Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

MO Salah ana umuhimu sana kila mechi coz team nzima inamchungulia yeye tu, team haiendi mbele kwa kumuogopa mtu mmoja MO Salah
kweli mkuu. apart from ile pasi iliyozaa goli la PSG, Salah alicheza game nzuri. 7/10 i will rate him - which is not bad.

am a bit puzzled watu wako concerned na form ya Salah msimu huu. wamesahau kuwa hata msimu uliopita alianza kwa kusuasua hivi hivi. alikuwa ana miss sitters within the box and from even 6 yard off!

kama mmeangalia vizuri msimu huu anakuwa very tightly marked na opposition - and for obvious reasons of course.
lakini pamoja na kuwa marked hivyo bado katika 6 games amefunga 2 goals. last season wakati hakabwi sana alikuwa na 3 goals for the same number of games.

Salah will come good.... am pretty sure of that.

the beauty of it all ni kwamba we're winning difficult games this season while we're not even on the second gear.
sasa hivi tunabebwa na defensive resilience na blend nzuri ya "ujihadi" & "ufundi" pale katikati ya dimba. sasa, imagine Salah & co watakapoanza kufanya vitu vyao, nani wa kutuzuia treble ya EPL, UCL & FA?

food for thought for Gareth Southgate - nenda kampigie magoti Milner walau aisaidie England kwenye Euro. kwa sasa i can dare say Millie is the best English midfielder!

what else to say? am over the moon after last night!!
 
-kwa bahati mbaya anayenambia nijifunze kuujua mpira hajanambia ni kigezo gani kinaifanya team iitwe kubwa?

Dogo ndiyo unatakiwa ufahamu kuwa Kabla Ya Kupost chochote kwanza Uliza Kwa Wakubwa Zako ili upate Ufahamu Wa Hilo Jambo.

Ukubwa Wa Timu umegawika Aina 2:

1) Domestically
2) International

√ Kuhusiana Na Ukubwa Domestically, Ni Kuwa Kila Ligi ina Timu Kubwa.

• Kwa Mfano Yanga na Simba Ni Timu Kubwa Tanzania lakini sio Nje Ya Tanzania.

• PSG Ni Timu Kubwa France lakini sio Nje Ya France.

• Celtic Ni Timu Kubwa Scotland lakini sio Nje ya Scotland.

• Chelsea, Arsenal, Man City Ni Timu Kubwa England lakini Sio Nje Ya England.

• Gor Mahia Ni Timu Kubwa Kenya lakini sio Nje Ya Kenya.

Sasa Hizo Kina PSG Ni Timu Kubwa Kwa Ligi Zao tu kama alivyo Yanga Mkubwa Kwa Ligi ya TZ, Lakini Nje Ya France yani Barani Ulaya PSG Ni sawa na Swansea Hana Ukubwa wala Hana Cha Kujivunia Kuwa alidominate Ulaya.

√ Sasa kuhusiana na Ukubwa Internationally, Ni Wale Wababe Waliotamba Barani Ulaya na Kuonesha Ubabe Wao Ambao Ni:-
1) Real
2) Ac Milan
3) Bayern
4) Liverpool
5) Barcelona
6) Ajax
7) Man United
8) Juventus
9) Inter Milan

Kwahiyo Huyo PSG Ni Mkubwa Chumbani Mwake tu Kama ilivyo Yanga & Simba Kwa Tanzania na si Kwa Liverpool ambaye Ni Mkubwa Barani Ulaya.
 
James Milner vs PSG

86% passing
1/1 dribble
2 shots
1 goal
5/6 tackles - joint most on the pitch
1 clearance
1 interception

Huyu Jamaa itakuwa Kajiongeza Miaka lakini Hafiki Miaka 32... Kwa Mpira anaocheza huenda akawa Ni Miaka 25 tu.
 
Liverpool Imepata Cleansheet 9 katika Michezo Yake 11 ya mwisho iliyocheza Anfield...
Imeconced Magoli 4 tu (Roma 2 & PSG 2).

Anfield Ni Habari Nyengine Kabisa ambayo Haimuachi Mtu Salama.
 
Kitendo cha Salah kutupa chupa nimeshindwa kukitafsiri kama alikuwa anashangilia au ni hasira za Firmino kufunga wakati yeye kashindwa.

Ila facial expression yake ilikuwa siyo ya furaha kabisa, naomba isiwe sawa na ninavyowaza.
 
kweli mkuu. apart from ile pasi iliyozaa goli la PSG, Salah alicheza game nzuri. 7/10 i will rate him - which is not bad.

am a bit puzzled watu wako concerned na form ya Salah msimu huu. wamesahau kuwa hata msimu uliopita alianza kwa kusuasua hivi hivi. alikuwa ana miss sitters within the box and from even 6 yard off!

kama mmeangalia vizuri msimu huu anakuwa very tightly marked na opposition - and for obvious reasons of course.
lakini pamoja na kuwa marked hivyo bado katika 6 games amefunga 2 goals. last season wakati hakabwi sana alikuwa na 3 goals for the same number of games.

Salah will come good.... am pretty sure of that.

the beauty of it all ni kwamba we're winning difficult games this season while we're not even on the second gear.
sasa hivi tunabebwa na defensive resilience na blend nzuri ya "ujihadi" & "ufundi" pale katikati ya dimba. sasa, imagine Salah & co watakapoanza kufanya vitu vyao, nani wa kutuzuia treble ya EPL, UCL & FA?

food for thought for Gareth Southgate - nenda kampigie magoti Milner walau aisaidie England kwenye Euro. kwa sasa i can dare say Millie is the best English midfielder!

what else to say? am over the moon after last night!!
Hii Hongera inatoka Moyoni kweli?
Liverpool na uhakika kwenye ECL mtaishia raundi ya pili, .. Hii Liver sio ya kufika mbali jana ni bahati tu imewatembelea....
 
Liverpool na uhakika kwenye ECL mtaishia raundi ya pili, .. Hii Liver sio ya kufika mbali jana ni bahati tu imewatembelea....

Hata Last Season Waganga Wa Kienyeji Kama Nyinyi Mulikuepo.

• Mulisema Tutaishia Hatua Ya Makundi Hatimae Tukapia..

• Mukasema Last 16 hatuchomoki Baadae Tukapita Kwa Kishindo.

• Mukasema Kwa Mancity Hatutaki, Baadae Tukapita Kwa Asilimia 100% (Win Home & Away).

• Mukasema Roma Kampiga Barca Kwahiyo Sisi Hatuchomoki, Lakini Tukapita.. Mwisho Tukapoteza Fainali.

Na Mara Nyie Masangoma Mumeshaanza! Mulisema Kwa PSG tutakula Kipigo na Kuishia Hatua Za Makundi! Hatimae Tumempiga Sasa Mushabadilisha Gia Angani eti Tutaishia Round Ya Pili!!!

Sasa Nyimbo Ya Waganga Kama Nyinyi imekuwa "Mumeshinda Kibahati"...
Nadhani Michezo 5 ya EPL na 1 Wa CL kushinda yote kama Ni Bahati basi Liverpool ndiye anayezitengaza Hizo Bahati.
 
Halafu Jana Nimeshangaa Sana Kumuona TAA akidrible na Kufanikiwa..
Navile vile Nimeanza Kugundua Kuwa Ameshaanza Kuzilenga Mahali Sahihi Zile Crosses Zake.
Tatizo pekee La Alilokuwanalo TAA alikuwa Hajui Kudrible wala Kupiga Cross Bali Ni Mzuri sana Wa Zile First Touch.
Lakini iwapo atamaster Kupiga Cross na Kudrible basi Tutkuwa Tayari Tuna Complete Right Back.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom