radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Kocha lazima apewe muda mkuu ile timu waliiharibu toka 2013 alipostaafu alex sasa ukifukuza saiv unategemea nn kuna watu wanakwambia zidane angalia kushoto marcelo kulia dan kati ramos na varane kwa uchache tu pata pichaHahaha, jamaa unampenda sana kocha wako. Ila ndo anakuumiza sasa.