Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sisi timu Yetu Kabla ya Season Hii Tulikuwa Tukitegemea Sana Ushambuliaji (From Mane-Firmino-Coutinho to Salah-Firmino-Mane) na Ndiyomana Tulikuwa Tunagunga Magoli 60 lakini Tunaconcede 45.... Lakini Msimu Huu Tunategemea Kipa na Mabeki Zaidi (TAA-GOMEZ-VVD-ROBBO) katika Kushinda Game that is why Tunashinda Magoli Kidogo na Tunaconcede Kidogo.

Jana Ukitoa Hile Set-Piece ambayo Mchezaji yoyote anaweza kufunga kulingana na Uzembe Wa Mabeki, Basi Goli la Ushindi Kama Ulivyoona Halikuwa Na Assist Bali Zilikuwa Ni Jitihada Za Hazard Binafsi kutokana Na Class Yake.

Na Ndiyomana Ukiniuliza Mimi au Mtu Mwengine Yoyote anaejua Mpira Basi Atakwambia Chelsea Haikuwa na Mchezaji Tishio Mpaka Pale alipoingia Hazard ambaye Uwezo Wake Uliwashinda Mabeki Wetu na Akawa Tishio.

Lakini Katika EPL pale tutakapokuwa Na Safu Kamili ya Ulinzi Basi Ni Rahisi Kudeal Na Mshambuliaji Mmoja Hazard asiweze Kuleta Madhara.

MANTIKI YA HII POST YANGU

√ Nimetaja Kuwa Tunadeal na Mshambuliaji mmoja Kwasababu Giroud/Morata na Willian Hata Nyinyi Wenyewe Munajua Kuwa Hawa Ni Wachezaji Wa Kawaida tu Haihitajiki Nguvu Nyingi Kuwakaba..
Note: Sijasema Kuwa Hawawezi Kufunga manake Kuna Misukule hapa imekalia umbumbumbu tu.

√ Johinho na Kante Ni Wachezaji Wazuri kuliko Mido Zetu lakini Kwenye Ushambuliaji hawana effect kubwa Kwasababu so Washambuliaji.

Kwahiyo Asilimia 90% ya Ushindi Wa Mechi za Chelsea EPL Ni Kwajuhudi Binafsi Za Hazard ambapo Timu itakayofanikiwa Kumzuia ndiyo inayofanikiwa Kuizia Chelsea isishinde Kama alivyofanikiwa Pellegrini Wa West Ham.

Na Hata Jana Chelsea Haikuwa na Mbinu tena ya Kupata goli la Ushindi Bali Hazard alitumia Jitihada binafsi.

So, Natumai Defence Yetu pamoja Na Kocha imeliona Hilo na italifanyia Kazi.
Umechambua vzr sn lkn kuna kitu kimoja ambacho Pellegrin alikifanya dhidi Ya Chelsea ambacho wewe haujakigusia kabisa.

Ktk game Ya Chelsea na wagonga nyundo, kile kitu walichofanya Hammers ni kuhakikisha mipira haifiki Kwa Giroud. Walikata passes zote na kuhakikisha Giroud hachezi mipira ambayo Kwa mfumo wa Sarri Giroud ndio huwatengenezea kina Hazard Move pamoja na Willian na kiungo mshambuliaji wa kati. Giroud mpk anapumzishwa aligusa mpira mara 24 na mara zote ilikua mgagade mgagade kitu ambacho alishindwa kuwachezesha wenzake.


Ikabidi Morata aingie. Km Unakumbuka Hazard na Willian wakatanua wakawa wanatumia Cross, nayo hiyo mipira ikawa mizuri na kuleta matumaini ya kupata goli lkn muda ulikua umekwisha. Ata hivyo pamoja na hiyo mipira ya Korosi na kutumia wingers bado hammers walikua wabishi kutoka ndani ya Box lao na walikua wanakata mipira yote iliyokua inaingia humo ndani Ya box.


Sasa mkitaka kufanikiwa kuwapoteza Chelsea ktk hili, labda mcheze deep Ndani ya boxi yenu kitu ambacho ni kz sn kucheza Kwa dk90.

Jana Klopp amelia na mfumo au mpira wanaocheza siku hizi Chelsea, mpira wa ku dominate. Na alisema mara zote walipojaribu kukaa na mpira haikua rahisi. Waliupoteza na Chelsea kuwaletea matatizo.

Mtazamo wangu, Liverpool inapaswa jumamosi ili kukabiliana na Chelsea vzr. Swala si kumuangalia Hazard. Inatakiwa Team work ya nguvu na high pressing. Muanze kuikaba Chelsea juu kabisa ktk eneo lao na kuhakikisha mnatibua mipango yote ya Chelsea. Na wakati huo huo viuongo wenu na mabeki wenu wawe makini sn na counter attacks maana mkionekana mko juu sn basi Kante na Hazard na Willian hawa watakua na kz moja tu ya kuwashambulia Kwa kasi sn Kwa usaidizi WA ustadi wa mpiga pass mzuri Jorghinho.

Liverpool ingelikua na Oxlander mzima na Wijnaldum hapo kati ningesema hawa watu watawaokoa.

Lkn ni bora kumchezesha Wijnaldum hapo kati na Miller wanaweza kuwasaidia sn kuliko kamanda Henderson.


Ukitaka kuidhibiti Chelsea, ikabie juu kabisa na uhakikishe Kante na Jorghino hawapati utulivu kabisa.
 
Klopp amemkasirikia Shaqiri na sio Mignolet, ni dhahiri aliyeenda tofauti na mwalimu ni Shaqiri mchezaji aliyesajiliwa kwa mbembwe nyingi huku wengine tukikosa usingiuzi kwa ajili ya makelele ya Klopp

Cc: Malafyale King Ngwaba

Halafu Mimi Sipendi Mtu aniQuote Kwa Mawazo Ya Wengine. Mimi post zangu Nazihakikishia Kuziandika Kwa Mawazo Yangu Mwenyewe Bila Ya Kufuata Mawazo Ya Mtu mwengine na Ndiyomana Hunikuti Kunadia Mechi Kuwa Lazima Tutashinda, Wala Hunikuti Kutangaza Kubeba Kombe lolote Kwani siamini Ramli Katika Mpira Bali Naamini Ushindi Baada Ya Dakika 90 na Kombe Mwisho as Ligi.

Kwahiyo UnapoQuote Watu Wanaojisifia Ni Bora Usinishirikishe.
 
Jumamosi itakuwa Ni Siku Ngumu Kwa Upande Wa Mashabiki Wa Upande Mmoja ambao Mimi binafsi Sijaujua Ni Upi.

Kwani Hii Mechi Kwa Matokeo Yoyote Yale Haitamwacha Mtu Salama.

√ Timu itakayofungwa itakosa amani na Washabiki wake.

√ Mechi ikiishia Sare Timu ya Nyumbani itakosa amani na Washabiki Wake Kwa Disadvantage ya Kukosa Points 3 uwanja Wa Nyumbani.

Ni Kizaazaa tu Siku hiyo.
 
Espacos Demais
IMG_20180927_200416_298.jpg
 
hawa chelshit ni kuwapiga 3 tu, watutolee kelele zao hapa, wamejazana hapa kishenzi utadhani wamechukua Kombe
 
ila mkumbuke kila team ina priority yake!
Carabao was not our priority!
kilichoniuma Jana ni Liverpool kufungwa nyumbani kwa Mara ya kwanza tokea mwaka huu uanze
Liverpool hata haina priority msimu Huu sio Carabao tu hata matumaini ya kutwaa FA au EPL hayapo kabisa kwa Liverpool
 
Mimi Ni Mmoja Wa Fan Wakubwa Sana Wa Hazard na Jana Aliyekuwa Hajaamini Kuwa Hazard Ni Mmoja Wa Top Four Ya Best Player in The World (Messi, Ronaldo, Neymar Na Hazard) basi Huyo Si Mpenzi Wa Soccer Bali Ni Mshabiki Wa Chandimu.

Na nilimuona Zaidi Kuwa Ni World Class pale Alipousoma Mchezo Ndani Ya Dakika 5 Kuwa Upande Wa Kulia alipo Clyne Ni Tatizo Wakati yeye anacheza Wing ya Kushoto.. Kwahiyo Fast Kaswitch Kulia Baada Ya Kuona Upande Wa Kushoto Wa Liverpool Ni Uchochoro ambao Moses Kashindwa Kuutumia.
Kwahiyo Alienda Upande Wa Wing ya Kulia Kambirua Moreno Kafunga Goli baadae Karudi Kushoto Kupotezea Muda.
Sasa Ni World Class tu Ndiyo Kwenye Akili Kama Hizo za Kusoma Mchezo na Kuangalia Weakness ya Mpinzani ikoje.

Xhaqiri anadrible Vizuri lakini anakosea Kwenye Decision Making Pale Kwenye How and When to pass the ball kwa his teammate.
Ni mashabiki wachache Kama wew wenye uelewa wa Mpira. Upo tofauti na rafiki yako malafyale.

Ni wachache Sana wanaotambua kuwa mpira uchezwa uwanjani na si mdomoni. Ni wachache Sana wanaotambua kuwa mpira ni dakika tisini 90. Ni wachache Sana wanaotambua kuwa mpira ubafikika uwanjani.

Jaribuni kuelewa hayo kabla hamjaja na utabiri wenu feki. Pia mtambue kuwa mpira unapoanza kila pande uonesha umahiri wa kufunga na kushinda lakini nguvu zipolingana pande ingine utumia weakness ya mwenzake na kuamua ushindi.
 
• Pale Klopp Huwezi Kumlaumu Kwa Lile Kwasababu Kama Kocha Kila Mmoja Anareact Kwa Style Yake.. Sasa Klopp Ukimuangalia Anaposimama Uwanjani Kama Kocha Basi Ndani Ya Dakika 90 zote anakuwa Ana hasira sana Mchezaji anapofanya Kurudia Makosa ambayo Kila Siku anawarekebisha.

Lakini Baadae Hasira Huondoka Na Kuwapongeza Hao Wachezaji anaowafokea na Kuwa Marafiki.
Na Hiyo Ni Kawaida Kwa Makocha Wengi.

Angelikuwa anafanya Kama Mourinho Kuwatupia Wachezaji Lawama Mbele ya Media (Press Conference) Basi hapo Ndiyo ningemlaumu Kwasababu sio sifa ya Mwalimu.

Lakini Klopp Kwenye Media (Conference) hupenda Kuwasifia na Kuwapongeza Wachezaji Hata Kama Walifanya Makosa ya Wazi Kwenye Mchezo.
Ila kumfokea mchezaji kwenye public ni afadhali kwenye press conference. Unajua media pote duniani wameelezeaje hilo tukio, vibaya sana. Je unajua kama Shaqiri anapenda hiyo attack ambayo itamshushia hadhi yake kwenye career yake na dhamani yake kama mchezaji? Je unajua negative multiply effect yake kwenye synergy ya team?. Usimsifie Klopp, pamona na uzuri wake, juzi kaboa
 
Acheni kujibishana na washabiki wa kijitimu kidogo kama chelsea, level ya LIVERPOOL ni REAL MADRID, MAN U,JUVENTUS,BARCELONA .hivi vichelsea wachieni leicester na notengham forest ndio wanalingana mafanikio yao.
We hayo mafanikio ya timu yako si umeyaonea youtube utafananisha na mimj niliyeshuhudia at the moment.?
 
Sisi timu Yetu Kabla ya Season Hii Tulikuwa Tukitegemea Sana Ushambuliaji (From Mane-Firmino-Coutinho to Salah-Firmino-Mane) na Ndiyomana Tulikuwa Tunagunga Magoli 60 lakini Tunaconcede 45.... Lakini Msimu Huu Tunategemea Kipa na Mabeki Zaidi (TAA-GOMEZ-VVD-ROBBO) katika Kushinda Game that is why Tunashinda Magoli Kidogo na Tunaconcede Kidogo.

Jana Ukitoa Hile Set-Piece ambayo Mchezaji yoyote anaweza kufunga kulingana na Uzembe Wa Mabeki, Basi Goli la Ushindi Kama Ulivyoona Halikuwa Na Assist Bali Zilikuwa Ni Jitihada Za Hazard Binafsi kutokana Na Class Yake.

Na Ndiyomana Ukiniuliza Mimi au Mtu Mwengine Yoyote anaejua Mpira Basi Atakwambia Chelsea Haikuwa na Mchezaji Tishio Mpaka Pale alipoingia Hazard ambaye Uwezo Wake Uliwashinda Mabeki Wetu na Akawa Tishio.

Lakini Katika EPL pale tutakapokuwa Na Safu Kamili ya Ulinzi Basi Ni Rahisi Kudeal Na Mshambuliaji Mmoja Hazard asiweze Kuleta Madhara.

MANTIKI YA HII POST YANGU

√ Nimetaja Kuwa Tunadeal na Mshambuliaji mmoja Kwasababu Giroud/Morata na Willian Hata Nyinyi Wenyewe Munajua Kuwa Hawa Ni Wachezaji Wa Kawaida tu Haihitajiki Nguvu Nyingi Kuwakaba..
Note: Sijasema Kuwa Hawawezi Kufunga manake Kuna Misukule hapa imekalia umbumbumbu tu.

√ Johinho na Kante Ni Wachezaji Wazuri kuliko Mido Zetu lakini Kwenye Ushambuliaji hawana effect kubwa Kwasababu so Washambuliaji.

Kwahiyo Asilimia 90% ya Ushindi Wa Mechi za Chelsea EPL Ni Kwajuhudi Binafsi Za Hazard ambapo Timu itakayofanikiwa Kumzuia ndiyo inayofanikiwa Kuizia Chelsea isishinde Kama alivyofanikiwa Pellegrini Wa West Ham.

Na Hata Jana Chelsea Haikuwa na Mbinu tena ya Kupata goli la Ushindi Bali Hazard alitumia Jitihada binafsi.

So, Natumai Defence Yetu pamoja Na Kocha imeliona Hilo na italifanyia Kazi.
Nakujibu kama ifuatavyo.

Yawezekana ni kweli hatukua na mchezaji tishio ila atleast wachezaji wa kikosi cha pili cha Chelsea walionyesha uhai na ubora kuliko wa Liverpool.

Ni kweli ile mechi iliamuliwa na uwezo binafsi wa Hazard lakini hii si sababu pekee ya ushindi wetu. Sababu kuu ya kwanza ya ushindi ni kumiliki mpira, tambua kabla hata ya Hazard kuingia tayari tulikua tunamiliki mpira vizuri na kwa asilimia kubwa ila mistake iliyokuwepo na inatu ccst karibia mechi zote ni safu ya ushambuliaji so don't get twisted you will only focus on Hazard. Game plan inabadilika.

Hata Sarri na Zola sidhani kama watakua hawatumbui kwamba mnaweza kumkamia Hazard. Game ni ngumu, ni kama game ya kisasi. Lakini siku zote unapotaka kulipiza kisasi unashauriwa chimba makaburi mawili kwa sababu huwezi jua unapoenda mpinzani wako amejipangaje.

Cant wait this sato. #bridge
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom