Adam Lewis.
SIKU ZA MORENO KUWEPO ANFIELD ZAANZA HESABIKA SASA.
>>Gerrard aliwahi Mtabiria HARAKA mafanikio yake..
>>Kinda Adam Lewis ajumuishwa Kikosi cha Kwanza.
>>Kufuatia kupoteza ktk mchezo wa EFL au Carabao dhidi ya Chelsea.

Mwanazuoni.
Kinda ADAM LEWIS ameitwa ktk Kikosi cha Kwanza cha Liverpool na kujumuika nao kufanya Mazoezi Mara tu baada ya Mchezo wa EFL au Carabao Cup ambao sie LIVERPOOL tulipoteza kwa goli 1-2.
Steven Gerrard Kepteni huyu wa Zamani wa LFC na ambae ndie aliekua Kocha wake ktk Kikosi cha Vijana wa Miaka 18 Alishampendekeza Kijana huyu acheze kwenye Kikosi cha Vijana wa Miaka 23 kwa kua ktk Kikosi Chake cha Vijana wa Miaka 18 ni kimpotezea sana muda kwa uwezo Mkubwa alionao,Gerrard alinukuliwa akisema siku za nyuma kua hatakuja shangaa akiona Kijana huyu anacheza first team,Kikosi cha Kwanza,inawezekana sasa maneno yale yakatimia muda huu.
Adam Lewis ni Versatile Player,akiwa na Kipaji kikubwa sana cha kucheza kama beki wa kushoto na upande wa Kiungo cha chini,anatajwa kua na uwezo Mkubwa na nguvu bila kusahau skills na pia ni Mkabaji na Mpambanaji.
Moreno alicheza mchezo huo na kutoonyesha MABADILIKO yyte kwenye mchezo hua na kupelekea kulaumiwa pia kwa kutokua makini na kushindwa mzuia Hazard ambae alienda funga goli la Ushindi la dakika za Mwishoni Mwishoni.
Kufuatia kujumuishwa ktkbKikosi cha Kwanza kwa Kinda Adam Lewis anaecheza nafasi moja na Moreno kunaashiria sasa kwamba "Siku za Maisha ya Moreno kuwepo ANFIELD zimeanza kuhesabika"
Haya ndio yanayoendelea kujiri huko kwenye Mazoezi ya Klabu pendwa yetu kunako Viunga Vya Melwood.
@binslim3
#ynwaadamlewis
#WeAreLiverpool.