Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jamani wachambuzi hebu mtusaidie huu mpira wa leo wa Liver una maana gani mbona sijazoea kuuona hivi, umekuwa slow, umepooza wala hauna hata madhara kwa timu pinzani.
Mimi macho yangu yote kwa Henderson nione ni kwa nini mashabiki wanamchukia.

Mpaka sasa sijaona kosa alilofanya...Half time.

Game inaenda according to plan. Nitafurahi iishe hivihivi 0 - 0 ila Man city wakishinda itapendeza pia.
 
Jamani wachambuzi hebu mtusaidie huu mpira wa leo wa Liver una maana gani mbona sijazoea kuuona hivi, umekuwa slow, umepooza wala hauna hata madhara kwa timu pinzani.
Team zote zimepooza mpira. Mpira unachezwa katikati ya uwanja. Tactically wapo sawa. Wanaogopa risk
 
Huyo shakir unaemtaja anayo champion's league medal
Hivi nyie mumenielewa kweli.? Amechukua hayo makombe ni kwa sababu alikua kwenye hizo timu lakini alicheza mechi ngapi. Alipokua Bayern katika misimu yote ni msimu wa kwanza tu ndio alitimiza mechi zaidi ya 20 za Bundesliga. Katoka hapo alikua anakula benchi tu.
Acha kukalilishwa ..........
Shaqiri ana
DFL super cup 1
Uefa super cup 1
FIFA club world cup
DFB cup 2
Bundesliga 3
Uefa Champions league 1
Narudia Tena Acha kukalilishwa
Kacheza timu nzuri cha kushangaza katika umri mdogo ndio akaanza kuflop hapohapo. Kutoka bayern kaenda Inter mara Stoke city.

Naomba nikiri ni mchezaji mzuri ila usitegemee atakupa matokeo ya haraka au unayotegemea. Siyo mchezaji ambaye kwa Liverpool hii ilipaswa kumsajili.
 
Jamani wachambuzi hebu mtusaidie huu mpira wa leo wa Liver una maana gani mbona sijazoea kuuona hivi, umekuwa slow, umepooza wala hauna hata madhara kwa timu pinzani.

Wale Watatu Wa Mbele Salah-Firmino-Mane wamekuwa Ni Chui asiye na Meno hawana Madhara Yiyote uwanjani Zaidi ya Kukimbiakimbia ovyo tu.

Sasa Klopp aingie Sokoni Kwa ajili ya Striker hakuna jinsi.
 
3 - No Premier League match this season has had fewer shots in the first half than Liverpool v Manchester City (3 - level with Newcastle v Arsenal & Huddersfield v Cardiff)
 
Keita looks so lost kwenye hii team

Hajawa the same tangu game ya west ham,

We blamed brendan Rodgers kuhusu kumchezesha Firmino out of his position, now Klopp anamchezesha Keita nje ya position yake kabisa, sasa unamnunua mchezaji wa nini kama huna mipango nae?

50m na unamtumia mchezaji nje ya position yake, jamaa anaonekana kabisa hajui afanye nini uwanjani and its on on Klopp.
 
Mimi macho yangu yote kwa Henderson nione ni kwa nini mashabiki wanamchukia.

Mpaka sasa sijaona kosa alilofanya...Half time.

Game inaenda according to plan. Nitafurahi iishe hivihivi 0 - 0 ila Man city wakishinda itapendeza pia.

Hebu Jaribu Kunote Vitu Viwili Tu Kutoka Kweke Huyo Henderson:

1) Kitu cha Kwanza: Mtazame Akiwa na Mpira Pasi Zake anampa Nani Zaidi ya Kuzirudisha Nyuma Kwa Mabeki Wa Kati au Pembeni Kwa Full backs.

2) Kitu Cha Pili: Mtazame Akiwa Hana Mpira wakati Mpira anao His Teammate anafanyaje Zaidi ya Kunyoosha Kidole Nyuma Kuonesha His Teammate aurudishe Mpira Kwa Mabeki.

Jamaa hajui Kabisa Kupeleka Pasi mbele.

Hivyo Vitu Viwili Mchunguze Kwa Makini.
 
Keita looks so lost kwenye hii team

Hajawa the same tangu game ya west ham,

We blamed brendan Rodgers kuhusu kumchezesha Firmino out of his position, now Klopp anamchezesha Keita nje ya position yake kabisa, sasa unamnunua mchezaji wa nini kama huna mipango nae?

50m na unamtumia mchezaji nje ya position yake, jamaa anaonekana kabisa hajui afanye nini uwanjani and its on on Klopp.
Klopp has to change his plan after international break, the whole team has lost!
 
Kwa nionavyo mimi,Gomez amecheza ubavu wa kushoto kuzuia cross za Mendy,kati hakuna shida endapo utazuia cross zake na runs za sterling. Gomez ana ubavu kuliko TAA.
 
Klopp Ni Kocha Wetu lakini Ni Wazi Kuwa Anaanza Kuchanganyikiwa..
Sijui Ni Kwa Uzee au Karogwa!!!

Yani ametoa Zaidi ya £100m+ kwa Keita+Fabinho kwa ajili ya Kuwaweka Benchi...
Hapo unadhani FSG watakubali tena kurisk hela zao kwa upumbavu kama huu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom