laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 9,984
- 9,757
Ushindi wenyewe wa dakika za majeruhi,tena nyumbani... Liverpool akifika Paris atapigwa kipigo cha mbwa kokoPSG ni timu ndogo sana
Ni dharau sana LFC kufungwa na PSG au Chelshit
Ynwa
Ushindi wenyewe wa dakika za majeruhi,tena nyumbani... Liverpool akifika Paris atapigwa kipigo cha mbwa kokoPSG ni timu ndogo sana
Ni dharau sana LFC kufungwa na PSG au Chelshit
Ynwa
Hamnazo ww mbumbumbu wa sokaUshindi wenyewe wa dakika za majeruhi,tena nyumbani... Liverpool akifika Paris atapigwa kipigo cha mbwa koko
Mkuu hapo umesema yaani itakua mwendo wa 3G...Labda nikunong'oneze tu, ni kwamba Liverpool watashinda goli 4 kwa bila kule uwanja wa PSG, ukumbuke hii sentensi bro
mtapata taabu sana msimu huu maana hii Liverpool inawashangaza wengi hivyo nyie jipeni kazi ya kuizima ila hamtaweza....kwa sasa wewe pambana na kombe la Alhamisi la mchangani, Liverpool sio saizi yako tafadhali....wewe kawaambia Arseno ambao mpo wote Dondoo CupNaona hii kazi ya kumchinja nyani tumeachiwa sisi CHELSEA na tunawaahidi HATUTOWAANGUSHA.
Mkuu Milner kwa sasa wanamuita (P4P) "Pound for Pound" player kwamba any game anywhere yeye ana deliver age notswithstanding...kwa bahati mbaya sijaweza kuona kipindi cha kwanza kwa sababu ya network ilikuwa inasumbua ila nimebahatika kuangalia kipindi cha pili. Haya ndo ambayo nimeyaona
1. Wijnaldum (Gini) - akicheza kwenye attacking role yupo vizuri saana leo nimeona akifanya mambo makubwa kwenye advanced role kuliko kucheza kama namba sita
2. Milner was the heart of everything, amefanya mambo makubwa saana kwenye midfield na kila sehemu uwanjani tackling za maan. amesaidia saana kwenye defense yetu hasa pale Neymar alikuwa anakuja kwa kasi mabeki wetu walikuwa wanarudi nyuma (inviting attacks) ila Milner alikuwa anafanya tackling hapo hapo.
hata goli la pili la Mbappe move ilianzia kwa Neymar kuattack wa speed na beki zetu zina rudi nyuma na milner alikuwa na Neymar.
3. Sturridge bado anatufaa kama hatapata injury nadhani atatusaidia kwenye baadhi ya mechi ambazo zinahitaji matokeo kwa kutumia centre forward.
4. Salah ni one seaon wonder? performance yake siyo nzuri kama ilikuwa msimu uliyopita alikuwa ana uwezo wa kuhold mpira in opponent’s defense ila kwa sasa inakuwa ngumu kwake ana lose easily mipira hata goli la pili la PSG was his blunder maana alikuwa na option nyingi ila nzuri ilikuwa ya Trent-Alexander ila aka-misplace pass.
5.Gengenpressing, tangu mwanzo wa ligi ni kama klopp ameamua kuachana na hii style we are playing ila we are not pressing much kama msimu uliyopita labda ndo maana hata performance ya Salah haionekani alibenefit sana kwenye huu mfumo maana tulifunga magoli mengi ya counterattack ambapo msimu imekuwa ngumu.
6. Henderson leo amecheza vizuri sana no comment
nice one...Bobby the PirateView attachment 870527
ushindi ni ushindi hayo ya dakika za majeruhi hayatuhusu....Ushindi wenyewe wa dakika za majeruhi,tena nyumbani... Liverpool akifika Paris atapigwa kipigo cha mbwa koko
kwahiyo liver sio team kubwa? PSG wana makombe ya champion league mangapi?Duh hii wiki hatutoongea asee
-kwa mala ya kwanza liver ameifunga timu kubwa duniani.
Nyie mnaoibeza Liverpool kwel mpo vema kichwan inabid mpimwe IQ zenu ni timu gan kubwa Liverpool hajawah kuzifunga .. uliza waliokutangulia kisoka huyo BARCA , REAL MADRID , MAN U , kwangu mm hzo ndio timu kubwa tushazufunga coz walau wana trophy ya UEFA CHAMPION LEAGUE 2+ kama timu yako ina trophy 1 hyo n timu ndogo haiwez kufananishwa na LiverpoolDuh hii wiki hatutoongea asee
-kwa mala ya kwanza liver ameifunga timu kubwa duniani.
Ushindi wenyewe wa dakika za majeruhi,tena nyumbani... Liverpool akifika Paris atapigwa kipigo cha mbwa koko
kwa bahati mbaya sijaweza kuona kipindi cha kwanza kwa sababu ya network ilikuwa inasumbua ila nimebahatika kuangalia kipindi cha pili. Haya ndo ambayo nimeyaona
1. Wijnaldum (Gini) - akicheza kwenye attacking role yupo vizuri saana leo nimeona akifanya mambo makubwa kwenye advanced role kuliko kucheza kama namba sita
2. Milner was the heart of everything, amefanya mambo makubwa saana kwenye midfield na kila sehemu uwanjani tackling za maan. amesaidia saana kwenye defense yetu hasa pale Neymar alikuwa anakuja kwa kasi mabeki wetu walikuwa wanarudi nyuma (inviting attacks) ila Milner alikuwa anafanya tackling hapo hapo.
hata goli la pili la Mbappe move ilianzia kwa Neymar kuattack wa speed na beki zetu zina rudi nyuma na milner alikuwa na Neymar.
3. Sturridge bado anatufaa kama hatapata injury nadhani atatusaidia kwenye baadhi ya mechi ambazo zinahitaji matokeo kwa kutumia centre forward.
4. Salah ni one seaon wonder? performance yake siyo nzuri kama ilikuwa msimu uliyopita alikuwa ana uwezo wa kuhold mpira in opponent’s defense ila kwa sasa inakuwa ngumu kwake ana lose easily mipira hata goli la pili la PSG was his blunder maana alikuwa na option nyingi ila nzuri ilikuwa ya Trent-Alexander ila aka-misplace pass.
5.Gengenpressing, tangu mwanzo wa ligi ni kama klopp ameamua kuachana na hii style we are playing ila we are not pressing much kama msimu uliyopita labda ndo maana hata performance ya Salah haionekani alibenefit sana kwenye huu mfumo maana tulifunga magoli mengi ya counterattack ambapo msimu imekuwa ngumu.
6. Henderson leo amecheza vizuri sana no comment
PSG ni nyepesi na sio kama unavyofikiria, wakijitahidi sana kule ni draw!Ushindi wenyewe wa dakika za majeruhi,tena nyumbani... Liverpool akifika Paris atapigwa kipigo cha mbwa koko
Hongeren liver mmeonesha ubabe wenu japokua mlipata tabu sana ???
Duh hii wiki hatutoongea asee
-kwa mala ya kwanza liver ameifunga timu kubwa duniani.
Duh mkuu, hujui kwamba psg ni miongoni mwa timu kubwa asee,Kwani PSG Ni timu Kubwa? Since when?
Best player kwa kumfunga Cardif na penalties zake?Hili nalo neno. Pamoja na vimakosa vidogo vidogo anavyofanya Gomez, lakini sifa zao ninawapa. Hadi hapo watakapoweza kumzuia Hazard, the best player in Europe.