Antonio Conte
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 1,089
- 1,748
Cc MalafyaleHa ha ha na leo nawaaongeza kitu kingine. Kuna uwezekano mkubwa sn pale kati Klopp akawaanzisha Henderson, Milner na Wijnaldum ili kuweza kuwin battle la viungo amabalo yeye anawaita viungo wa Chelsea kua wanakimbia km gari za Formula One.
Yani liver watahahakisha hakuna kabisa utulivu hapo kati.