Tores
JF-Expert Member
- Nov 7, 2010
- 551
- 475
goal LA fiminoView attachment VID-20180919-WA0019.mp4Alifanyaje mkuu
goal LA fiminoView attachment VID-20180919-WA0019.mp4Alifanyaje mkuu
Kumbe we ndo JBROAD TO CHAMPION UCL 2018/19
Game ya kwanza ktk hatua ya makundi.
Liverpool 3 Psg 2
Hahahahahahahahahaaaaaa Ihihihihihihihi
hiiiiiiiiiiiiiiiiiii...!!
...Acheni nicheke kwanza aisee! Hivi mmemwona
mjukuu wa Barbosa alivyokuwa akishangilia
baada ya kutupia goli la ushindi!
"Kuusubaladuduuu!" Yaani mjukuu wa Barbosa
aliunasa uburunge afu kama anatembea nao vile,
akafinya! Kusubaladina, mtu akagalagazwa chalii!
Afu uburunge ukakaangwa na kupigwa fimbo ya
hatari kambaaaa!! Limoyo langu likasimama kwa
sekunde kadhaa, likashtuliwa na ile mikelele ya
Kopites mule banda umiza!
Hebu funguka kisporti na kichambuzi zaidi hapa,
nini kilchokukera na nini kilichokufurahisha zaidi
ktk game hii!?
YNWA JURGEN KLOPP
YNWA MY LIVERPOOL😀


Liverpool fan
Heheee.. This is Liverpool fan at his best. Yangu ni macho
Obrigado.Sour grapes![]()
Save your post honNext week ni ngumu kwenu. Head to head na Chelsea mara mbili maji mtayaita mmaah. Loser![]()
U guys behaving like UTD fans. Didn't know that. Lets wait and see.Kaa na macho yako uangalie watu wenye DNA ya UCL wakifanya mambo
Msubiri Samata kesho kwenye futuhi
Kimbinu jana tulikuwa vizuri sana. Salute kwa midfield. Ila mimi kwangu jana naomba nipeleke sifa za kipekee kwa Trent Alexander Arnold dogo alikuwa na displine ya hali ya juu, nimependa alivyotusaidia kuanzisha mashambulizi. Alikuwa anakaa kwenye mstari na VVD alikuwa akimtupia mipira mirefu. PSG walishindwa kudeal na TAA.
Chelsea kitu ingine kabisa Safari hiiSave your post hon
U guys behaving like UTD fans. Didn't know that. Lets wait and see.
Matusi ni ishara ya akili ndogo.Umbumbumbu wako wa soka unajidhihirisha hapa!
Kama kigezo ni bajeti basi hata Anzi Muchachkala FC ingeitwa timu kubwa
Kama ni vikombe vya ndani basi Glasgow Celtic na Olympiakos nazo ni timu kubwa
Timu kubwa hupimwa na UCL na ndio maana hata timu yako inapania kumaliza angalau top 4
UCL is the most prestigious and glorious competition at the club level
It’s the league of elites!
YNWA
Matusi ni ishara ya akili ndogo.
sawa mkuu.Kuelezwa ukweli sio matusi
-najua unakoelekea,
kwako timu kubwa ni lazima iwe na ucl ila ukweli ni huu
-bajeti
-wingi WA vikombe vya ndani n.k
Tukiziangalia timu kama mziangaliavyo nyinyi hata man city tutawaweka kundi la kina everton.
Hongereni kwa ushindiMsubiri Mbwana Samatta na futuhi alhamisi inakuhusu
-kwa bahati mbaya anayenambia nijifunze kuujua mpira hajanambia ni kigezo gani kinaifanya team iitwe kubwa?Eti Wingi Wa Vikombe Vya Ndani..
Kama Ni Hivyo Basi CELTIC Ni Zaidi Ya Barcelona na Real Kwani Hizo Hazijawahi Kuchukua La Liga Zaidi Ya Mara 5 mfululizo Wakati Celtic Tokea Magufuli aingie Madarakani Ni Yeye Anabeba Kombe La Scotland Mfululizo.
Jifunze Kuujua Mpira
Next week ni ngumu kwenu. Head to head na Chelsea mara mbili maji mtayaita mmaah. Loser![]()