Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Acheni kujibishana na washabiki wa kijitimu kidogo kama chelsea, level ya LIVERPOOL ni REAL MADRID, MAN U,JUVENTUS,BARCELONA .hivi vichelsea wachieni leicester na notengham forest ndio wanalingana mafanikio yao.
Khe khe khe khe kheeee....

Hata yule jamaa alisema vivyo hivyo.
 
Sikuwa na lengo ovu.

Nilitaka tu kuona, kubashiri, mtajipangaje...like your best XI.

Sisi timu Yetu Kabla ya Season Hii Tulikuwa Tukitegemea Sana Ushambuliaji (From Mane-Firmino-Coutinho to Salah-Firmino-Mane) na Ndiyomana Tulikuwa Tunagunga Magoli 60 lakini Tunaconcede 45.... Lakini Msimu Huu Tunategemea Kipa na Mabeki Zaidi (TAA-GOMEZ-VVD-ROBBO) katika Kushinda Game that is why Tunashinda Magoli Kidogo na Tunaconcede Kidogo.

Jana Ukitoa Hile Set-Piece ambayo Mchezaji yoyote anaweza kufunga kulingana na Uzembe Wa Mabeki, Basi Goli la Ushindi Kama Ulivyoona Halikuwa Na Assist Bali Zilikuwa Ni Jitihada Za Hazard Binafsi kutokana Na Class Yake.

Na Ndiyomana Ukiniuliza Mimi au Mtu Mwengine Yoyote anaejua Mpira Basi Atakwambia Chelsea Haikuwa na Mchezaji Tishio Mpaka Pale alipoingia Hazard ambaye Uwezo Wake Uliwashinda Mabeki Wetu na Akawa Tishio.

Lakini Katika EPL pale tutakapokuwa Na Safu Kamili ya Ulinzi Basi Ni Rahisi Kudeal Na Mshambuliaji Mmoja Hazard asiweze Kuleta Madhara.

MANTIKI YA HII POST YANGU

√ Nimetaja Kuwa Tunadeal na Mshambuliaji mmoja Kwasababu Giroud/Morata na Willian Hata Nyinyi Wenyewe Munajua Kuwa Hawa Ni Wachezaji Wa Kawaida tu Haihitajiki Nguvu Nyingi Kuwakaba..
Note: Sijasema Kuwa Hawawezi Kufunga manake Kuna Misukule hapa imekalia umbumbumbu tu.

√ Johinho na Kante Ni Wachezaji Wazuri kuliko Mido Zetu lakini Kwenye Ushambuliaji hawana effect kubwa Kwasababu so Washambuliaji.

Kwahiyo Asilimia 90% ya Ushindi Wa Mechi za Chelsea EPL Ni Kwajuhudi Binafsi Za Hazard ambapo Timu itakayofanikiwa Kumzuia ndiyo inayofanikiwa Kuizia Chelsea isishinde Kama alivyofanikiwa Pellegrini Wa West Ham.

Na Hata Jana Chelsea Haikuwa na Mbinu tena ya Kupata goli la Ushindi Bali Hazard alitumia Jitihada binafsi.

So, Natumai Defence Yetu pamoja Na Kocha imeliona Hilo na italifanyia Kazi.
 
Unatuletea historia
Acheni kujibishana na washabiki wa kijitimu kidogo kama chelsea, level ya LIVERPOOL ni REAL MADRID, MAN U,JUVENTUS,BARCELONA .hivi vichelsea wachieni leicester na notengham forest ndio wanalingana mafanikio yao.

toka babu yako hajazaliwa. Mara ya mwisho kubeba EPL na UEFA ni lini? Historia ambayo hujawahi kuniona haina maana.
 
chelsea waachieni leicester city, watford na nottengham forest ndio level zao. liverpool tunaangalia kuendeleza brand yetu england na ulaya kwa ujumla.

pale england man u tu ndio mwenye uwezo wa kumchallenge liverpool.

Tena watushukuru sana baba zao tumerudi champions league tuna watetea mbele ya clubs kubwa duniani. cku zote wao wanaruka ruka tu.

hivi nyie chelsea mnajua kua nottingham forest nae ana champions league 1 kama nyie? au mnaruka ruka tu??.sisi liverpool tuachieni akina ac milan, real madrid tupambane nao. msijilazimishie LIVERPOOL
Liverpool ni klabu kubwa duniani si England tu! ....
 
Mignolet kafanya kosa gani leo?
Hebu nisaidieni.

Na hapa niko kama shabiki wa mpira. Please, please, labda kwa kuwa nilikuwa na stream kwa simu..screen ni ndogo.

Cc: Malafyale King Ngwaba
Klopp amemkasirikia Shaqiri na sio Mignolet, ni dhahiri aliyeenda tofauti na mwalimu ni Shaqiri mchezaji aliyesajiliwa kwa mbembwe nyingi huku wengine tukikosa usingiuzi kwa ajili ya makelele ya Klopp

Cc: Malafyale King Ngwaba
 
Kama Liverpool yenye world classic player wenye uchungu na timu ..Xabi Alonso, Steven Gerrard, Kuty, Torres, Lucas, Mascherano nk ...ilishindwa kubeba EPL ..je liverpool hii ya Mane, Salah na Firmino ambao hawajawahi kubeba hata vikombe vya ligi ya mchangani ndo unategemea kuchuka nao ubingwa?? Kuwa siriyaz bwana ..

Moyes anajua anachokiongea...
Ongezea na ile ya 2012 ya akina Suarez, Sterling na Sturridge akiwa kwenye form nzuri
 
ila mkumbuke kila team ina priority yake!
Carabao was not our priority!
kilichoniuma Jana ni Liverpool kufungwa nyumbani kwa Mara ya kwanza tokea mwaka huu uanze

Aisee..kina Firmino na Salah waliingizwa kutafuta match fitness naona.

Tukutane darajani. Nadhani baada ya hapo hata mimi nitawaacha maana kubishana na nyie ni sawa na kunishana na babu yangu.
 
Kuna mtu akiniambia eti mashabiki wa Liverpool wa Uingereza wao hawana shida kwa sababu wengi wao wameanza kuwa washabiki na Liverpool hii hii ya kufungwa. Mashabiki wenye shida ni hawa wa Afrika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom