Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Kabisa mkuu.
Yaani jana gemu ile tungekuwa makini kwenye umaliziaji, basi tulikuwa tunaizika since first half!
Salah na Mane wanazingua, ili kuirudisha Liverpool hadhi yake inabidi usajili uendelee kufanyika. Hivi sasa Salah anawaste chance kama Lukaku au Martial tu! Sio yule tuliemuona mwishoni mwa msimu uliopita!
Hiyo jana Chelsea walimuwezea Mane aisee, and that proved kuwa Chelsea wana beki na kiungo cha kueleweka. All in all Forward zetu wamekalia magoli, tunastahili kunet in more
Hata Hivyo Salah Jana Kaonesha Some improvement ukilinganisha na Michezo iliyopita this season...
Alichokosa Kwa sasa Ni Finishing tu bado ana tatizo kwenye hili.
We mzaramo?Mashabiki wa Chelsea ni mazwazwa wanadhani ile pindua pindua ya Hazard ya jana aliyekuwa anawafanyia wale mazuzu Ijumamosi itajirudia tena Never
Dah mbona mkuu unajaribu kuaibisha timu yako?mkuu kwani nyie si mlisema hatuchomoki hata na draw sasa mmechemka na Hazad akiwa fire bado tu mnaona sisis ndio tumebahatika...
Mabeki cheksink na kipa wa liva kwa leo ndio wameamua mechi...
kama umeshindwa kutufunga tukiwa below our level basi ipo shinda aisee..
Kapanga first 11 kwako na hujashinda!Dah mbona mkuu unajaribu kuaibisha timu yako?
Kwa iyo jana Klopp hakupanga fest XI tena?
VVD, Gomez, Milner, Firmino, Salah, Mane, Allison, nk... Hao ni thed XI au!!!!!!
Kwamba mlocheza below your level..! Level yenu ni ipi mkuu????
Acha kuchekesha watu bana.
mkuu level ya liverpool pale mbele bado hawajachanganya ipasavyo wanacheza chini ya kiwango na hilo wewe umeliona japo utabisha..Dah mbona mkuu unajaribu kuaibisha timu yako?
Kwa iyo jana Klopp hakupanga fest XI tena?
VVD, Gomez, Milner, Firmino, Salah, Mane, Allison, nk... Hao ni thed XI au!!!!!!
Kwamba mlocheza below your level..! Level yenu ni ipi mkuu????
Acha kuchekesha watu bana.
Hata jana tungepanga kile kikosi cha Carabao...Kapanga first 11 kwako na hujashinda!
Angepanga akina Minyoo golini ungeshinda'
Huna uwezo wa kumfunga Liverpool kamili na majigambo yako bure kabisa
UshaliwaLeo.lazima mkae mtake msitake ***** View attachment 881608
Nakujibu. Nadhani ilimchukua kama dakika mbili.Mkuu Nakuomba Kitu Kimoja! ili kubalance hii post Yako unaweza Ukanicalculetia Kuwa imemchukua Muda gani Kwa Sturridge Kufunga goli?
Ielewe post yangu ilichomaanisha. Hatukuwahi kumdharau sturridge wala timu yenu hatukuwahi kuidharau. Ila nyie ndio mlikua mnatubeza sana.Ndiyo nilikuwa Nataka Nimuoneshe Yeye Kuwa Si kila anachokikuta Insta au Twitter achukue tu!
Kwani Kama anajisifia Kuwa Hazard ilimchukua dakika 25 kufunga goli, Sturridge yeye imemchukua dakika 2 tu Kufunga...
ndio hivyo sasa tumetoa draw Darajani pamoja na bwebwe kwamba mtatufanga mengi mlishindwa...Hata jana tungepanga kile kikosi cha Carabao...
Sijui mngeshindia wapi.
Hii ndo kazi aliyopewa na Klopp!! Jamaa ni mzuri sanaDah! Jana Kijana Wetu Kafanya Kazi Kubwa Sana Hasa Zile Nafasi Mbili alizomdeny Willian na Hazard ana Kwa ana!!
Yani Sijengi Picha Sijui Kipa angelikuwa Mignolet au Karius ingelikuaje!!!!
View attachment 881921
Wewe zezeta kweli.Unaambiwa level, we unataja first Xl, huu c mtindio wa Ubongo
Una mtindio wa ubongoWewe zezeta kweli.
Ujaelewa nilichoandika.