Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Full Time
LIVERPOOL 3-2 PARIS SG
Sturridge
Milner
Firmino

Ni muendelezo wa ile ratiba yao ngumu wanayo isema, Nazani kabla ya mchezo nilisema kwamba mchezo huu utakuwa wa wazi na wamashambulizi zaidi,na kiukweli magoli yameonekana,Tuchel anapajuwa vzr Anfield na habari ameipata kwa Mara nyingine ,pia msisahau kumwambia Neymar Anfield sio mahali salama kwa wakosa adabu kama yeye nazani siku nyingine hatorudia kuropoka.

Firmino kampisha Sturridge na Sturridge kampisha Firmino na wote wame husika pale kwa nyavu

WE ARE LIVERPOOL THIS MEANS MORE
#YNWA
 
Mmeponea liverpool ilikua sare kabisa aseh

Kwa Stats Hizi sio sare tu Bali Tulistahiki Kufungwa Hasa! Happy?

Screenshot_20180919-004604.png
 
Neymar ingawa nimeanza kuangalia game dakika ya 53 sijaona alichofanya leo. Tatizo bench lao nalo chovu mno.

Ukweli Ni Kwamba Kuna Kitu Hamutaki Kukubali! Lakini Back line Ya Liverpool Msimu Huu iko imara Kiasi Ya Kwamba inaweza Kukaba Mchezaji asionekane Anachofanya!

Hebu Angalia Muunganyiko Wa Wachezaji Kama Neymar, Cavani, Mbappe Na Di Maria Kuwazuia Wasikuumize Kunataka Ujuzi Wa Hali Ya Juu.
 
Ukweli Ni Kwamba Kuna Kitu Hamutaki Kukubali! Lakini Back line Ya Liverpool Msimu Huu iko imara Kiasi Ya Kwamba inaweza Kukaba Mchezaji asionekane Anachofanya!

Hebu Angalia Muunganyiko Wa Wachezaji Kama [/B]Neymar, Cavani, Mbappe Na Di Maria[/B] Kuwazuia Wasikuumize Kunataka Ujuzi Wa Hali Ya Juu.
Hili nalo neno. Pamoja na vimakosa vidogo vidogo anavyofanya Gomez, lakini sifa zao ninawapa. Hadi hapo watakapoweza kumzuia Hazard, the best player in Europe.
 
Hili nalo neno. Pamoja na vimakosa vidogo vidogo anavyofanya Gomez, lakini sifa zao ninawapa. Hadi hapo watakapoweza kumzuia Hazard, the best player in Europe.

Hazard the Best Player in Europe "!
Leo Tulikaba Wanne Mbappe, Di Maria, Cavani na Neymar na Tumefanikiwa!
Emagine Nini Kitamtokea Hazard Wakati Kwa Chelsea Tutakayemkaba Ni Yeye Peke Yake?
Manake Usidhani Kwamba Tutaacha Kazi Tumkabe Giroud!! au Moratta!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom