Antonio Conte
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 1,089
- 1,748
Mkishafungwa ndio mnasema timu haikua mbaya iliyowafunga.Team sio mbovu
Team ilikuwa na mechi mbaya jana
Napoli sio team ya hovyo kama WHU
Hizi ni kauli za kabla na baada ya mechi za mashabiki wa hii timu. Nasubiri mechi nije nione huu unafiki tenaTeam sio mbovu
Team ilikuwa na mechi mbaya jana
Napoli sio team ya hovyo kama WHU
Man City kwangu hawezi nifunga
Wala siifikirii mechi hiyo
Hapa nafikiria wachezaji wangu mechi za kimataifa kama watarudi bila majeruhi
MESUT OZIL...GERMAN ikishinda hakuna shida..ila German ikishindwa, Ozil hafaiKhe khe khe khe khe khe khe khe khe![]()
. Umeua bendi timu ikifunga imekamilika ikifungwa mbovu. Khe khe khe khe
![]()
![]()
Noma sana huyu jamaa jana salah aliingia cha kike

Hivi Fabinho mlimnunua kama back up au haja-fit kwenye mfumo ndo maana amekuwa back up?
Huu unafiki ni wa kwenu kwa sababu wenzako ndio wamesema timu ni mbovu lakini mlipokuwa mnashinda 4 eti timu imekamilika.
Mi mwenyewe natamani mpite halafu mtolewe next stage.OVER my dead body!
Isha vuka kwenda playoff
Napoli nitamgeuza maini akija Anfield
J2 loading....Afadhali huu uzi umetulia now.kulikua na kelele sana![]()
Siyo unatamaniMi mwenyewe natamani mpite halafu mtolewe next stage.
Kuichukia Liverpool hii utapata sana taabu na utakonda!Hizi ni kauli za kabla na baada ya mechi za mashabiki wa hii timu. Nasubiri mechi nije nione huu unafiki tena
Umemfunga Zinduna ya Lithunia kwa bao la Morata dakika ya 71 NDIYO unamcheka Liverpool kufungwa na Napoli?Mkishafungwa ndio mnasema timu haikua mbaya iliyowafunga.
Utani wa kawaida kwenye soka!