Mambo machache yaliyotugharimu tukose kuondoka na pwenti tatu from Stamford Bridge;
Mosi, hatukuwa clinical leo au labda tuseme bahati haikuwa upande wetu.
Pili, Kitendo cha kuanza na Henderson badala ya Keita pale dimba la kati kimetugharimu sana.
Tatu, kuchelewa kufanya substitution, especially kwa Sturridge na Keita.
Nne, pengo la mtu wa kupiga mashuti ya mbali nje ya 18 kama alivyokuwaga anafanya Coutinho au hata Gerrard.
Positives:
Msimu huu tuna depth kwenye substitution ambayo inaweza kuingia na kubadilisha matokeo.
Maoni:
It's high time Fabinho aanze kutumika ili Milner awe anapumzika kidogo kutunza nguvu kwenye gemu tight, age ya Milner haifai kumchezesha mechi zote kwa dakika zote 90. Just my opinion.
Conclusion:
Nimefurahia kutochafua streak yetu kwenye msimu so far.
YNWA!