Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa iyo mkuu Salah, Mane na Firmino wasipo pafom furesh kama unavyotaka wewe, timu haiwezi kushinda?

Sasa wasipokuwepo kabisa itakuwaje?
vipo viashilia kwamba bila Hazard akiwa kwenye kiwango cha juu ushindi kwenu hua hafifu vile vile hao washambuliaji uliowasema ndio chagua la kwanza la kocha kwa sasa na kazi yao kuu ni kuleta magoli na kunyakua poiniti 3 sasa wasipo perfom kwa kutumia vyema nafasi wanazopata za kufunga magoli unadhani ushindi unapatikana aje...
bila Salah uwanjani tumempiga PSG na kutoa draw Chelsink hivyo ushindi hauwategemei wao muda wote unavyosema...
 
Our next captain ,taratibu watamwachia kitambaa

IMG_4370.JPG
 
vipo viashilia kwamba bila Hazard akiwa kwenye kiwango cha juu ushindi kwenu hua hafifu vile vile hao washambuliaji uliowasema ndio chagua la kwanza la kocha kwa sasa na kazi yao kuu ni kuleta magoli na kunyakua poiniti 3 sasa wasipo perfom kwa kutumia vyema nafasi wanazopata za kufunga magoli unadhani ushindi unapatikana aje...
bila Salah uwanjani tumempiga PSG na kutoa draw Chelsink hivyo ushindi hauwategemei wao muda wote unavyosema...
Yes your right.!
 
Liverpool kamili dakika ya 45 anamaliza game Anfield
Kaka ule moto pale mbele utakuwa umeisha changanya kwa 100%
Mechi ya marudiano ANFIELD mmeisha poteza

Chelsea ana record ya kumnyanyasa Liverpool anfield zaidi a darajani. soma stats
 
vipo viashilia kwamba bila Hazard akiwa kwenye kiwango cha juu ushindi kwenu hua hafifu vile vile hao washambuliaji uliowasema ndio chagua la kwanza la kocha kwa sasa na kazi yao kuu ni kuleta magoli na kunyakua poiniti 3 sasa wasipo perfom kwa kutumia vyema nafasi wanazopata za kufunga magoli unadhani ushindi unapatikana aje...
bila Salah uwanjani tumempiga PSG na kutoa draw Chelsink hivyo ushindi hauwategemei wao muda wote unavyosema...

Vipi na nyie bila VVD timu inabugizwa ngapi vile
 
Vipi na nyie bila VVD timu inabugizwa ngapi vile
VVD atawapa taabu sana...hata hivyo hachezi peke yake hivyo kama akiwa uwanjani hatupotezi mechi ni kazi kwa timu nzima uwanjani na si yeye peke yake...
Liverpool hakuna mchezeaji aliezaidi ya klabu ndugu..
hatutegemei individual brilliance mbali complete concept of togetherness
 
Chelsea ana record ya kumnyanyasa Liverpool anfield zaidi a darajani. soma stats

Sidhani Kama Haya si Mawazo Ya Wanaojua Mpira Bali Nia Mawazo Yako Peke Yako.

Hii Ni Rekodi Ya Kuanzia Mwaka 1992 ilipoanza Kuitwa Premier League.
Sasa sijui Hayo Maneno Uliyoyasema umetengenezewa na Nani Hizo Stats.

Labda Nikuombe utuletee Hizo stats ambazo Unataka Zisomwe.

Screenshot_20180930-210754.png
 
Our next captain ,taratibu watamwachia kitambaa

View attachment 882406

Hendo anaanza Kupotezwa Kidogokidogo..
Milner umri unasogea...
Finally VVD will gonna be our Captain.....
Can't wait that day....
Yani Jana alipovaa Kitambaa cha C basi goli limeingia Kiulaini...
Hata goli limejua Kuwa sasa limepata Captain sahihi Wa Kumuwakilisha.
 
Ambacho amewin kocha wa chelsea jana ni kutomruhusu Mane akimbie na mpira golini kwa Chelea.Kwa kufanya hivi aliua kabisa our ftont three mipira ikawa haikai mbele.No penetration.Nafasi zikapungua na watu wetu watatu wakawa very uncomfortable.Kwahiyo plan ya kutomruhusu Mane acheze mpira ilifaulu na hapa huyu Sarri nampongeza.

Kwa upande mwingine Klopp inabidi awe flexible kwenye mfumo.Kuna games ambazo tunatakiwa tucheze kwa malengo tu ya point tatu sio lazima tucheze 4:3:3 na kukimbia sana.4:2:3:1 with Sturridge at the top huku tukicheza very calm direct football ingefaa sana.Nyuma ya Sturridge kunakuwa na Keita,Mane na Firmino/Salah.

Mbele ya akina VVD ni Gini na Milner/Fabinho.Yani tusiwe very predictable ili ili kuzishinda hizi approach za makocha kama Sarri ambao wanakuja kumtarget source of problems na kupunguza kabisa makali yetu.Mourihno pia anapebda kutumia hii technic anapokutana na timu nzuri.Anasona na kuelewa your hidden strength then anaiblock.
 
Hii wakiona wanaruka Kama hawaoni vile.

King Gwaba na malafyale wao walisema ni Hazard ni mzee wa mapenati tu....hawajui kufunga penalty ni sehemu ya mchezo pia na inahitaji utalaam na umakini wa Hali ya juu....Sasa ivi hawana Cha kusema kuhusu Eden Hazard.

N.B. mashabiki wa Liverpool msiwe mnaongea kabla ya mchezo mtaibika kila kukicha
 
Ni kweli Keita ana problem ya Consistency lakini Kumuanzisha Hendo katika Mechi Ngumu Kama Ya Leo na Kumueka Benchi Keita niseme Wazi Kuwa Klopp anatudisappoint.

Keita Anadrive Mipira vizuri Na Kuichezesha Foward Line Huku yeye Mwenyewe Akiwa na Uwezo Wa Kudribble Na Kuingia Ndani Ya Box.
Mliyoyakana mnaanza kuyatapika wenyewe. Kila siku mnasema Chelsea ni timu ndogo kwenu. Iweje Leo iwe timu ngumu kwenu? Na kufanya mechi kuwa ngumu?

Alleluyaa....Heshima itapatikana tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom