Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Mkuu we acha tu. Yaani watu wanapoona hawana uwezo wa kupata vitu vya msingi (trophies) wanapenda kujivunia virekodi vidogo vidogo
Kwa Kiswahili hapa ndiyo umesema nini mkuu.
Kwa Moyo Wangu Wote Ninaipongeza (Chelsea) Kwa Kushinda Kombe Linaloitwa "Kumfunga Liverpool Ndani Ya Anfield 2018"