi Kuliko Tamaa ya Kupress na Kushambulia Kwa Kasi.
Na Ndiyomana Hata Zile On Target Tulizoziwea 10+ zikipigwa na Man City Jana kajizuia Kuzipiga Kutokana na Tahadhari ya Kuogopa Kushambulia Akapigiwa Mpira Mirefu.
Hatimae Pepe Kafanikiwa Kutokupoteza Game.
 

Attachments

  • Screenshot_20181008-154737.png
    Screenshot_20181008-154737.png
    62 KB · Views: 26
Jürgen Klopp was appointed Liverpool manager on this day in 2015.

After seven-year spells with both FSV Mainz and Borussia Dortmund, the German took on a new challenge in the Premier League with the Reds.

Klopp was officially confirmed as the club's new boss on October 8, 2015 and took charge of his first game nine days later.

Three years and 166 matches on, he has taken his side to three major finals and made an unbeaten start to the new league campaign.

For a range of facts and figures from Klopp's three years as Reds boss, courtesy of official LFC statistician Ged Rea, read on...


333 – goals scored in league and cup. Emre Can netted the first in the home game with Rubin Kazan

219 – points won by Klopp in the Premier League, from 114 matches at an average of 1.92 per game

166 – games played in the Klopp era in all competitions

148 – Roberto Firmino has made the most appearances for the club since Jürgen took charge


76 – the quickest goal in seconds scored by a Liverpool player from the start of a game (Daniel Sturridge against Newcastle United in April 2016)

63 – clean sheets kept by Liverpool in all competitions since Klopp was appointed, the first coming against Tottenham Hotspur in October 2015

58 – players have been used by the club in the last 166 games

53 – the percentage of wins overseen by Klopp in his opening three years at the helm (88 wins in 166 games)

53 – the tally of goals scored by Liverpool's highest scorer: Firmino

52 – cup ties have been played by Liverpool (17 Champions League, 13 Europa League, 13 League Cup, nine FA Cup)


45 – the average number of minutes between Liverpool goals (333 goals in 14,940 minutes)

45 – different teams Klopp has faced as Reds boss - 40 of those have been beaten

36 – the number of times the most used centre-back pairing has been deployed, with Dejan Lovren and Joel Matip on the losing team only four times

34 – the number of different Liverpool players to have scored under Klopp

34 – goals scored by Liverpool substitutes - with the most coming from Sturridge (eight)

29 – players have been given their Reds debut, with Fabinho, against Paris Saint-Germain, the most recent


29 – the number of occasions the Reds have scored four goals or more in a game

21 – the average age of the youngest starting XI fielded by Klopp and, indeed, ever by Liverpool - against Plymouth Argyle in the FA Cup in January 2017 (21 years and 296 days)

18 – the longest unbeaten run, from October 2017 to January 2018 (18 games)

14 – the Reds have come from behind to win a game on 14 occasions under Klopp


13 – the number of different players to captain the team - James Milner, Kolo Toure, Lucas Leiva, Jordan Henderson, Christian Benteke, Joe Allen, Jose Enrique, Jon Flanagan, Martin Skrtel, Can, Philippe Coutinho, Simon Mignolet, Lovren

10 – Liverpool are unbeaten against 10 teams in the Premier League under Klopp

6 – players remain at Anfield who started Klopp's first game at Tottenham in October 2015

View attachment 891125
aac85150ef06e27c5f79b49b5f77f9c5acb8ec19.jpeg
 
Man city na Liverpool ziko overrated tu team bora this season ni Chelsea na inaweza kutwaa ubingwa kama first eleven yao haitapata majeraha
 
Wachezaji wa Liverpool huenda wanasumbuliwa na fatique hawaonyeshi ubunifu wowote
 
Man city inabebwa na upana wa squad tu ila siyo team ya kutisha sana
 
If Keita flops at LFC, its all on Klopp..

Klopps main attribute ni his man management but i dont know kile anachojaribu kukifanya kwa keita mpaka sasa.
 
nimejikuta natafakari sana maoni ya fans kuhusu ku beef up midfield yetu kwa kusajili the so called "creative" players.
it's an OK'ish idea but it stops short of being a brilliant idea pale watu wanapomtaja Fekir. he's a flair player, but it ends there.

Fekir's definitely not an upgrade on Coutinho - for me he's just another French Lallana (stylish) and possibly due to his fitness history (or lack of it) he could be another French Sturridge.

for me, Klopp's "full throttle" doesn't need too much of flamboyance and/or flair. it rather needs industry & intelligence... basi.

our players' industry & intelligence were actually the two key ingredients which catapulted us to the UCL final last season.
and this happened after our so called "creative" midfielder left for Barca. what we mainly lacked across the entire last season was solidity at the back plus the fact that Klopp didn't utilise Wijnaldum to his strengths. msimu huu matatizo yote mawili ameyatatua.

kwenye fixtures zetu 3 tulizocheza recently ambazo arguably could hitherto be the toughest (vs PSG, vs Chelsea, vs Man City), our midfield personnel went toe-to-toe against the star-studded ones from these supposedly very strong sides littered with the so-called "creative" operators. in all these 3 big matches, tumekuwa tukicheza kama mabingwa watarajiwa. it reminds me of the old Fergie's Manure (I disliked the old man but - hey - respect!)

as for our front 3, nahisi kuna very high inner pressure within themselves ya kudhamiria sana ku-reproduce or even ku-exceed ile brilliant performance yao ya msimu uliopita ambayo ilikuwa branded kama "the most frearsome threesome attack in Europe". plus the cautious approach to games Klopp has resorted to at the start of the season. I can hardly figure out any other explanation to their erratic start. I believe however kuwa Klopp ataliweka sawa hili.

another thing that Klopp needs to look into is to avoid over-using Milner. he's 33 for heavens sake - and it's showing already, he's still such an important player to the side lakini inabidi awe anampumzisha walau kila baada ya mechi 1 au awe anampa cameo appearance for like 10-15 mins.

ila mnaopendekeza majina kama ya akina Fekir, etc..... please be careful with what you wish for!
I think such additions may be just good enough to reinforce our depth but - seriously speaking - it's unlikely to impart anything significant over and above what we already have got.
 
As always, team inapokuwa ipo vibaya, fans wengi hukimbilia kusema ni sababu ya tough fixtures but in reality mpaka sasa tumecheza game ngumu moja tu (Chelsea away)

You cant be serious kuijumuisha game dhidi ya chelsea kwenye EFL kama tough game, and Tuchel alikuja pale Anfield na PSG ikiwa na midfield-3 ya Marquinos (beki), Di maria (Winger) na Rabiot, ni kama vile Klopp achezeshe mid-3 ya Matip/Mane/Gini and awe na expectations za kushinda, Verrati/Mota etc wote walikuwa majeruhi, so tulikuwa na a lot of space in the midfield, it was a very easy walk-game and kulikuwa hakuna excuse ya kupoteza, and how can you justfy a loss against Napoli? Don carlo didnt outclass Klopp tactically, he just defended deep and waited for counter-opportunity, game dhidi ya napoli we lacked creativity kabisa, and its sad because we are better than Napoli kwenye kila department, i mean i’d accepted a loss at PSG because of their front-3, but haiwezekani kuaccept a loss against Napoli.

Pep, came at Anfield na the same approach kama ya Don Carlo, and he was so unlucky kwa penalty miss ya Mahrez otherwise alikuwa anaenda kufanikiwa kama Don Carlo, it was widely known kuwa Pep asingekubali kabisa kuja kufungwa tena na Klopp pale Anfield (magoal mengi), so he decided to defend deep, and what hurts the most alifield the weakest midfield kuliko zote tangu aanze kuja anfield (Ferna/Silva/Bernado), Silva is 32 and cant press or track-back, Bernado is very attacking minded player and they had ferna tu ambaye ni defensive mid who is nearly 33, but our mid-3 couldnt contain them or even attempt to open them up

since the start of this season, i had my concerns na the way tunavyocheza tangu huu msimu uanze, thats not the way team inayogombea ubingwa inatakiwa icheze, we dont have the urgency at all, tangu msimu umeanza tunatumia zaidi our full-backs kucreate chances kwa kutumia crosses tu, no through balls from the mid at all.

I understand pressure aliyonayo Klopp kuhusu suala la kuwin titles, but hii pressure anaiacha mpaka inamfanya awe muoga kuchange structure ya team kwa kuogopa kupoteza, his plan ni kuremain kwenye top 2 mpaka january, but can we do it kwa kucheza namna hii? We dont have a recognizable system, players like Keita wanakuwa limited sana kucheza mpira waliouzoea..na kama Klopp anakuwa na pressure ya namna vipi kwa main players (salah/mane/firmino) ambao wanatakiwa kudeliver week in, week out?

Ili kuweza kushinda any title, this season ni lazima front-3 iwe kwenye its best, and as a manager unatakiwa kutafuta njia mbadala ya kurekebisha hilo..

We play Wagner’s team in two weeks time, game kama hiyo inatakiwa kuwa stage ya kujaribu kubadilisha structure ya team, we need our main man (Salah) to click (by the way he played very well against City), we need to use the upcoming fixtures kwaajili ya kuifufua front-3 yetu, hasa Salah ambaye ndiye main good poacher wa team pale mbele.

And Milner need a rest, just use him kwenye CL games.

We cant lie to ourselves kwa kufikiria kuwa we can win trophies with mid-3 ya Hendo/Gini/Milner, seen some people telling me kuwa this mid-3 got us to the CL final, that is very very wrong, kwenye CL last season walicheza games tatu tu pamoja, won 1 and lost 2 games, and this season tayari wamecheza pamoja games 2 za CL ambapo wameshinda moja na kupoteza moja, and huu msimu japokuwa hatujacheza vizuri but we were so cool and kept a couple of clean sheet chini ya mid-3 ya Gini/Milner/Keita, tulianza kupotea kabisa baada ya henderson kuanza kucheza kwenye mid-3, and stats zinaonyesha we have conceded 0 goals henderson asipokuwepo uwanjani, but tumefungwa goli zote msimu henderson anapokuwa uwanjani either kwa sub au kwa kuanza..

We were so good with Gini at 6 role, but henderson karudi kwenye 6 role and we have turned into super shit..something need to change big-time otherwise tutaendelea kuhope for titles kila msimu..
 
After that game against Leicester, i shared my thoughts kuhusu back-passes za hendo zilizopelekea blunder ya Allison..

And since then, i was proved right by VVD and Gomez, ambao stats zinaonesha kuwa hawatoi mipira kwa hendo kabisa hasa akiwa katika tight space (under pressure), VVD anarelease mipira michache sana kwa henderson, (his number 6 and first directional player on the pitch kwaajili ya kupandisha team)..

Remember that live-interview, when VVD alivyoulizwa kuhusu ishu ya team-build up play? Well he said this about henderson
IMG_1539035606.996239.jpg


LFC fans will tell you Henderson was good y’day because he was running a lot and hook aimeless long balls to Salah. Number 6 ndiye anayedecide team iwe na tempo ya namna gani uwanjani, watu huwa wanachanganya sana kati ya possession na kucontrol mpira, possession huwa inakuwa measured na pass, backline inaweza kuongeza asilimia ya passes kwa kupasiana wenyewe tu, midfield inaweza kucreate a lot of possession kwa sideways passes, kucontrol mpira ni kulimit opponent team inayomiliki mpira kuleta hatari yeyote uwanjani, juzi ferna controled our mid with ease, we did not make a single pass between the lines kwaajili ya kuopen up City’s mid. But apparently hendo alikimbia sana and ended up failing to open or control penetration angles za City’s at all, we were so lucky juzi.

Watu wakisikia DM, wanajua ni kiungo mkabaji tu, mpira ume-evolve now, thats why unahitaji DM anayejua kudrive team na kuset tempo ya game and create line-breakers kwenye mid kwaajili ya Kuwaruhusu AM and b2b kufikisha mipira kwa fowards kirahisi..

Hendo’s positional play is so poor, no wonder game against city, VVD spent his entire game shouting at Hendo kuhusu kujiposition well.. (ningeweza kulink tatizo lililopelekea penalty ya City but i’ll be in big trouble if i speak)
 
nimejikuta natafakari sana maoni ya fans kuhusu ku beef up midfield yetu kwa kusajili the so called "creative" players.
it's an OK'ish idea but it stops short of being a brilliant idea pale watu wanapomtaja Fekir. he's a flair player, but it ends there.

Fekir's definitely not an upgrade on Coutinho - for me he's just another French Lallana (stylish) and possibly due to his fitness history (or lack of it) he could be another French Sturridge.

for me, Klopp's "full throttle" doesn't need too much of flamboyance and/or flair. it rather needs industry & intelligence... basi.

our players' industry & intelligence were actually the two key ingredients which catapulted us to the UCL final last season.
and this happened after our so called "creative" midfielder left for Barca. what we mainly lacked across the entire last season was solidity at the back plus the fact that Klopp didn't utilise Wijnaldum to his strengths. msimu huu matatizo yote mawili ameyatatua.

kwenye fixtures zetu 3 tulizocheza recently ambazo arguably could hitherto be the toughest (vs PSG, vs Chelsea, vs Man City), our midfield personnel went toe-to-toe against the star-studded ones from these supposedly very strong sides littered with the so-called "creative" operators. in all these 3 big matches, tumekuwa tukicheza kama mabingwa watarajiwa. it reminds me of the old Fergie's Manure (I disliked the old man but - hey - respect!)

as for our front 3, nahisi kuna very high inner pressure within themselves ya kudhamiria sana ku-reproduce or even ku-exceed ile brilliant performance yao ya msimu uliopita ambayo ilikuwa branded kama "the most frearsome threesome attack in Europe". plus the cautious approach to games Klopp has resorted to at the start of the season. I can hardly figure out any other explanation to their erratic start. I believe however kuwa Klopp ataliweka sawa hili.

another thing that Klopp needs to look into is to avoid over-using Milner. he's 33 for heavens sake - and it's showing already, he's still such an important player to the side lakini inabidi awe anampumzisha walau kila baada ya mechi 1 au awe anampa cameo appearance for like 10-15 mins.

ila mnaopendekeza majina kama ya akina Fekir, etc..... please be careful with what you wish for!
I think such additions may be just good enough to reinforce our depth but - seriously speaking - it's unlikely to impart anything significant over and above what we already have got.

Fekir/ or any other number 10 wangeitransform this team to the whole another level.

Its so evident we lack creativity, tell me when was the last time tume-open opponent teams na through passes?

Messi/Cou consistenty opened up spurs defence with single passes..

And, if we dont need a number 10, we need a player who can help us in quick transition (kama Ox)
 
These past few weeks, we have been linked with Paqueta/Havertz/Barella/Bergwjin wote hawa ni number 10s or ni natural gifted creators..

Klopp clearly wants a Creator, and we all know ni lazma Klopp angechukua muda kufanya assessment mpya ya number 10 baada ya deal ya Fekir kushindwa kumature.
 
Fekir/ or any other number 10 wangeitransform this team to the whole another level.

Its so evident we lack creativity, tell me when was the last time tume-open opponent teams na through passes?

Messi/Cou consistenty opened up spurs defence with single passes..

And, if we dont need a number 10, we need a player who can help us in quick transition (kama Ox)
my point exactly!

you're right about creativity when you bring about those names you just have - Messi / Cou.

but Fekir?? hell big NO!!
 
After that game against Leicester, i shared my thoughts kuhusu back-passes za hendo zilizopelekea blunder ya Allison..

And since then, i was proved right by VVD and Gomez, ambao stats zinaonesha kuwa hawatoi mipira kwa hendo kabisa hasa akiwa katika tight space (under pressure), VVD anarelease mipira michache sana kwa henderson, (his number 6 and first directional player on the pitch kwaajili ya kupandisha team)..

Remember that live-interview, when VVD alivyoulizwa kuhusu ishu ya team-build up play? Well he said this about henderson
View attachment 891239

LFC fans will tell you Henderson was good y’day because he was running a lot and hook aimeless long balls to Salah. Number 6 ndiye anayedecide team iwe na tempo ya namna gani uwanjani, watu huwa wanachanganya sana kati ya possession na kucontrol mpira, possession huwa inakuwa measured na pass, backline inaweza kuongeza asilimia ya passes kwa kupasiana wenyewe tu, midfield inaweza kucreate a lot of possession kwa sideways passes, kucontrol mpira ni kulimit opponent team inayomiliki mpira kuleta hatari yeyote uwanjani, juzi ferna controled our mid with ease, we did not make a single pass between the lines kwaajili ya kuopen up City’s mid. But apparently hendo alikimbia sana and ended up failing to open or control penetration angles za City’s at all, we were so lucky juzi.

Watu wakisikia DM, wanajua ni kiungo mkabaji tu, mpira ume-evolve now, thats why unahitaji DM anayejua kudrive team na kuset tempo ya game and create line-breakers kwenye mid kwaajili ya Kuwaruhusu AM and b2b kufikisha mipira kwa fowards kirahisi..

Hendo’s positional play is so poor, no wonder game against city, VVD spent his entire game shouting at Hendo kuhusu kujiposition well.. (ningeweza kulink tatizo lililopelekea penalty ya City but i’ll be in big trouble if i speak)


UTAWADANGANYA WASIOFUATILIA MPIRA.

1. Uliposema tu, "...he was running a lot and hook aimeless long balls to Salah" nilijua ni chuki binafsi. Mechi hii ya juzi tukubali tu kuwa Salah alishindwa ku-control passes alizopewa na sio tu na Henderson. Hata shabiki mwenzako King Ngwaba alikiri hilo.

2.Hiyo sentensi ya VVD kuhusu Henderson umeichukua out of context halafu unatuaminisha kuwa alikuwa akiongelea mpira. UONGO.

Kwa kukusaidia, VVD alikuwa akiongelea Hendo kutaka kushiriki kwenye michezo ya basketball wawapo Melwood. Alipoulizwa kuhusu uwezo wa wenzake ndipo akajibu kuwa, "...likes to join in but he’s not that good..." Alisema maneno hayo hayo juu ya Lovren ingawa alimsifu Lovren kuwa pamoja na kutokujua, ni mpambanaji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom