Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Hata PSG au Spurs walitafuta sare lkn waliikosaHammers walikua wanatafuta sare tu km na nyie mnaitafuta sawa..
Nakupiga easy sana leo
Hauna team bado,tengenza team uje mwakani vyema
Hata PSG au Spurs walitafuta sare lkn waliikosaHammers walikua wanatafuta sare tu km na nyie mnaitafuta sawa..
Mkata UMEME Milner kawanyamazisha akina Rabiot ndiyo awe hawa wasio na skills hata moja?Klopp anajua shughuli ilivyo nzito hasa. Hapo hatanii kabisa.
Willian, Hazard, Kante hawa watu wanakimbia vibaya sn. Alafu Covacic na Jorginho hawa wanamiliki mpira vibaya sn na mmoja hapo anatoa pass ni balaa.
Milner alikuwepo match ya juzi mbona alishindwa kazi yakeMkata UMEME Milner kawanyamazisha akina Rabiot ndiyo awe hawa wasio na skills hata moja?
Kamampira kukimbia kwa nn msimsajili Usain Bolt wa Jamaica?
Usibishe eden hazard ataamua match tena Stamford bridgepoints zetu 3,tunachukua toka kwa hawa madogo wa chelsea leo. ni mwendo wa ushindi tu leo
Kombe la MBUZIMilner alikuwepo match ya juzi mbona alishindwa kazi yake
Kwa hiyo unataka kusema EPL kwenu ndio muhimuKombe la MBUZI
Leo ni EPL jomba,Liverpool hawezi fungwa na team CB Luiz na Rudiger
Aubemayang alikosa bao kibao za kugusa tu ambazo hawa akina Salah wanafunga zile
3-1 easy win
Hayo maneno mwambie kocha wako Klopp anaelialia watu wanakimbia km gari za Formula OneMkata UMEME Milner kawanyamazisha akina Rabiot ndiyo awe hawa wasio na skills hata moja?
Kamampira kukimbia kwa nn msimsajili Usain Bolt wa Jamaica?








Wakikosa lazima tuwalaumuKwa hiyo unataka kusema EPL kwenu ndio muhimu
Kwani kukosa magoli si kitu cha kawaida usije ukamlaumu mane firmino na salah kwa kukosa magoli

Milner alikuwepo match ya juzi mbona alishindwa kazi yake
Bado...ngoma ipo leoTushakutana mkuu
Masigara wewe haumjui kumbe....Nyie jamaa inabidi leo hizi kelele tuzizime.
Masigara wewe haumjui kumbe....
Masigara hataki utani kabisa...