Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kitendo cha Salah kutupa chupa nimeshindwa kukitafsiri kama alikuwa anashangilia au ni hasira za Firmino kufunga wakati yeye kashindwa.

Ila facial expression yake ilikuwa siyo ya furaha kabisa, naomba isiwe sawa na ninavyowaza.
I agree with you mate, salah facial expression was not good at all!

Labda nikutoe wasiwasi salah alikua anashangilia.
BT sport punduits Rio na Owen nao wamesema salah was celebrating!

ila naona dailymail kama wame exagrate the video footage and story but most of Liverpool fans have ignored the incident!

YNWA
 
I agree with you mate, salah facial expression was not good at all!

Labda nikutoe wasiwasi salah alikua anashangilia.
BT sport punduits Rio na Owen nao wamesema salah was celebrating!

ila naona dailymail kama wame exagrate the video footage and story but most of Liverpool fans have ignored the incident!

YNWA
Salah is overrated, ni mchezaji wa kawaida sana.
 
Muda mwingi nimekuwa msomaji ijapokuwa ni shabiki wa kugalagaza wa Liverpool, ila kuna mengi nimejifunza hasa kutoka kwa wapinzani wanaotembelea ukurasa huu.
Wengi wa wanaochukua mafunzo ya uganga na utabiri, hili jukwaa limekuwa sehemu yao ya kufanyia majaribio. Lakini mwisho wa siku wanapotea tu.
Mtu anatoa utabiri kila mechi kuwa Liver anakufa, mara Liver anachinjwa na bado anakosea lakini hawachoki tu kuendelea na utabiri wao!
YNWA
Cc: eden kimario Southern Highland Antonio Conte

Kidogo Mentor huwa hanaga ushabiki maandazi. Penye ukweli huwa anasema ukweli

Next week sio mbali. Tunawasubiria kwa hamu kubwa
 
Hata Last Season Waganga Wa Kienyeji Kama Nyinyi Mulikuepo.

• Mulisema Tutaishia Hatua Ya Makundi Hatimae Tukapia..

• Mukasema Last 16 hatuchomoki Baadae Tukapita Kwa Kishindo.

• Mukasema Kwa Mancity Hatutaki, Baadae Tukapita Kwa Asilimia 100% (Win Home & Away).

• Mukasema Roma Kampiga Barca Kwahiyo Sisi Hatuchomoki, Lakini Tukapita.. Mwisho Tukapoteza Fainali.

Na Mara Nyie Masangoma Mumeshaanza! Mulisema Kwa PSG tutakula Kipigo na Kuishia Hatua Za Makundi! Hatimae Tumempiga Sasa Mushabadilisha Gia Angani eti Tutaishia Round Ya Pili!!!

Sasa Nyimbo Ya Waganga Kama Nyinyi imekuwa "Mumeshinda Kibahati"...
Nadhani Michezo 5 ya EPL na 1 Wa CL kushinda yote kama Ni Bahati basi Liverpool ndiye anayezitengaza Hizo Bahati.
Nakumbuka tulikua kila tukishinda wanasema "Ijayo Mtafungwa"

Ikawa kama ngonjera sasa kila siku verse hizo hizo sisi tunapepea tu.

Enjoy the show haters.
 
James Milner

Wakati binadamu kawaida anakua na kuzeeka. James Milner yeye anazidi kuwa kija a badala ya kuwa mzee. Neymar na shombo zake zote jana amechetuliwa akabaki anagaragara kama samaki aliyetolewa ziwani akawekwa mchangani.
Bobby%20Fagan%20on%20Instagram_%20__Milner%20_liverpool%20_lfc_0(JPG).jpg
IMG_20180919_155135_484.jpg
IMG_20180919_155329_573.jpg
 
Liverpool na uhakika kwenye ECL mtaishia raundi ya pili, .. Hii Liver sio ya kufika mbali jana ni bahati tu imewatembelea....
mlisema tutatoka hatua ya makundi sasa mmehamia raundi ya pili, mdogo mdogo hadi fainal mkuu
 
Kitendo cha Salah kutupa chupa nimeshindwa kukitafsiri kama alikuwa anashangilia au ni hasira za Firmino kufunga wakati yeye kashindwa.

Ila facial expression yake ilikuwa siyo ya furaha kabisa, naomba isiwe sawa na ninavyowaza.


Jamaa kalewa sifa I'm telling you, jinsi anavyocheza sio kwa kujitoa na juhudi kama anavyojitoa Sadio. Nimeiona mipira mingi ambayo Salah angeiintercept lakini hakufanya hivyo, amekuwa ni mpotezaji mipira halafu hatumii nguvu kuikaba and the likes

Aisee sifa mbaya sana! Waarabu wamemsifia sana pamoja na Dunia mpaka jamaa akalewa and sometimes nikawa nafikiri labda style anayoplay sasa hivi ni anafanya hivyo ili asiangukie kwenye majeruhi ama Lah?

Firmino amekuwa ni mtu anaecheza kwa kujitoa na ubunifu tofauti na jamaa yetu wa Misri, italeta maswali kama goli la Firmino ambalo ni la ushindi tena katika dakika ya 90+1 halafu jamaa akasirike ukizingatia yeye ni mchezaji tena wa Liverpool????????????????????????????????
 
Jamaa kalewa sifa I'm telling you, jinsi anavyocheza sio kwa kujitoa na juhudi kama anavyojitoa Sadio. Nimeiona mipira mingi ambayo Salah angeiintercept lakini hakufanya hivyo, amekuwa ni mpotezaji mipira halafu hatumii nguvu kuikaba and the likes

Aisee sifa mbaya sana! Waarabu wamemsifia sana pamoja na Dunia mpaka jamaa akalewa and sometimes nikawa nafikiri labda style anayoplay sasa hivi ni anafanya hivyo ili asiangukie kwenye majeruhi ama Lah?

Firmino amekuwa ni mtu anaecheza kwa kujitoa na ubunifu tofauti na jamaa yetu wa Misri, italeta maswali kama goli la Firmino ambalo ni la ushindi tena katika dakika ya 90+1 halafu jamaa akasirike ukizingatia yeye ni mchezaji tena wa Liverpool????????????????????????????????
Salah sio mchezaji wewe...bora haingii kwa Sanchez
 
Jamaa kalewa sifa I'm telling you, jinsi anavyocheza sio kwa kujitoa na juhudi kama anavyojitoa Sadio. Nimeiona mipira mingi ambayo Salah angeiintercept lakini hakufanya hivyo, amekuwa ni mpotezaji mipira halafu hatumii nguvu kuikaba and the likes

Aisee sifa mbaya sana! Waarabu wamemsifia sana pamoja na Dunia mpaka jamaa akalewa and sometimes nikawa nafikiri labda style anayoplay sasa hivi ni anafanya hivyo ili asiangukie kwenye majeruhi ama Lah?

Firmino amekuwa ni mtu anaecheza kwa kujitoa na ubunifu tofauti na jamaa yetu wa Misri, italeta maswali kama goli la Firmino ambalo ni la ushindi tena katika dakika ya 90+1 halafu jamaa akasirike ukizingatia yeye ni mchezaji tena wa Liverpool????????????????????????????????
Jamanieee nyie mnaoleta hizi mada kuwa Salah alikasirika wakati mmeona tu scene ikimalizikia hamjajua kabla ya kuitupa hiyo chupa chini alifanyaje.


Jamaa alishangilia mikono yote miwili hewani kisha baada ya hapo ndio akaitipitilia mbali chupa kwa furaha.

Sasa kwa kuwa wengi mmeona hapo alikuitupilia chupa chini na hamkuona mwanzo wa tukio ndio mnaleta mambo ya ajabu.

Hivi Salah professional kabisa hata kama hakufurahia goli la Bobby anaweza kufanya hizo antics kwenye bench pale? Anajua kabisa kuna camera na watu mamilioni wanaangalia?

Siwezi kuamini kama mtu mwelewa yoyote atasema eti Salah alichukia kisa Bobby kafunga, kwahiyo mnamaanisha Salah alitaka tusipate matokeo?. Haya maneno ni yenu huku kwenye mitandao tu. Huku ndipo mnapokuza mambo kinyume na uhalisia ulivyo.

Kabla hamja judge kitu tulizeni akili msikurupuke kuanza kuhukumu kwa mambo msiyokuwa na ushahidi nayo. Mbona Klopp alikua mbele ya Salah kwenye touch line na alimgeukia kabisa wakati Salah anaitupa hiyo chupa? Unadhani Salah anaweza kuwa unprofessional kiasi hicho mpaka afanye kitendo cha kuchukia team yake inapofunga goli?


Sometimes tushirikishe bongo zetu bana kwenye haya mambo.

KWA UPANDE MWINGINE: KUHUSU SUALA LA MANE KUTOMPASIA SALAH

Hizi hate campaigns zinazoanzishwa na fanpages za Salah na Mane kwenye mitandao ndio zinaleta chuki kwa mashabiki wakati kiuhalisia wala Salah na Mane hawana beef yoyote maisha yanaenda sana tu tena ni mabest wakutupwa.

Wanalalamika Mane hampasii Salah, sawa hakumpasia alijaribu kugunga yeye mwenyewe kwakuwa aliona ana uwezo wa kufunga lakini bahati mbaya hakufanikiwa (hii ni kawaida katika mpira).

Au alijaribu kumpasia mtu mwingine labda akafunga au akakosa (nayo ni kawaida kwenye mpira). Kama asingempasia na yakawa magoli msingefurahi? Kwakuwa hatukufanikiwa kufunga basi ndio mnalalamika. Kwani mara ngapi Salah amepasiwa nafasi za wazi na akakosa?

Tatizo wa mashabiki wengi wa Salah sio mashabiki wa Liverpool wao wanampenda tu Salah na ikitokea hajafunga wataanza kutafuta sababu zao za kipuuzi puuzi tu ilimradi ionekane Salah anaonewa. Wao shida yao sio Liverpool kushinda mechi bali waone mchezaji wao akifunga magoli. Wanashindwa kutambua kuwa mpira ni mchezo wa kitimu zaidi kuliko individual glory.

Mimi sio kwamba simpendi Salah, Salah nampenda sana kama wachezaji wengine wa Liverpool. Lakini kuna baadhi ya watu wanataka kutuvurugia team yetu kisa mapenzi yao kwa mchezaji mmoja mmoja.

Tuachieni team yetu, hizo maneno zenu kaeni nazo. Hatutaki kuingiliwa kwenye mambo yetu. Haijalishi kafunga Alisson au Robertson. Ilimradi Liverpool inshinda mechi sisi tunafurahi. Hata Salah asipofunga au Firmino au Mane. Haijalishi ilimradi Liverpool inashinda mechi.

Hata tukishinda kwa OGs sisi cha muhimu ushindi. Haya mambo ya kutafua sifa binafsi ambayo yanachochewa na mashabiki uchwara wapelekeeni akina Harry Kane huko wanaogombaniana hadi penalty.


We Go Again.
We Are Liverpool. This Means More.
You'll Never Walk Alone

ChaliiFrancisco
 
James Milner

Wakati binadamu kawaida anakua na kuzeeka. James Milner yeye anazidi kuwa kija a badala ya kuwa mzee. Neymar na shombo zake zote jana amechetuliwa akabaki anagaragara kama samaki aliyetolewa ziwani akawekwa mchangani. View attachment 871153View attachment 871155View attachment 871157
kuna pundits wame comment eti Klopp hawezi kumnunua mchezaji dizaini ya Neymar, labda kama ni kwa mkopo ili amtumie kwenye Carabao cup!

nakubaliana nao... yule dogo hawezi kucheza heavy metal week in week out.
 
kuna pundits wame comment eti Klopp hawezi kumnunua mchezaji dizaini ya Neymar, labda kama ni kwa mkopo ili amtumie kwenye Carabao cup!

nakubaliana nao... yule dogo hawezi kucheza heavy metal week in week out.
Sharong'ong'o huyo anawaoneaga mabeki machoko tu. Kwetu akakutana na mabeki na viungo wenye roho mbaya shetani mwenyewe akasome.
 
kuna pundits wame comment eti Klopp hawezi kumnunua mchezaji dizaini ya Neymar, labda kama ni kwa mkopo ili amtumie kwenye Carabao cup!

nakubaliana nao... yule dogo hawezi kucheza heavy metal week in week out.

Ndiyo maana juzi alipumzishwa ili apambane na muziki mnene.

Sijaona mahali popote ambapo amehojiwa baada ya mechi.
 
jana watoto warembo wa psg walikutana na moto mkali, hawa pale kwao ni kuwapiga 3 tena wawe na adabu! ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom