Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Brother Sasahivi Tumeshacheza Seven Games EPL and One game UCL lakini Mpaka sasa No sing of change at all katika Forward Line Yetu (Muexclude Firmino)... Nahisi Huu Ni Wakati Sasa Wa Klopp Kutafuta New Face katika attacking Kutoa Challenge.

Kuna muda nimehisi hik i kikosi kilichomaliza game kipate games kadhaa za kuanza EPL tuone itavyokuwa.

Yaani Salah akae benchi nafasi ya Shaqir, Mane anaweza kubaki ila wapishane na Sturridge, Firmino acheze 10 Sturridge awe 9.

Keita anastahili kuwa regular player.
 
Ok tumekubali, lakin hatujapoteza game zote 2,
and Sarriball haijafanikiwa leo
Dean05. Kitu unachotakiwa kutwmbua kwenye mpira ni kwamba mpira ubadilika kila sekunde kila dakika. Kipindi Cha kwanza Chelsea wamecheza vizuri wakapata goli la kuongoza. Kipindi Cha pili liver wamecheza vizuri atimaye wamesawazisha. So kwangu Mimi husiseme sariball haijafanikiwa....ndani ya dakika tisini 90 uwanjani huwa Kuna kushinda ama kudrow ama kuloose pia.

Sisi Chelsea fans ndiyo tungesema mmeshindwa kufunga Kama mlivyokuwa mnasema Leo ni Leo mnaenda kushinda zaidi ya magoli 3....lakini mmeona kilichotokea.

Kwangu Mimi nachukulia Kama
Chelsea vs Liverpool ni 50 50 hakuna mbabe. Tusubiri next game.
 
IMG_20180929_225408_209.jpg
 
Kuna muda nimehisi hik i kikosi kilichomaliza game kipate games kadhaa za kuanza EPL tuone itavyokuwa.

Yaani Salah akae benchi nafasi ya Shaqir, Mane anaweza kubaki ila wapishane na Sturridge, Firmino acheze 10 Sturridge awe 9.

Keita anastahili kuwa regular player.

Ni kweli Keita ana problem ya Consistency lakini Kumuanzisha Hendo katika Mechi Ngumu Kama Ya Leo na Kumueka Benchi Keita niseme Wazi Kuwa Klopp anatudisappoint.

Keita Anadrive Mipira vizuri Na Kuichezesha Foward Line Huku yeye Mwenyewe Akiwa na Uwezo Wa Kudribble Na Kuingia Ndani Ya Box.
 
Willian kakosa la wazi sana kacheza kipa wetu
Hazard katukosa la wazi sana kacheza kipa wetu
Mane kakos ala wazi sana dakika ya 57 kacheza kipa wao
Shaqir kakosa kuunganisha tu dakika ya 70
Boby kakosa la wazi sana dakika ya 73 kaokoa Luizi kwenye mstari
Liverpool tulistahili kushinda
Maneno ya Hazard baada ya mechi kuwa wapo very close kufikia quality ya Liverpool na Man City ni kweli!
 
Sijui Kama Ni game Plan au imetikea tu Uwanjani lakini Leo Nilichokiona Uwanjani Ni Kuwa alidhibitiwa Joginho Kisawasawa Asimiliki Mpira Pale kati Kuwachezesha Washambuliaji.
 
Willian kakosa la wazi sana kacheza kipa wetu
Hazard katukosa la wazi sana kacheza kipa wetu
Mane kakos ala wazi sana dakika ya 57 kacheza kipa wao
Shaqir kakosa kuunganisha tu dakika ya 70
Boby kakosa la wazi sana dakika ya 73 kaokoa Luizi kwenye mstari
Liverpool tulistahili kushinda
Maneno ya Hazard baada ya mechi kuwa wapo very close kufikia quality ya Liverpool na Man City ni kweli!
I thought you had 100% winning percentage before today's game, bitter loser
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom